Wapi mnapata pesa za kujenga wandugu? Mbona kwangu naona chenga tu?

Wapi mnapata pesa za kujenga wandugu? Mbona kwangu naona chenga tu?

Inaendelea..

Inaendelea....

Jamaa akaniambia mfuko dazen 1 ni 1200,na mfukoni nilibakiwa na 3000 nikanunua mifuko,ilikiwa ni ile meupe mikubwa,basi nikaanza kuuza mifuko nikiwa na begi langu mgongo kweli siku hiyo nilipambana kwanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana nikauza dazeni 2 faida nilipata 2400.

Katika kuuza mifuko nilijuana na vijana mwenzangu waliotoka maeneo mbalimbali hapa tanzania,ila asilimia kubwa ya hao vijana walikuwa waluguru na wasambaa ila siku bahatisha kukutana na mchanga yeyote,ni mimi pekee ndo nilikua mengi siku hiyo hiyo wakanipa jina la mangi maana nilikua chapu tu pale niliposikia mtu anaitwa mfuko.

Wale jamaa wakanipa mbinu za kupiga pesa,wengine aliniambia kwa siku wanaingiza 15000 mpaka 20000 nilishangaa sana,wengine waliniambia wameoa na wanamaisha yao,ila walinipa mbinu za kutusua kama hao,basi wakaniambia natakiwa niwe mchafu kwenye nguo nazovaa ziwe zimepauka zikiwa na vumbi la magunia,mbinu nyingine wakaniambia niwe mjanja pale napowaona wanaokuja kununua vitu niwe nakaa karibu nao,maana wengine hununuaga vitu vingi na hutafuta watu wakuwabebea.

Basi nikasepa zangu gheto,siku ikapita.

Kweli asubuhi nikawahi sokoni nikiwa nimechafuka kama porter wenyewe wa mabibo,mzee asikuambie mtu kweli siku hiyo nikauza dazen 4 na nikabebea watu mizigo na kuwapelekea kwenye magari ya goba,mbenzi,kwa rusungu,tegeta n.k hapo hapo sokoni kuna pickup huwa zinawapelekeaga wafanyabiashara wamagengeni mahali wanapofanya biashara zao.

Kweli siku hiyo nikaingiza 8000 nilifurahi sana,nikaanza kufahamika na kukubalika mabibo sokoni,nilikuwa sichagui mzigo,matango,nazi,majimbi,ndizi viazi,tangawizi hadi dagaa nilikua na nguvu mpaka wakawa wananishangaa,waluguru ndio walisifika kwa kubeba mizigo minzito ila wenyewe waliniwanzia mimi.

Nilipambana mabibo nikawa siunzi tena mifuko nikajiingiza kwenye UKULI.
😀😀😀Hatari sana,endelea kupambana mkuu
 
Habari wa ndugu wa tanzania??

Nimepitia site mbalimbali humu,ila site iliyonifanya kuwaza sana ni hii ya UJENZI,nimepitia nyuzi nyingi sana humu,yani kila niliyosoma imenifanya moyo kuuma kwa machungu sana na kuna kitu kipo kwenye koo kinanifanya machonzi kunilenga lenga kwa huzuni juu ya maisha yangu.

Sijaandika haya ilinipate comment nyingi au kuhave fun,lakini nimeandika nikiwa na uhalisia kwa kile nachokipitia katika maisha yangu.

Nina umri wa miaka 33,nina mke na watoto 2,mwanamke mwenyewe sijamuoa kwa ndoa wala nini,ni ile sogea tuishi,mwaka 2018 ndio niliyeamua kuishi naye sasa toka kipindi hicho maisha kwangu yamekua magumu sana.

Mimi mzaliwa wa ARUSHA,nilikuja dar 2016 baada ya kusota chuga kutafuta kazi bila mafanikio,maana nilihitimu chuo 2015 na toka kipindi hicho nimesota kutafuta kazi bila mafanikio yoyote.

Niliamua kuja Dar kutafuta maisha baada ya kuchoka kuishi home na kula ugali wa shikamoo ndio nikaja Dar 2016,baada ya kuja Dar nilifikia maeneo ya ubungo kibangu nakumbuka nilikua na 300000 niliyopata kwa kazi ya kuchimba msingi na saidia fundi,mpaka kuikusanya hiyo pesa nilisota asikuambie mtu,kuchimba mashimo ya vyoo na kujaza vifusi kwenye nyumba za watu.

Baada ya kufika ubungo kibangu,nilifikia kwa brother kipindi hicho kaka alikua na duka la bidhaa za nyumbani,ila duka hilo lilikua lishaanza kufilisika maana alikuwa na kesi na mwanamke mmoja aliyezaa naye mtoto alimsingizia amemfira kipindi akiwa mjamzito.

Basi brother akawa ashindi dukan kila siku akawa anaenda mahakamani mpaka duka likafilisika na kujikuta Anarudi Bush KILIMANJARO,ndio kipindi hicho ndo nilikua nimefika Dar,nilikua nasiku 3 tu kufika Dar na mwenyeji wangu anaamua kurudi bush.

Nikiwa na 300000 nilitafuta chumba maeneo ya kibangu nikapata chumba cha 35000 mwenye nyumba alitaka kodi ya miezi 6 nilimbeleza sana nimpe kodi ya miezi 3 aligoma katu katu basi nikampa 210000,kwenye ile 300000 nikabaki na 90000 kutoa pesa ya Dalali 35000 nikabaki na 55000,nikakabidhiwa ufunguo wa chumba nikiwa sina chochote zaidi ya begi langu.

Basi ile 55000 nikaenda pale darajani, ubungo nikauziwa godoro la futi 4 ulimi kwa 25000 nikanunua maji ya kunywa, carton 1 kwa 3000,mapazia 2 ya 8000 kwa 16000K mpaka hapo nkawa nimetumia 44000 kwenye ile 55000 nikabakiwa na 11000.

Siwenzi kuandika yote hapa mambo ni mengi sana
Kila mtu anazama zake za kupata hela nyingi kumbe ni muhimu zama hizo zikitufika tutumie pesa vizuri na kuweka akiba
 
Inaendelea..

Inaendelea....

Jamaa akaniambia mfuko dazen 1 ni 1200,na mfukoni nilibakiwa na 3000 nikanunua mifuko,ilikiwa ni ile meupe mikubwa,basi nikaanza kuuza mifuko nikiwa na begi langu mgongo kweli siku hiyo nilipambana kwanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana nikauza dazeni 2 faida nilipata 2400.

Katika kuuza mifuko nilijuana na vijana mwenzangu waliotoka maeneo mbalimbali hapa tanzania,ila asilimia kubwa ya hao vijana walikuwa waluguru na wasambaa ila siku bahatisha kukutana na mchanga yeyote,ni mimi pekee ndo nilikua mengi siku hiyo hiyo wakanipa jina la mangi maana nilikua chapu tu pale niliposikia mtu anaitwa mfuko.

Wale jamaa wakanipa mbinu za kupiga pesa,wengine aliniambia kwa siku wanaingiza 15000 mpaka 20000 nilishangaa sana,wengine waliniambia wameoa na wanamaisha yao,ila walinipa mbinu za kutusua kama hao,basi wakaniambia natakiwa niwe mchafu kwenye nguo nazovaa ziwe zimepauka zikiwa na vumbi la magunia,mbinu nyingine wakaniambia niwe mjanja pale napowaona wanaokuja kununua vitu niwe nakaa karibu nao,maana wengine hununuaga vitu vingi na hutafuta watu wakuwabebea.

Basi nikasepa zangu gheto,siku ikapita.

Kweli asubuhi nikawahi sokoni nikiwa nimechafuka kama porter wenyewe wa mabibo,mzee asikuambie mtu kweli siku hiyo nikauza dazen 4 na nikabebea watu mizigo na kuwapelekea kwenye magari ya goba,mbenzi,kwa rusungu,tegeta n.k hapo hapo sokoni kuna pickup huwa zinawapelekeaga wafanyabiashara wamagengeni mahali wanapofanya biashara zao.

Kweli siku hiyo nikaingiza 8000 nilifurahi sana,nikaanza kufahamika na kukubalika mabibo sokoni,nilikuwa sichagui mzigo,matango,nazi,majimbi,ndizi viazi,tangawizi hadi dagaa nilikua na nguvu mpaka wakawa wananishangaa,waluguru ndio walisifika kwa kubeba mizigo minzito ila wenyewe waliniwanzia mimi.

Nilipambana mabibo nikawa siunzi tena mifuko nikajiingiza kwenye UKULI.

Inaendelea...
Niliishia hapa.
Nilipambana mabibo nikawa siunzi tena mifuko nikajiingiza kwenye UKULI.
Tuendelee..
Baada ya kuacha kuuza mifuko,nilijiingiza kwenye UKULI wa kubeba mizigo minzito,hiyo ilikuwa 2017 niliparangana sana ishu ikaja jinsi ya kuwahi sokoni maana magari yanaingia kwanzia saa 9 za usiku na sehemu napoishi ni ubungo kibangu juu ya kwa bondia, na sehemu hiyo kuna mbwa wengi sana.

Saa 9 usiku nilikuwa natoka kibangu nakimbia kwa miguu napishana na mbwa na mambo ya ajabu chungu mnzima,mbwa walikuwa wananikimbiza kila siku mpaka wakaanza kunizoea kila wakiona nakuja kwa mbali wanatanda barabarani zaidi ya mbwa 20 napita kati kati yao huku roho inaenda mbio,kuna siku kidogo nitafunwe na mbwa nilishambuliwa bahati nzuri nilibeba fimbo ndio iliyonisaidia maana walining'ata mguuni na mgongoni,nilipata majeraha sikuweza kufanya kazi kwa week moja maana niliumia mgongoni na miguuni ilijaa meno ya mbwa daah niliumia sana.

Ndani nilisave laki 8,nikaamua kuhama kibangu kwa kuwa nilikuwa sina chombo chochote cha ndani zaidi ya begi langu,nikanunua kitanda,godoro,sofa,jiko la gesi na vyombo vyote vya kupikia ila hivyo vitu nlinunua USED kwa mtu alikuwa anaviuza.
Nikaamia ubungo mwisho,basi nikawa karibu na soko la mabibo hiyo ilikuwa 2018 nilifanya kazi kwa bidii nikajaza kila kitu ndani,yani ukiingia kwenye chumba changu utamani kutoka gheto la maana.

Katika kufanya kazi sokoni,kuna Dada alitokea kunikubali(sio kimapenzi),na kuniamini akawa ananitumia pesa nimnunulie vitu vya hotelini,kweli nilifanya naye kazi kwa uaminifu sana hata kazi za UKULI nkaanza kupunguza.
Ndani ya miezi sita nilisave ndani million 2 nikaamua kufungua library ya movies,baada ya kufungua library nikaacha kazi ya ukuli rasmi mwishoni mwa mwaka 2018.

Ila sokoni nikawa naenda kwa ajili ya kumnunulia yule Dada vitu vya hotelini,baada ya kumnunulia narudi zangu nafungua library yangu kweli maisha yakaanza kubadilika.

Kimbembe kilianza pale nilipokutana na huyu mwanamke...
 
Inaendelea...
Niliishia hapa.

Tuendelee..
Baada ya kuacha kuuza mifuko,nilijiingiza kwenye UKULI wa kubeba mizigo minzito,hiyo ilikuwa 2017 niliparangana sana ishu ikaja jinsi ya kuwahi sokoni maana magari yanaingia kwanzia saa 9 za usiku na sehemu napoishi ni ubungo kibangu juu ya kwa bondia, na sehemu hiyo kuna mbwa wengi sana.

Saa 9 usiku nilikuwa natoka kibangu nakimbia kwa miguu napishana na mbwa na mambo ya ajabu chungu mnzima,mbwa walikuwa wananikimbiza kila siku mpaka wakaanza kunizoea kila wakiona nakuja kwa mbali wanatanda barabarani zaidi ya mbwa 20 napita kati kati yao huku roho inaenda mbio,kuna siku kidogo nitafunwe na mbwa nilishambuliwa bahati nzuri nilibeba fimbo ndio iliyonisaidia maana walining'ata mguuni na mgongoni,nilipata majeraha sikuweza kufanya kazi kwa week moja maana niliumia mgongoni na miguuni ilijaa meno ya mbwa daah niliumia sana.

Ndani nilisave laki 8,nikaamua kuhama kibangu kwa kuwa nilikuwa sina chombo chochote cha ndani zaidi ya begi langu,nikanunua kitanda,godoro,sofa,jiko la gesi na vyombo vyote vya kupikia ila hivyo vitu nlinunua USED kwa mtu alikuwa anaviuza.
Nikaamia ubungo mwisho,basi nikawa karibu na soko la mabibo hiyo ilikuwa 2018 nilifanya kazi kwa bidii nikajaza kila kitu ndani,yani ukiingia kwenye chumba changu utamani kutoka gheto la maana.

Katika kufanya kazi sokoni,kuna Dada alitokea kunikubali(sio kimapenzi),na kuniamini akawa ananitumia pesa nimnunulie vitu vya hotelini,kweli nilifanya naye kazi kwa uaminifu sana hata kazi za UKULI nkaanza kupunguza.
Ndani ya miezi sita nilisave ndani million 2 nikaamua kufungua library ya movies,baada ya kufungua library nikaacha kazi ya ukuli rasmi mwishoni mwa mwaka 2018.

Ila sokoni nikawa naenda kwa ajili ya kumnunulia yule Dada vitu vya hotelini,baada ya kumnunulia narudi zangu nafungua library yangu kweli maisha yakaanza kubadilika.

Kimbembe kilianza pale nilipokutana na huyu mwanamke...

Kumbe wale jamaa wakataa ndoa huwa wapi sahihi.
Eeh! Huyo mwanamke alikuja na nuksi zipi….
 
Inaendelea...
Niliishia hapa.

Tuendelee..
Baada ya kuacha kuuza mifuko,nilijiingiza kwenye UKULI wa kubeba mizigo minzito,hiyo ilikuwa 2017 niliparangana sana ishu ikaja jinsi ya kuwahi sokoni maana magari yanaingia kwanzia saa 9 za usiku na sehemu napoishi ni ubungo kibangu juu ya kwa bondia, na sehemu hiyo kuna mbwa wengi sana.

Saa 9 usiku nilikuwa natoka kibangu nakimbia kwa miguu napishana na mbwa na mambo ya ajabu chungu mnzima,mbwa walikuwa wananikimbiza kila siku mpaka wakaanza kunizoea kila wakiona nakuja kwa mbali wanatanda barabarani zaidi ya mbwa 20 napita kati kati yao huku roho inaenda mbio,kuna siku kidogo nitafunwe na mbwa nilishambuliwa bahati nzuri nilibeba fimbo ndio iliyonisaidia maana walining'ata mguuni na mgongoni,nilipata majeraha sikuweza kufanya kazi kwa week moja maana niliumia mgongoni na miguuni ilijaa meno ya mbwa daah niliumia sana.

Ndani nilisave laki 8,nikaamua kuhama kibangu kwa kuwa nilikuwa sina chombo chochote cha ndani zaidi ya begi langu,nikanunua kitanda,godoro,sofa,jiko la gesi na vyombo vyote vya kupikia ila hivyo vitu nlinunua USED kwa mtu alikuwa anaviuza.
Nikaamia ubungo mwisho,basi nikawa karibu na soko la mabibo hiyo ilikuwa 2018 nilifanya kazi kwa bidii nikajaza kila kitu ndani,yani ukiingia kwenye chumba changu utamani kutoka gheto la maana.

Katika kufanya kazi sokoni,kuna Dada alitokea kunikubali(sio kimapenzi),na kuniamini akawa ananitumia pesa nimnunulie vitu vya hotelini,kweli nilifanya naye kazi kwa uaminifu sana hata kazi za UKULI nkaanza kupunguza.
Ndani ya miezi sita nilisave ndani million 2 nikaamua kufungua library ya movies,baada ya kufungua library nikaacha kazi ya ukuli rasmi mwishoni mwa mwaka 2018.

Ila sokoni nikawa naenda kwa ajili ya kumnunulia yule Dada vitu vya hotelini,baada ya kumnunulia narudi zangu nafungua library yangu kweli maisha yakaanza kubadilika.

Kimbembe kilianza pale nilipokutana na huyu mwanamke...
endelea mkuu, ili tuupe ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom