Wapenzi wa Mazda Atenza, average fuel consumption ya 21 km/L mnaionaje?

Wapenzi wa Mazda Atenza, average fuel consumption ya 21 km/L mnaionaje?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Nilikua na safari ya Dar hadi Moro town kisha Ifakara na kurudi Dar, kwa kutumia Atenza.

Mafuta (Diesel Tsh 80k) niliweka Puma ya Survey (jirani na Mlimani City) na kuanza safari pale kuelekea Morogoro.
IMG_0187.jpeg


Njiani sikua na vituo zaidi ya kusimama JKT Mlandizi na Cate Hotel Morogoro.

Barabara ya Dar to Moro ina magari mengi ni mara chache sana kumaintain average speed ya 75km/h kwa muda mrefu, muda mwingi nimejikuta natembea average ya 50km/h au chini, nikitumia masaa matano na nusu hadi Moro (mi sio mtu wa kibati)!

Baada ya hapo misele ya Morogoro tu mjini, ambapo niliendesha zaidi na stops and go zilikua nyingi hadi kesho yake ndio safari ya Ifakara ikaanza.

img_0518-jpeg.3110130


Barabara ya Mikumi kutokea Ifakara ni nzuri sana, haina msongamano wala speed limits nyingi.
IMG_0516.jpeg

Kukawa na misele ya siku mbili Hapo Ifakara ambapo nilitumia gari, na kuanza kurudi Dar.
IMG_0023.jpeg


Kufika Mikumi town nikaongeza mafuta (taa ilikua imewaka) pale Total mafuta ya Tsh 50k, na kuendelea na safari hadi Moro ambapo nili break kwa nusu saa na kuendelea hadi Dar nonstop.

Kurudi kuanzia Mlandizi nilikutana na foreni sana kwahiyo speed ilikua ndogo sana.

Average speed ya safari nzima ilikua 21 km/h ambayo ni ndogo sana na imechangiwa na town trips na speed ndogo Morogoro road (Dar - Mlandizi).
IMG_0034.jpeg


Kwa ulaji wa mafuta, trip nzima ina average ya 21.7 km/L.

IMG_0033.jpeg


Kwa wastani kilometa 900 hiyo feedback.

Njiani nilikua natumia sana cruise control na ndio ilisaidia nisichoke sana na nilijitahidi kupunguza vituo vingi vya kusimama.

Okay, hii ndio experience yangu, kwa wadau wa Mazda CX5 ulaji wa mafuta utafanana kiasi chake kwasababu wanashare engine, Skyactiv 2.2D
 

Attachments

  • IMG_0518.jpeg
    IMG_0518.jpeg
    716.9 KB · Views: 35
Nilikua na safari ya Dar hadi Moro town kisha Ifakara na kurudi Dar, kwa kutumia Atenza.

Mafuta (Diesel Tsh 80k) niliweka Puma ya Survey (jirani na Mlimani City) na kuanza safari pale kuelekea Morogoro.
View attachment 3110125

Njiani sikua na vituo zaidi ya kusimama JKT Mlandizi na Cate Hotel Morogoro.

Barabara ya Dar to Moro ina magari mengi ni mara chache sana kumaintain average speed ya 75km/h kwa muda mrefu, muda mwingi nimejikuta natembea average ya 50km/h au chini, nikitumia masaa matano na nusu hadi Moro (mi sio mtu wa kibati)!

Baada ya hapo misele ya Morogoro tu mjini, ambapo niliendesha zaidi na stops and go zilikua nyingi hadi kesho yake ndio safari ya Ifakara ikaanza.

img_0518-jpeg.3110130
View attachment 3110130

Barabara ya Mikumi kutokea Ifakara ni nzuri sana, haina msongamano wala speed limits nyingi.

Kukawa na misele ya siku mbili Hapo Ifakara ambapo nilitumia gari, na kuanza kurudi Dar.
View attachment 3110143

Kufika Mikumi town nikaongeza mafuta (taa ilikua imewaka) pale Total mafuta ya Tsh 50k, na kuendelea na safari hadi Moro ambapo nili break kwa nusu saa na kuendelea hadi Dar nonstop.

Kurudi kuanzia Mlandizi nilikutana na foreni sana kwahiyo speed ilikua ndogo sana.

Average speed ya safari nzima ilikua 21 km/h ambayo ni ndogo sana na imechangiwa na town trips na speed ndogo Morogoro road (Dar - Mlandizi).
View attachment 3110146

Kwa ulaji wa mafuta, trip nzima ina average ya 21.7 km/L.

View attachment 3110147

Kwa wastani kilometa 900 hiyo feedback.

Njiani nilikua natumia sana cruise control na ndio ilisaidia nisichoke sana na nilijitahidi kupunguza vituo vingi vya kusimama.

Okay, hii ndio experience yangu, kwa wadau wa Mazda CX5 ulaji wa mafuta utafanana kiasi chake kwasababu wanashare engine, Skyactiv 2.2D
Kaka hii gari shingap?
 
Nilikua na safari ya Dar hadi Moro town kisha Ifakara na kurudi Dar, kwa kutumia Atenza.

Mafuta (Diesel Tsh 80k) niliweka Puma ya Survey (jirani na Mlimani City) na kuanza safari pale kuelekea Morogoro.
View attachment 3110125

Njiani sikua na vituo zaidi ya kusimama JKT Mlandizi na Cate Hotel Morogoro.

Barabara ya Dar to Moro ina magari mengi ni mara chache sana kumaintain average speed ya 75km/h kwa muda mrefu, muda mwingi nimejikuta natembea average ya 50km/h au chini, nikitumia masaa matano na nusu hadi Moro (mi sio mtu wa kibati)!

Baada ya hapo misele ya Morogoro tu mjini, ambapo niliendesha zaidi na stops and go zilikua nyingi hadi kesho yake ndio safari ya Ifakara ikaanza.

img_0518-jpeg.3110130
View attachment 3110130

Barabara ya Mikumi kutokea Ifakara ni nzuri sana, haina msongamano wala speed limits nyingi.

Kukawa na misele ya siku mbili Hapo Ifakara ambapo nilitumia gari, na kuanza kurudi Dar.
View attachment 3110143

Kufika Mikumi town nikaongeza mafuta (taa ilikua imewaka) pale Total mafuta ya Tsh 50k, na kuendelea na safari hadi Moro ambapo nili break kwa nusu saa na kuendelea hadi Dar nonstop.

Kurudi kuanzia Mlandizi nilikutana na foreni sana kwahiyo speed ilikua ndogo sana.

Average speed ya safari nzima ilikua 21 km/h ambayo ni ndogo sana na imechangiwa na town trips na speed ndogo Morogoro road (Dar - Mlandizi).
View attachment 3110146

Kwa ulaji wa mafuta, trip nzima ina average ya 21.7 km/L.

View attachment 3110147

Kwa wastani kilometa 900 hiyo feedback.

Njiani nilikua natumia sana cruise control na ndio ilisaidia nisichoke sana na nilijitahidi kupunguza vituo vingi vya kusimama.

Okay, hii ndio experience yangu, kwa wadau wa Mazda CX5 ulaji wa mafuta utafanana kiasi chake kwasababu wanashare engine, Skyactiv 2.2D


Hakuna jambo zuri Duniani kama kuzungukazunguka tu hasa na usafiri binafsi😅😅
 
Hakuna jambo zuri Duniani kama kuzungukazunguka tu hasa na usafiri binafsi😅😅
Yeah aisee. Sema uwe na msemo mmoja kichwani, it’s about a journey not a destination. Itakusaidia kuenjoy safari na sio kukimbia kimbia ufike unakoenda.

Na ukiwa na co-pilot unyama sana, kazi yake kucontrol AC, kubadirisha nyimbo, kukupigisha story, kujibu msg zako, nk.
 
Nilikua na safari ya Dar hadi Moro town kisha Ifakara na kurudi Dar, kwa kutumia Atenza.

Mafuta (Diesel Tsh 80k) niliweka Puma ya Survey (jirani na Mlimani City) na kuanza safari pale kuelekea Morogoro.
View attachment 3110125

Njiani sikua na vituo zaidi ya kusimama JKT Mlandizi na Cate Hotel Morogoro.

Barabara ya Dar to Moro ina magari mengi ni mara chache sana kumaintain average speed ya 75km/h kwa muda mrefu, muda mwingi nimejikuta natembea average ya 50km/h au chini, nikitumia masaa matano na nusu hadi Moro (mi sio mtu wa kibati)!

Baada ya hapo misele ya Morogoro tu mjini, ambapo niliendesha zaidi na stops and go zilikua nyingi hadi kesho yake ndio safari ya Ifakara ikaanza.

img_0518-jpeg.3110130


Barabara ya Mikumi kutokea Ifakara ni nzuri sana, haina msongamano wala speed limits nyingi.
View attachment 3110215
Kukawa na misele ya siku mbili Hapo Ifakara ambapo nilitumia gari, na kuanza kurudi Dar.
View attachment 3110143

Kufika Mikumi town nikaongeza mafuta (taa ilikua imewaka) pale Total mafuta ya Tsh 50k, na kuendelea na safari hadi Moro ambapo nili break kwa nusu saa na kuendelea hadi Dar nonstop.

Kurudi kuanzia Mlandizi nilikutana na foreni sana kwahiyo speed ilikua ndogo sana.

Average speed ya safari nzima ilikua 21 km/h ambayo ni ndogo sana na imechangiwa na town trips na speed ndogo Morogoro road (Dar - Mlandizi).
View attachment 3110146

Kwa ulaji wa mafuta, trip nzima ina average ya 21.7 km/L.

View attachment 3110147

Kwa wastani kilometa 900 hiyo feedback.

Njiani nilikua natumia sana cruise control na ndio ilisaidia nisichoke sana na nilijitahidi kupunguza vituo vingi vya kusimama.

Okay, hii ndio experience yangu, kwa wadau wa Mazda CX5 ulaji wa mafuta utafanana kiasi chake kwasababu wanashare engine, Skyactiv 2.2D
Hivi hii gari ndio inajulikana pia kama Mazda 6?
 
Back
Top Bottom