Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Halafu wewe acha ujinga Mlandizi makazi mpya nani amekwambia kuwa heka ni mil 15?Sasa Unaweza kumiliki kiwanja kizuri kwa Bei nzuri kabisa na ukalipa Cash ama ukachukua kwa mkopo Viwanja tulivyonavyo kwa Sasa Ni hivi👇
✅Fukayosi Bagamoyo kuanzia sqm 500 Bei kwa Cash ni Tsh 1,250,000 na kwa mkopo ni Tsh 3000 kwa sqm 1 kwa muda wa miezi 6...
Kama ni karibu na ile barabara ya bandari kavu kule sahv pashakua hotUkiwa. Dar
Unaweza. Kusema.hivo.moro
Rod. Karibu
Na.barabarani
Hakuna
Sehemu
Inauzwa. Rahis
Watu
Wengi.wanahamia.huko.wanasogea.karibu.nabandari.kavu
Ahahahhaahha Mwasonga ni Dar pembezoni hukoUkiwa huna hela unatupwa nje ya mji!!?
huko ni Dar ama mikoani. Manake mnunuzi amesema anataka Dar
Vigwaza hii Bei kubwa kwel anamuibia Mimi Nina site huko sio Bei hiyo
Nivigwaza. SekondaliKama ni karibu na ile barabara ya bandari kavu kule sahv pashakua hot
Siku za weekend watu wanaenda sana kutembelea viwanja vyao .
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigwaza kubwa.Vigwaza hii Bei kubwa kwel anamuibia Mimi Nina site huko sio Bei hiyo
Bei zake zikoje huko za viwanja?Yaah.. Kibaha Mlandizi ndio sehemu za kukamatia viwanja kadri uwezavyo.
#MaendeleoHayanaChama
Inategemea. UmbaliBei zake zikoje huko za viwanja?
Nnacho mie kibaha Pangani Km 3 toka barabara ya Morogoro road... Karibu sana na stendi ya mabasi ya Loliondo... Kina ukubwa wa Sqm 698...Nipe bei za kibaha 3km -5km
Mbona huweli bei ...unauza au unaringishiaNnacho mie kibaha Pangani Km 3 toka barabara ya Morogoro road... Karibu sana na stendi ya mabasi ya Loliondo... Kina ukubwa wa Sqm 698...
LABDA KIWANJA CHA KULA BATA WEEKEND NA PENYEWE MILIONI MBILI HIYO NI NDOGO. njoo PM nikuelekeze Machimbo ila anza na Wavuvi Kempu Coco Beach. Pale local beer ni elfu 7 na imported beer (Heineken, Windo, Savanna Desperado) elfu 9, vikali vinauzwa bei tofaut tofauti hadi 435,000 HennessyHabari wakuu,
Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey. Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi Beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani.
Swali: Je, ni wapi naweza kupata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katika moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu! Isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.
Karibuni
Msongola aje nimuunganishe na mtu.Mwambie na Msongola huko
Nakubaliana na wee uko ndani mvuti ndani Sana viwanja laki Tisa Tisa na milion Ni za kumwaga Kuna jamaaa angu kanaunua Cha laki tano kaonga demu Basi jamaa alipewaa mapenzi bila kipimo nae demu kichwa kichwa alianaza kuwaosheaa wezakaa kuwa anamiliki kiwanja dsm [emoji23][emoji23]Kipo chanika HOMBOZA
Robo heka (35 kwa 20)
Kinataka laki 9 tu.
Sure mkuu au asogee chalinze kuna maeneo mengi yako jirani kabisa na morogoro road atapata kwa bei nzuriHio hela katafute shamba mkoani, achana na ishu za kiwanja kwanza