Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Hii ndio jfTena if possible andika epsode moja tu. Ukiwa unapata muda andika unaisave, endelea hivyo siku ukimaliza weka moja tu. Ulianza thread kama swali lakini umeifanya kuwa hadithi ya mwendelezo halafu unaandika kifupi sana,
JF wanataka kuigeuza kama FB. Huyu alikuja na swali siyo story ya maisha yake. Kama vipi abadili title tuelewe. Sasa kwa lile swali lake tumjibu nini?🤣🤣Hii ndio jf
Inaendelea..Inaendelea.
Habari zenu wandugu??
Jumapil imetulia vyema,japo umeme wamechukua masnitch tanesco ila hakuna kitakacho haribika.
Kama nilivyosema hapo mwanzo hii ninayoandika ni mimi niliyopitia,nashangaa kuna watu humu wamekuwa daima wanaamini kila uongo wasikiacho au kukisoma,kama unaona nilichokiandika ni chai ni wewe na roho yako kivyako..
Tuachane na hayo..
Twende moja kwa moja baada ya kuchakatua mbususa wa huyo mwanamke wa kinyakyusa,ni kama nilimloga aisee maana kipindi hicho alikuwa anaishi kwa Dada ake.
Akawa anatoroka kwa Dada ake nakuja kwangu maana kwa Dada ake na kwangu sio mbali kivile,demu akanogewa na muhogo kutoka chuga,mda wote anataka nimkune, usiku anatoroka nakuja kwangu nikamwambia aende kwao hataki,dada yake akapeleleza mpaka akajua ni mimi ninayo msababisha kutoroka kwao,basi dada akanifuata nikamuelekeza huwa anakujaga kwangu,nikamwambia asiwe na wasiwasi nipo naye,basi nikapewa uhuru wakuwa Nate.
Binti siaka hamia kwangu manzima,na begi lake la shangazi kaja kipindi anakuja manzima kwangu tayari alishapata ujauzito,basi tukaishi vyema huku nikiparangana na mbishe zangu za library na sokoni.
Kweli nililea ile mimba mpaka kufika WAKATI wa kujifungua,nikajiandaa vyema kumpokea mtoto wangu,kwa sisi wachaga mtoto wa kwanza lazima alelewe na Bibi yake au Dada zako,basi nikampeleka chuga kujifungua.
Basi kweli mwisho wa siku akajifungua mtoto wa kiume,aisee nilifurahi sana maana nilishahapaga lazima Mama yangu hamuone mjuu wake kabla hajafa,basi mzee Baba nikawa natuma pesa za kula uzazi,aisee binti alinenepa na kupendeza sana maana wa Mama wa kichaga wanajua kulea sana wajawazito.
Baada ya miezi kadhaa kuptia mwanamke akaanza vituko kwa Mama mkwe,mama yangu mimi ni mfanya biashara soko kuu la Arusha,huwa ndani anajaza kila kitu mchele,mafuta,unga ,sabuni n.k sasa mwanamke akawa anavigawa kwa majirani,lila akimuuliza mbona vitu vinaisha mapema anajibu vinatumika,hivi kweli mchele kilo 10 unaweza kuisha kwa siku 5??ukicheki nyumbani yupo yeye na Mama tu Dada zangu wameolewa.
Akawa hashindi nyumbani tena mda wote anashinda kwa majirani,afanyi chochote kama kumsaidia mama kuchota maji na usafi,akihamka siku nzima anashinda kwa majirani kazi kupiga umbeya,nikaona Bora nimtumie nauli aje Dar.
Basi toka aje Dar hakuna hata ndugu yake aliyekuja kukucheki,na kumpa hongera kwa kupata mtoto nikasema ishalaah yote DUA basi mzee Baba nikaendelea kumlea vyema bila hata ya tabu yeyote.
Nitajitahidi kuandika kwa kirefu baadaye simu inaisha Charge huku nilipo wamekata umeme toka jana jioni,samahani sana wa ndugu
Basi,akaendelea na vituko vyake nikawa na mvumilia na kipindi chote hicho sijawahi mpiga hata Kofi moja,maana nilijiapia sitakuja kumpiga mwanamke maana nilishampigaga mdogo wangu wa kike mpaka nikamzimisha kosa aliniwekea mchanga kwenye pilau nikampa bonge la kofi akazimia,basi kwanzia siku hiyo nilijiapia sitampiga mwanamke yeyote yule,mapembe ya kamuota akawa ananidharau na kufosi nimpige,kweli nikawa najikaza sana kutompiga nikitoka kazini anasachi pochi nakuchukua pesa zangu nikimuuliza ananiambia hajui aliyechukia,aisee hakuna kitu kinakera kama unamjua mwinzi wako ila hauna cha kumfanya.Basi toka aje Dar hakuna hata ndugu yake aliyekuja kukucheki,na kumpa hongera kwa kupata mtoto nikasema ishalaah yote DUA basi mzee Baba nikaendelea kumlea vyema bila hata ya tabu yeyote.
Jina lenyewe kitombileeeHili jamaa fala sana, linaleta asali alafu linakunukisha harufu tu, wewe unayejiita nebuchadneza na story yako fake ya kutunga, 😜😜😜😜
Sawa mr presidentMangi leta episode za kutosha
Mungu anawaonaWANAWAKE
Haiko kwereAisee wewe lijamaa ni hustler wacha nikufanye lirafiki langu Nebuchadneza
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Sawabasi ukiongeza episode utatutag
Leta vitu acha mbambamba.Inaendelea..
Ndugu zangu tatizo sio mimi tatizo umeme,tanesco wanazingua sana alafu wanataka iwe nchi ya viwanda.
Sawa twende pamoja.
Niliishia hapa👇
Basi,akaendelea na vituko vyake nikawa na mvumilia na kipindi chote hicho sijawahi mpiga hata Kofi moja,maana nilijiapia sitakuja kumpiga mwanamke maana nilishampigaga mdogo wangu wa kike mpaka nikamzimisha kosa aliniwekea mchanga kwenye pilau nikampa bonge la kofi akazimia,basi kwanzia siku hiyo nilijiapia sitampiga mwanamke yeyote yule,mapembe ya kamuota akawa ananidharau na kufosi nimpige,kweli nikawa najikaza sana kutompiga nikitoka kazini anasachi pochi nakuchukua pesa zangu nikimuuliza ananiambia hajui aliyechukia,aisee hakuna kitu kinakera kama unamjua mwinzi wako ila hauna cha kumfanya.
Mwanamke akawa ananifikisha serikali za mtaa eti simuhudumii,aisee naangaika kila siku yeye na mtoto wale ,wavae vizuri,ila nachokifanya Kwake hakina maana yeyote kila akitoka kwa Dada ake kaa ukijua siku hiyo utatukanwa mpaka huchoke,akinitukana huwa najiondokea zangu maana uvumilivu unaweza kuisha nikajikuta jela bure.
Nikajua ni mimi pekee ananifanyia hivyo,kumbe hata majirani anagombana nao,nikawa kila nyumba nayo panga napewa notice ya kuama,nikawa baada ya miezi 2 au 3 naandikiwa notice,ela ikawa haikai tena.
Mtoto alipofikisha miaka 2 akabeba mimba nyingine,basi baada ya kubeba huo ujauzito akawa hafanyi kazi yeyote,anashinda ndani na kufungulia Radio kwa saut ya juu nyumba niliiona chungu.
Hivi mwanamke anakwambia kaka zangu ni police,mwingine ni mpiga karate siku nikiwaambie waje utakoma,ni kweli wapo hivyo ila sio kitu cha kufanya kutoni heshimu,wanawake wa kinyakyusa wababe sana,mwanamke anakudindishia kama anakuweza daah.
Kama Leo mtu akiniambia anataka kuoa,aisee namwambia ajipange,asikurupuke wanawake wa sasa hivi sio wa kuoa ni wakuwazalisha tu,Lea mtoto wako ila kuishi Naye ndani ni kifo unakitafuta,kwanza hawana akili ya maisha wanachokijua ni kujichubua na kufuga makope,shida hawajui,akipata shida kidogo anakimbilia kwao.
Daah tuyaache hayo..
Kuna siku nilikuwa na ugeni wangu,nikamwachia pesa ya kupika chakula kinzuri,mzee baba nimeenda kuwafuata wageni wangu ile narudi nao namkuta anakula kuku mnzima na chips huku anacheki season aisee nilichukia ila nikapotezea,nikawachukua wageni wangu tukaenda kula hotelini,ila kaka akaniuliza huyu mwanamke kabila gani nika mwambie mnyakyusa,akaguna nakusema hapo hakuna mwanamke.
Siku nyingine kachukua nguo zangu zote na kuzichoma moto,ile kumuuliza akanijibu kahamua kuzichoma kwani nitamfanyaje??
Unajua kuishi na mwanamke inahitaji uvumilivu sana,nakumbuka babu yangu alishaniambia wanawake akili zao zipo matakoni,wakishakunya mavi zinatoka.na kudumbukia chooni basi ndo maana nawavumilia.
Nikawa mtu wa mawanzo sana,kipato kikapunguwa,nikimwachia ela ya kupika nakuta hajapka,nikatamani kumkimbia na kumbwagia mtoto ila roho ikawa ngumu nikimcheki mtoto alivyofanana nami kila kitu nikashindwa wazeeya.
Mimi ni mpambanaji sana,nikaamua kuanza kuuza kuku wa boiler wa kukaanga,nikawa napiga pesa Mungu sio athumani nimekusanya pesa vinzuri nikanunue kiwanja,kaka yake akapata kesi kubwa, nikaenda kumuwekea dhamana basi ela ndo ikapotea hivyo.
Nikapata kazi ya kukata miwa kiwanda cha sukar ilovo basi niakazama chimbo,kweli nimeenda nimepigika miezi 4 nikapata laki 4,kuna mshikaji wangu akanipigia simu nakuniambia kuna msitu upo Dodoma watu wanachoma mkaa na kuusafirisha zanzibar,biashara inalipa sana basi mzee Baba nikatimba kweli tumechoma awamu ya kwanza imeenda vyema,tukapata pesa kidogo awamu ya pili ndio ilikula kwetu,maana tulipakia mkaa kwenye matenga ya nyanya ,yakakamatwa yote kweli mbuzi ma masikini hazai,tukawekwa kitu cha polisi kwa siku 4 brother akaja akatuwekea dhamana.
Kipindi natoka dar, nilimuachia pesa ya kula sasa ikawa inaisha na dalil za kurud sina,nikamwambia hauze tv akauza kwa mtu laki 4 nikamwambia Anitumie laki 3 akanitumia laki 2 na nusu eti mgawanyo nilishangaa sana TV nmenunua kwa pesa zangu tena kazikuta,Leo hii ananiambia tugawane aisee.
Siku kata tamaa,nikarudi chuga kupumzisha akili kidogo,katika kukaa chuga ikaja wazo lakusafirisha bangi kuzileta dar,basi katika kusikuti nikazama olkokora moja,bangi kutoka inapolimwa mpaka town chuga ni simple sana,ishu ipo kuileta dar,nikawaza nitumie mbinu gani maana nilichukua debe 3 za ganja,nikaona mbinu pekee ya kuchanganya bangi na bidhaa nyingine ili isishutukiwe.
Basi katika kutafakari mbinu pekee,ya kuifanya isinukie kwenye gari nkaona niipige mifuko meupe ya lailon tighit,basi nikaifunga vyema na nikaweka kitungu saumu kilichochomwa jikoni aisee kinanukia hatari,kweli awamu ya kwanza kuleta Dar nikafanikiwa vyema mpaka nashukia pale shekilango hakuna aliyenishitukia hiyo ilikuwa 2019 bado kidogo wife ajifungue mtoto wa 2.
Nashukuru nilifika salama bila kushitukiwa na police yeyote,nikazama chimbo manzese kwa msela angu mmoja anayeuza ganja kama biashara yake,basi zile debe 3 tukazifunga kwa bei ya kila peace moja kwa 500,zikatoa peace 760.
Nikamuelekeza mimi ntachukua 350 kila peace yeye achukue 150,basi akakomaa baada ya week 2 mzigo umekata na watu wanahitaji kwa wingi,tena wameongezeka nawafanya biashara wengine wanataka mzigo.
Kama kuna mtu hajui bangi yana olkokora ngoja niwape mwangaza kidogo muijue vyema,bangi ya olkokora ni safi sana,hata kwa mtu anayevuta kwa siku ya kwanza haimuumizi kifua,tena ni kali sana,alafu inachelewa kutoka kichwani inachukua masaa 4 kutoka,inakufanya unapata hamu ya kula,basi vitu hivyo vimefanya izidi kupendwa na watu wa chuga na tanzania nzima.
Bangi nilinunua 15000 kwa debe 3 kila debe 5000 faida niliyoipata 350000 hebu check ilivyo nafaida ila ina risk ya kukamatwa na kufungwa,nikajiapia kuwa lazima nilete gunia 2 za kilo 50 dar.
Usikosee kwa muendelezo maana mambo ndo yanazidi kuwa hatari.....
🙏
Jina lenyewe kitombileee
Usiwaze kitombileLeta vitu acha mbambamba.
NitaisomabaadaeHabari wa ndugu wa tanzania??
Nimepitia site mbalimbali humu,ila site iliyonifanya kuwaza sana ni hii ya UJENZI,nimepitia nyuzi nyingi sana humu,yani kila niliyosoma imenifanya moyo kuuma kwa machungu sana na kuna kitu kipo kwenye koo kinanifanya machonzi kunilenga lenga kwa huzuni juu ya maisha yangu.
Sijaandika haya ilinipate comment nyingi au kuhave fun,lakini nimeandika nikiwa na uhalisia kwa kile nachokipitia katika maisha yangu.
Nina umri wa miaka 33,nina mke na watoto 2,mwanamke mwenyewe sijamuoa kwa ndoa wala nini,ni ile sogea tuishi,mwaka 2018 ndio niliyeamua kuishi naye sasa toka kipindi hicho maisha kwangu yamekua magumu sana.
Mimi mzaliwa wa ARUSHA,nilikuja dar 2016 baada ya kusota chuga kutafuta kazi bila mafanikio,maana nilihitimu chuo 2015 na toka kipindi hicho nimesota kutafuta kazi bila mafanikio yoyote.
Niliamua kuja Dar kutafuta maisha baada ya kuchoka kuishi home na kula ugali wa shikamoo ndio nikaja Dar 2016,baada ya kuja Dar nilifikia maeneo ya ubungo kibangu nakumbuka nilikua na 300000 niliyopata kwa kazi ya kuchimba msingi na saidia fundi,mpaka kuikusanya hiyo pesa nilisota asikuambie mtu,kuchimba mashimo ya vyoo na kujaza vifusi kwenye nyumba za watu.
Baada ya kufika ubungo kibangu,nilifikia kwa brother kipindi hicho kaka alikua na duka la bidhaa za nyumbani,ila duka hilo lilikua lishaanza kufilisika maana alikuwa na kesi na mwanamke mmoja aliyezaa naye mtoto alimsingizia amemfira kipindi akiwa mjamzito.
Basi brother akawa ashindi dukan kila siku akawa anaenda mahakamani mpaka duka likafilisika na kujikuta Anarudi Bush KILIMANJARO,ndio kipindi hicho ndo nilikua nimefika Dar,nilikua nasiku 3 tu kufika Dar na mwenyeji wangu anaamua kurudi bush.
Nikiwa na 300000 nilitafuta chumba maeneo ya kibangu nikapata chumba cha 35000 mwenye nyumba alitaka kodi ya miezi 6 nilimbeleza sana nimpe kodi ya miezi 3 aligoma katu katu basi nikampa 210000,kwenye ile 300000 nikabaki na 90000 kutoa pesa ya Dalali 35000 nikabaki na 55000,nikakabidhiwa ufunguo wa chumba nikiwa sina chochote zaidi ya begi langu.
Basi ile 55000 nikaenda pale darajani, ubungo nikauziwa godoro la futi 4 ulimi kwa 25000 nikanunua maji ya kunywa, carton 1 kwa 3000,mapazia 2 ya 8000 kwa 16000 mpaka hapo nkawa nimetumia 44000 kwenye ile 55000 nikabakiwa na 11000.
Siwenzi kuandika yote hapa mambo ni mengi sana
ukifufuka?Nitaisomabaadae
Huna akili dogo unaanza life na chumba cha 35k na huna kitu ndani ni hizo tako tu unazipangishia chumba cha mfanyakazi wa mamlaka kabisa.Habari wa ndugu wa tanzania??
Nimepitia site mbalimbali humu,ila site iliyonifanya kuwaza sana ni hii ya UJENZI,nimepitia nyuzi nyingi sana humu,yani kila niliyosoma imenifanya moyo kuuma kwa machungu sana na kuna kitu kipo kwenye koo kinanifanya machonzi kunilenga lenga kwa huzuni juu ya maisha yangu.
Sijaandika haya ilinipate comment nyingi au kuhave fun,lakini nimeandika nikiwa na uhalisia kwa kile nachokipitia katika maisha yangu.
Nina umri wa miaka 33,nina mke na watoto 2,mwanamke mwenyewe sijamuoa kwa ndoa wala nini,ni ile sogea tuishi,mwaka 2018 ndio niliyeamua kuishi naye sasa toka kipindi hicho maisha kwangu yamekua magumu sana.
Mimi mzaliwa wa ARUSHA,nilikuja dar 2016 baada ya kusota chuga kutafuta kazi bila mafanikio,maana nilihitimu chuo 2015 na toka kipindi hicho nimesota kutafuta kazi bila mafanikio yoyote.
Niliamua kuja Dar kutafuta maisha baada ya kuchoka kuishi home na kula ugali wa shikamoo ndio nikaja Dar 2016,baada ya kuja Dar nilifikia maeneo ya ubungo kibangu nakumbuka nilikua na 300000 niliyopata kwa kazi ya kuchimba msingi na saidia fundi,mpaka kuikusanya hiyo pesa nilisota asikuambie mtu,kuchimba mashimo ya vyoo na kujaza vifusi kwenye nyumba za watu.
Baada ya kufika ubungo kibangu,nilifikia kwa brother kipindi hicho kaka alikua na duka la bidhaa za nyumbani,ila duka hilo lilikua lishaanza kufilisika maana alikuwa na kesi na mwanamke mmoja aliyezaa naye mtoto alimsingizia amemfira kipindi akiwa mjamzito.
Basi brother akawa ashindi dukan kila siku akawa anaenda mahakamani mpaka duka likafilisika na kujikuta Anarudi Bush KILIMANJARO,ndio kipindi hicho ndo nilikua nimefika Dar,nilikua nasiku 3 tu kufika Dar na mwenyeji wangu anaamua kurudi bush.
Nikiwa na 300000 nilitafuta chumba maeneo ya kibangu nikapata chumba cha 35000 mwenye nyumba alitaka kodi ya miezi 6 nilimbeleza sana nimpe kodi ya miezi 3 aligoma katu katu basi nikampa 210000,kwenye ile 300000 nikabaki na 90000 kutoa pesa ya Dalali 35000 nikabaki na 55000,nikakabidhiwa ufunguo wa chumba nikiwa sina chochote zaidi ya begi langu.
Basi ile 55000 nikaenda pale darajani, ubungo nikauziwa godoro la futi 4 ulimi kwa 25000 nikanunua maji ya kunywa, carton 1 kwa 3000,mapazia 2 ya 8000 kwa 16000 mpaka hapo nkawa nimetumia 44000 kwenye ile 55000 nikabakiwa na 11000.
Siwenzi kuandika yote hapa mambo ni mengi sana
Ila kwa hapa bongo vyumba vipo juu sanaHuna akili dogo unaanza life na chumba cha 35k na huna kitu ndani ni hizo tako tu unazipangishia chumba cha mfanyakazi wa mamlaka kabisa.
Huwezi kujenga kama hutabadili mfumo wako wa matumizi ya pesa na nn kitangulie kwa wakati gani.