Wapi nikatafute maisha kati ya Botswana, Mauritius,Namibia au Sychelles?

Wapi nikatafute maisha kati ya Botswana, Mauritius,Namibia au Sychelles?

Kuna siku nilipata nafasi ya kuhudhuria mkutano ulifanyika Masaki. Mgeni rasmi alikua ni balozi mstaafu wa Tanzania nchini Canada.
Aliongea issue nyingi ila alisema katika kipindi chake chote akiwa Canada hakuwahi kupewa tangazo la uhitaji wa nafasi za ufadhili wa masomo nchini Canada lakini cha ajabu kila mwaka watanzania karibia 200 walikua wakiingia Canada kwa ajili ya ufadhili wa kimasomo. Hitimisho, ni kuwa kutafta taarifa sahihi na kuzifanyia kazi kutakufikisha unapotaka kwenda.
Otherwise, utapiga domo sana JF unataka uende kule sijui wapi mwisho wa siku hutoki. Fanya maamuzi, tafta taarifa hata katika balozi za nchi husika unazotaka kwenda kisha chukua hatua.
Wengi wa unaowaomba ushauri humu hawako kwenye nafasi ya kukusaidia na wao wana matamanio tu ila hawana purpose. Nisamehe kama utahisi nimefanya personal attack.
 
Kuna siku nilipata nafasi ya kuhudhuria mkutano ulifanyika Masaki. Mgeni rasmi alikua ni balozi mstaafu wa Tanzania nchini Canada.
Aliongea issue nyingi ila alisema katika kipindi chake chote akiwa Canada hakuwahi kupewa tangazo la uhitaji wa nafasi za ufadhili wa masomo nchini Canada lakini cha ajabu kila mwaka watanzania karibia 200 walikua wakiingia Canada kwa ajili ya ufadhili wa kimasomo. Hitimisho, ni kuwa kutafta taarifa sahihi na kuzifanyia kazi kutakufikisha unapotaka kwenda.
Otherwise, utapiga domo sana JF unataka uende kule sijui wapi mwisho wa siku hutoki. Fanya maamuzi, tafta taarifa hata katika balozi za nchi husika unazotaka kwenda kisha chukua hatua.
Wengi wa unaowaomba ushauri humu hawako kwenye nafasi ya kukusaidia na wao wana matamanio tu ila hawana purpose. Nisamehe kama utahisi nimefanya personal attack.
Sahihi
 
Kwangu ntakwambia Namibia, Botswana , ila fursa huko zipo hivi Botswana hakikisha una fani uwe dereva, fundi either furniture na magari, namibia nenda na mtaji mdogo tu Piga biashara ndogo aisee Kuna fursa, nchi nyingine zisifahamu ulizouliza, ila usiwaze south Africa hapafai Pana mambo ya kishamba mengi
 
Namibia naweza leta bidhaa gani kutoka huku Tanzania?
Kwangu ntakwambia Namibia, Botswana , ila fursa huko zipo hivi Botswana hakikisha una fani uwe dereva, fundi either furniture na magari, namibia nenda na mtaji mdogo tu Piga biashara ndogo aisee Kuna fursa, nchi nyingine zisifahamu ulizouliza, ila usiwaze south Africa hapafai Pana mambo ya kishamba mengi
 
Kwangu ntakwambia Namibia, Botswana , ila fursa huko zipo hivi Botswana hakikisha una fani uwe dereva, fundi either furniture na magari, namibia nenda na mtaji mdogo tu Piga biashara ndogo aisee Kuna fursa, nchi nyingine zisifahamu ulizouliza, ila usiwaze south Africa hapafai Pana mambo ya kishamba mengi
Mkuu unaweza ukatoa muongozo kidogo kuhusu hizo nchi? Mfano

1. Vipi kuhusu ukazi kwa wageni, je kuna usumbufu wowote uki over stay?

2. Niliwahi kusikia ukifika migration kugonga visa lazima uulizwe unapofikia nyumba no au mwenyeji wako. Je kuna ukweli?
 
Back
Top Bottom