Kama huna cha kucoment bora kukaa kimya kuliko kutafuta likes za kijinga kwa kuharibu thread nzuri.Nina wasiwasi umefanana makalio na mkeo
😂😂Nina wasiwasi umefanana makalio na mkeo
😬😬😬😬😬,Nina wasiwasi umefanana makalio na mkeo
kwa hiyo anakwambiaga shosti au shoga yangu nna umbea wa moto?Mke wangu kaniambukiza umbea
Good 4ukusali aisee
hii kitu nakubali kabisa wife ameniamsha sana
kwa hiyo arifu tukiwaona tunashindwa kutofautisha nani KE nani ME, au pengine tunaita nyie ni ndugu?Sura
Tupe mfano, ili tujifunze!Tuna misemo yetu ambayo mwingine hawezi elewa,tunaweza kukusengenya upo hapo hapo🥲
Fumbo mfumbie mjinga...Tuna misemo yetu ambayo mwingine hawezi elewa,tunaweza kukusengenya upo hapo hapo🥲
😂😂😂😂😂OiiiiFumbo mfumbie mjinga...