evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Nimekuelewa mkuu sitegemei mtu achukue namba hiyo aanze kusumbua hapa tunasaidiana positivelyMkuu umeielewa lakini maana yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa mkuu sitegemei mtu achukue namba hiyo aanze kusumbua hapa tunasaidiana positivelyMkuu umeielewa lakini maana yangu?
Wakuu napenda kwenda nchi inaitwa Romania ni maskin labda Kwa mishe zingine
Nimepiga anasema namba yake nimetoa Kwa Nani? Nimjibuje mkuu au nipe jina lako pmNenda botswana mtafute huyo mtu +26773647948 atakusaidia sana ni m tz au mtafute ecureui sethora motsholele (huyu mbotswana) kwenye facebook bonge la mtu wewe tu jinsi utakavyointerack naye
Hiko ndicho nilichomwambia aliyeweka namba kwamba mwenye namba lazima ashangae kuona anapigiwa tu na watu, otherwise hawe amemjulisha mwenye namba yakeNimepiga anasema namba yake nimetoa Kwa Nani? Nimjibuje mkuu au nipe jina lako pm
SahihiKuna siku nilipata nafasi ya kuhudhuria mkutano ulifanyika Masaki. Mgeni rasmi alikua ni balozi mstaafu wa Tanzania nchini Canada.
Aliongea issue nyingi ila alisema katika kipindi chake chote akiwa Canada hakuwahi kupewa tangazo la uhitaji wa nafasi za ufadhili wa masomo nchini Canada lakini cha ajabu kila mwaka watanzania karibia 200 walikua wakiingia Canada kwa ajili ya ufadhili wa kimasomo. Hitimisho, ni kuwa kutafta taarifa sahihi na kuzifanyia kazi kutakufikisha unapotaka kwenda.
Otherwise, utapiga domo sana JF unataka uende kule sijui wapi mwisho wa siku hutoki. Fanya maamuzi, tafta taarifa hata katika balozi za nchi husika unazotaka kwenda kisha chukua hatua.
Wengi wa unaowaomba ushauri humu hawako kwenye nafasi ya kukusaidia na wao wana matamanio tu ila hawana purpose. Nisamehe kama utahisi nimefanya personal attack.
Afu Kuna wapuuz pia wamempigia sijui wanataka nn kati mwenye shida ya kwenda botswana ni mm TUHiko ndicho nilichomwambia aliyeweka namba kwamba mwenye namba lazima ashangae kuona anapigiwa tu na watu, otherwise hawe amemjulisha mwenye namba yake
Mkuu uko BotswanaNjoo Botswana
Ndio nipo Botswana mkuuMkuu uko Botswana
Mwambie umepata kwa rafiki yake jina siwezi kukupa ongea naye vizuri atakupa msaadaNimepiga anasema namba yake nimetoa Kwa Nani? Nimjibuje mkuu au nipe jina lako pm
PoaMwambie umepata kwa rafiki yake jina siwezi kukupa ongea naye vizuri atakupa msaada
Tunaweza ongea pmNdio nipo Botswana mkuu
Sawa njooTunaweza ongea pm
Watu wanatembelea fursaAfu Kuna wapuuz pia wamempigia sijui wanataka nn kati mwenye shida ya kwenda botswana ni mm TU
Afu Kuna wapuuz pia wamempigia sijui wanataka nn kati mwenye shida ya kwenda botswana ni mm TU
Sidhani kama vzrSasa ulitaka umtafute wewe mwenyewe. Namba imewekwa public kwa mtu yeyote mwenye uhitajio aweze mcheki. Shida itakuwa kwake kupokea simu nyingi ngeni.
Si ndio hapo mpigie simu kama unataka kwenda botswana atakusaidia sio umpigie simu kumsumbua.Sidhani kama vzr
Kwangu ntakwambia Namibia, Botswana , ila fursa huko zipo hivi Botswana hakikisha una fani uwe dereva, fundi either furniture na magari, namibia nenda na mtaji mdogo tu Piga biashara ndogo aisee Kuna fursa, nchi nyingine zisifahamu ulizouliza, ila usiwaze south Africa hapafai Pana mambo ya kishamba mengi
Mkuu unaweza ukatoa muongozo kidogo kuhusu hizo nchi? MfanoKwangu ntakwambia Namibia, Botswana , ila fursa huko zipo hivi Botswana hakikisha una fani uwe dereva, fundi either furniture na magari, namibia nenda na mtaji mdogo tu Piga biashara ndogo aisee Kuna fursa, nchi nyingine zisifahamu ulizouliza, ila usiwaze south Africa hapafai Pana mambo ya kishamba mengi