Wapenzi wa pombe kali usiache kupitia huu Uzi!

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Iv malkia wa mganga uchawi na pombe vinaingiliana kweli?

Kama huna jibu mulize mshana jr

Nb; nikusifu maana upo chamani tena unastahili pongezi nyingi
 
Hivi sminorf nayo ni pombe kali wakuu au akili yangu ishachachuka????
Sion tofauti yake na savanna
 
Black label & Red Label hizo zote ni Jack Daniels
 
Kama ni kweli ulichokiri basi mtani wangu mshana kaingia cha kike tena cha mabubu
 
Captain Morgan imetulia..... Amarula haipo kwenye hili kundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…