[emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]na waislamAisee,wasabato tunakosa mengi
Sio allergy sema kama ni fake nawashwa sana na nakuwa mwekundu. Ndo maana bia nakunywa serengeti Lager ile hawachakachui kwasababu Sio maarufuUna allergy
Hahahahaha wewe kiboko unakula lakini ukashibaMi huwa nakunywa yoyote kali hata gongo, kuna kipindi nilianza kumix energy drink ya azam na Bombadier, kidogo nife maana inakudanganya utamu unapiga bapa mbili kiroho safi,
Unajikuta unaongeza kischana, kesho yake hukumbuki ulifikaje home
Kwa huku singida kuku ni kama bure, nadhan ndiyo maana sikufaHahahahaha wewe kiboko unakula lakini ukashiba
Pole sana unatakiwa unywe kadri ya uwezo wakoKuna siku nimehudhuria harusi ya Kihaya pale Primrose nikala bia nikaona jau sasa kulikua na Jack Daniels nikaletewa mzinga mmoja. Nikaanza kuusorora ado ado. Sikumbuki kilitokea nini ila nilijikuta ghetto kesho yake jioni. [emoji23] [emoji23]
Pombe za bure huwa ni hatari sana, watu wanataka kunywa mchango wao wotePole sana unatakiwa unywe kadri ya uwezo wako
ShujaaNini?