Wapi mnapata pesa za kujenga wandugu? Mbona kwangu naona chenga tu?

πŸ‘ πŸ‘ πŸ‘ Hongera kwa kuamka tena. Hakuna kisichowezekana.
 
Unatakatisha pesa.
 
Ungemalizia tu story tungekuelewa......japo umepata kiwanja ila yawezekana kuna vitu watu wangekusaidia
 
Tutakufatilia mpka tujue ni biashara gani ya magendo ulifanya

Utajuta kuzaliwa mnaacha kufanya kazi halali mnarukaruka Tu

Tanzania tunataka raia wema

Utawa..haditha wenzako wenye tabia kama zako

Pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…