I agree with you ....Nimechukua plot Kibaha kongowe kata ya Msufini karibu kabisa na Station ya standard gauge railway (SOGA) tayari kuna maeneo yametengwa kwa ajili ya viwanda, Barabara zishaanza kuchongwa ...Kibaha is the best compare to Kigamboni
Umbali kutoka city centre to Kibaha kongowe ni 40km
Distance from City centre to kigamboni buyuni ni 50+ km
Hapo kwa mwenye kufikiria vizur atajua wapi akainvest
Coz kwa 1.5m+ ndo unaweza ukapata kiwanja kigamboni tena huko Buyuni ndani ndani..na pia kwa bei hiyo hiyo unapata Kibaha
Distance from City centre to Chalinze ni 100km ...Upo uwezekano mkubwa wa kuja kutanuliwa barabara ya Dar to chalinze ikawa double road
Sent using
Jamii Forums mobile app