Wapi mnapata pesa za kujenga wandugu? Mbona kwangu naona chenga tu?

Wapi mnapata pesa za kujenga wandugu? Mbona kwangu naona chenga tu?

Tulsa zipo chache bro, serikalini mpaka sekta binafsi, hatuna ajira(kipato kuanzia milioni)za kuwapa vijana wote wanaohitaji, kenge wa, CCM wanafikiri kwa, kutoza Kodi na, kuongeza, Kodi, ndio wataleta maemdeleo ya viwanda,
Nchi inakuzwa, na viwanda(manufacturing industry) sio uchuuzi wa bidhaa kutoka china unaofanywa na wafanyabiashara wengi.
Hata Freddy vunjabei, anafanya uchuuzi tu, unanunua bidhaa kutoka china, una kuja kuu za bongo, haina tofsuti na mama zangu wanaonunua samaki ferry na kwenda kuuza kitaa, wanapata pesa,lakini fikiria nguo,tv, friji, radio, viatu vyote vinavyoletwa kutoka china na kuuzwa kariAkoo , vingekuwa vinatengenezwa hapa bongo, faida ingekuwa, kubwa
 
Inaendelea
ukiisha hivi..

Kimbembe kilianza pale nilipokutana na huyu mwanamke...

Ok twende pamoja.
Ndugu zangu kipindi ukiwa hohe hahe hakuna mtu atakuwa na habari nawe ila ukishashika pesa kidogo tu na kuhakikishia hata wale ndugu walikuwa hawakupigii simu wataanza kukutafuta,na mademu wataanza kukusifu wewe handsome hata kama sura yako hayiridhiki.
Tuachane na hayoooooo
.

Ndugu zangu unaambiwa hivi katika maisha yako kosea barabara utaelekezwa,kosea nyumba utabomoa,ila nakuambia usikosee kuoa au kuishi na mwanamke,aisee usikosee ndugu zangu..

Katika utombeshaji niliofanya kwenye maisha yangu ni kukosea kuishi na huyu mwanamke,najuta kila kukicha sina amani katika maisha yangu,kila siku najuta ndugu zangu.utajiuliza kwanini nalalamika hivi sasa twende kazi ili mjue kuna wanawake wengine majini,usione wanaume wenzenu wanajiua mkajua wapuuzi na wajinga,aisee hakuna kitu kibaya kama mawazo...ogopa depression hero



Twende kaziiii....

Picha linaanza hivi,ile siku niliyekutana naye mabibo sokoni nachukia sana.
Ilikuwa mida ya saa 5 baada ya kumkusanyia yule Dada vitu vyake vya gengeni,nilikuwa nimeponzi kwenye moja ya meza ya mshikaji wangu wa damu kabisa,jua lilikiwa kali sana nkaona twoga zinapita nikaita weee muuza twoga leta moja.

Aisee kumbe anayeuza twoga alikuwa ndo huyu mwanamke anayenichanganya daily,demu kweli kajaliwa tako ndo kitu kilichonifanya niombee namba,mimi napenda sema demu mwenye tako,ndo ugonjwa wangu huo..

Mwanamke bila hiyana akanipa namba yake,Siku zikapita kama mbili nikakumbuka kuwa kuna namba nilisave kwenye simu yangu,nikamchokoza kwa SMS

Mimi-mambo mdada,
Yeye-bila kuchelewa akajibu powah,
Mimi-Leo sijakuona sokoni!
Yeye-nimeenda kwa mwaponsa Leo,
Mimi-mhhh kumbe umeokoka,
Yeye-hapana kanisa hili sio la wal
Okole,
Mimi-ok umeniombea??
Yeye-nimeombea watu wote
Tanzania,
Mimi-ok tuyaache hayo,ujue
Nimevutiwa nawe??

Yeye-akaguna mhhhh.
Mimi-unaguna nini??
Yeye-hamna sikutegemea kama
Ungeniambia hivi.
Mimi-kwanini??
Yeye-unaonekana mstaarabu.
Mimi- ndio,tena sana.
Yeye-ndo maana nimegouna,
Mimi-nikakoleza nakupenda..

Baada ya kumwambia nampenda akanyamaza kimya kidogo,hakuchart tena nkaona nimpigie simu siunajua hawa Dada nzetu hawana confidence yakuonge na mwanaume kuhusu maswala ya mapenzi.
Kweli nikampiga sound la haja binti kajaa kulichofuata ni historyyy.
Lete story mkuu au shemeji kakuzingua nini?
 
Back
Top Bottom