Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Nilikua na safari ya Dar hadi Moro town kisha Ifakara na kurudi Dar, kwa kutumia Atenza.
Mafuta (Diesel Tsh 80k) niliweka Puma ya Survey (jirani na Mlimani City) na kuanza safari pale kuelekea Morogoro.
Njiani sikua na vituo zaidi ya kusimama JKT Mlandizi na Cate Hotel Morogoro.
Barabara ya Dar to Moro ina magari mengi ni mara chache sana kumaintain average speed ya 75km/h kwa muda mrefu, muda mwingi nimejikuta natembea average ya 50km/h au chini, nikitumia masaa matano na nusu hadi Moro (mi sio mtu wa kibati)!
Baada ya hapo misele ya Morogoro tu mjini, ambapo niliendesha zaidi na stops and go zilikua nyingi hadi kesho yake ndio safari ya Ifakara ikaanza.
Barabara ya Mikumi kutokea Ifakara ni nzuri sana, haina msongamano wala speed limits nyingi.
Kukawa na misele ya siku mbili Hapo Ifakara ambapo nilitumia gari, na kuanza kurudi Dar.
Kufika Mikumi town nikaongeza mafuta (taa ilikua imewaka) pale Total mafuta ya Tsh 50k, na kuendelea na safari hadi Moro ambapo nili break kwa nusu saa na kuendelea hadi Dar nonstop.
Kurudi kuanzia Mlandizi nilikutana na foreni sana kwahiyo speed ilikua ndogo sana.
Average speed ya safari nzima ilikua 21 km/h ambayo ni ndogo sana na imechangiwa na town trips na speed ndogo Morogoro road (Dar - Mlandizi).
Kwa ulaji wa mafuta, trip nzima ina average ya 21.7 km/L.
Kwa wastani kilometa 900 hiyo feedback.
Njiani nilikua natumia sana cruise control na ndio ilisaidia nisichoke sana na nilijitahidi kupunguza vituo vingi vya kusimama.
Okay, hii ndio experience yangu, kwa wadau wa Mazda CX5 ulaji wa mafuta utafanana kiasi chake kwasababu wanashare engine, Skyactiv 2.2D
Mafuta (Diesel Tsh 80k) niliweka Puma ya Survey (jirani na Mlimani City) na kuanza safari pale kuelekea Morogoro.
Njiani sikua na vituo zaidi ya kusimama JKT Mlandizi na Cate Hotel Morogoro.
Barabara ya Dar to Moro ina magari mengi ni mara chache sana kumaintain average speed ya 75km/h kwa muda mrefu, muda mwingi nimejikuta natembea average ya 50km/h au chini, nikitumia masaa matano na nusu hadi Moro (mi sio mtu wa kibati)!
Baada ya hapo misele ya Morogoro tu mjini, ambapo niliendesha zaidi na stops and go zilikua nyingi hadi kesho yake ndio safari ya Ifakara ikaanza.
Barabara ya Mikumi kutokea Ifakara ni nzuri sana, haina msongamano wala speed limits nyingi.
Kukawa na misele ya siku mbili Hapo Ifakara ambapo nilitumia gari, na kuanza kurudi Dar.
Kufika Mikumi town nikaongeza mafuta (taa ilikua imewaka) pale Total mafuta ya Tsh 50k, na kuendelea na safari hadi Moro ambapo nili break kwa nusu saa na kuendelea hadi Dar nonstop.
Kurudi kuanzia Mlandizi nilikutana na foreni sana kwahiyo speed ilikua ndogo sana.
Average speed ya safari nzima ilikua 21 km/h ambayo ni ndogo sana na imechangiwa na town trips na speed ndogo Morogoro road (Dar - Mlandizi).
Kwa ulaji wa mafuta, trip nzima ina average ya 21.7 km/L.
Kwa wastani kilometa 900 hiyo feedback.
Njiani nilikua natumia sana cruise control na ndio ilisaidia nisichoke sana na nilijitahidi kupunguza vituo vingi vya kusimama.
Okay, hii ndio experience yangu, kwa wadau wa Mazda CX5 ulaji wa mafuta utafanana kiasi chake kwasababu wanashare engine, Skyactiv 2.2D