Wapenzi wa tamthilia ya “In Love With Ramon” mpo?

Leo nilikuwa busy na mechi ya Yanga kapiga mtu mkono.
Yule Andrea na mpenzi binamu wanaendeleaje? Mara ya mwisho,jana, walikuwa wakiuza machungwa baada ya fedha za kuzuwiwa na Juana(Mama Yake Ramón),kisa wanapendana ndugu, first degree cousins 🤔
 
Leo nilikuwa busy na mechi ya Yanga kapiga mtu mkono.
Yule Andrea na mpenzi binamu wanaendeleaje? Mara ya mwisho,jana, ia hviwalikuwa wakiuza machungwa kwenye supermarkets.
Jana walipeawa order walete box kadhaa za macchungwa Leo wamefanikisha kuziuza sema Kuna mwamba kaja kuwazengua kuwa hairuhusiwi kuuza pasipo kibali

Sema jamaa anaonekana kama tapeli anataka kuwapiga hela ni hvyo mkuu
 
they aint cousins at all, horhe ni mtoto wa kuasili hulyo na marehem mkewe walimu adopt sasa ukoo mzima unajua ni cousins
 
kwa
Hawajakutana lkn Ramon Kuna yule Mzee abaefanya kaz pale gereji ndio alimpa kikaratas ampelekee Fabiola ofisin Sasa Fabiola hakuwepo ikabidi akiache ofisin Sasa yule dogo Sarvado akakiona akasoma ndio akampelekea Fransisco
hio hii mimba ni ya fransisco baada ya kumbaka? stupid gal
 
Asante maana Jana nilikua mbali na itv
Itv wanaletaga tamthilia nzuri sana Kuna Ile iliitwaga shades of the sin mwaka 2010 ilikuaga ni moto
Tatizo wanaweza kurudia wiki mbili mfululizo


 
WAle
Sio ndugu hohe ni adopted son wa Mr hulio ndio maana bond Yao imeshibana na andre
 
Asante maana Jana nilikua mbali na itv
Itv wanaletaga tamthilia nzuri sana Kuna Ile iliitwaga shades of the sin mwaka 2010 ilikuaga ni moto
Tatizo wanaweza kurudia wiki mbili mfululizo
kunae moya inaitwa i plead guilty ni hatari ndio ikaja hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…