Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LawyerNitajie fani yako au uzoefu wako nikuelekeze nchi ya kwenda kupiga pesa
Nitajie fani yako au uzoefu wako nikuelekeze nchi ya kwenda kupiga pesa
Samaki safi kabisaHahahaha, inachosha huwezi amni fungu la mchicha bei yake ni zaidi ya 10,000 ya tz..tena mboga za majani xinatoka nje ya nchi yao.
Ni rahisi kupata kazi ya ualimu huko?Tupo tena wengi wengine na vitukuu...huku fursa nyingi sana hasa Tourism na Conservation.....ni kutamu Sera nzuri za nchi ....mfanyakazi anathaminiwa sana yaani level ya Mwalimu msingi huko bongo ni level nyingine
Serious?Karibu south sudan
Dr MziziMkavu naomba na Mimi nifafanulie tarehe 24 Mwezi 12Kama umechoka na maisha ya bongo ninakushauri katika nchi ulizozitaja bora uende nchini Botswana katika nchi za bara Asia nenda Japan au South Korea Au brunei..
Katika nchi za Bara la ulaya nenda ireland au Sweden, au Ujerumani, au Switzerland, au Belgium Au Kanada au Australia
Nipe Tarehe uliyozaliwa na mwezi wako nipate kukupa ushauri wa nchi gani ya dunia inayo kufaa kwenda kuishi na kuweza kufanikiwa kimaisha
Huwez choka samaki hata iwejeHahahaha, inachosha huwezi amni fungu la mchicha bei yake ni zaidi ya 10,000 ya tz..tena mboga za majani xinatoka nje ya nchi yao.
Acha kujidhalilisha mitandaoniNi rahisi kupata kazi ya ualimu huko?
Weka humu Nass tuulizieSamaki safi kabisa
Huko Namibia hamna rate kubwa ya ubakaji? ili mi mdada niende nikapange zangu getho niwe naagiza vitu china nauza.Kwangu ntakwambia Namibia, Botswana , ila fursa huko zipo hivi Botswana hakikisha una fani uwe dereva, fundi either furniture na magari, namibia nenda na mtaji mdogo tu Piga biashara ndogo aisee Kuna fursa, nchi nyingine zisifahamu ulizouliza, ila usiwaze south Africa hapafai Pana mambo ya kishamba mengi
south africa,namibia,botswana na moroco hakuna tofauti na tz but ukiweza ingia qatar or kuwaitBongo sitaki tena nataka nikimbie, naombeni ushauri kati ya hizo nchi wapi angalau nikienda sifi njaa nikipambana kati y'a Botswana, Mauritius, Namibia au Sychelles au South Africa
Au Morocco na nchi nyingine ongezea.
Bongo sitaki,
Naombeni pia kama kuna wenyeji kwenye hizo nchi wanitafute PM au hapa hapa
Unataka akafe 😂Nenda South, uko kwingine njaa tu omba omba.
Embu niambie huko maisha yakoje , maana kuna mtu ananiambia Botswana ni zaidi ya south Africa?Ndio nipo Botswana mkuu
Unaingiaje hivyo visiwa, share wote tupate Elimu maana Mauritius ni free visaMauritius ukiweza kuingia jua umetoboa ila gharama za maisha kama ulaya kwenye kile kisiwa. Ukiweza kuingia unaweza kutafuta upenyo ukaingia visiwa vya reunion na Mayotte ambavyo ni sehemu ya ufaransa hapo utakuwa umetoboa
Bora ungesema Morocco, hawa wapo karibu sana na SpainMauritius ukiweza kuingia jua umetoboa ila gharama za maisha kama ulaya kwenye kile kisiwa. Ukiweza kuingia unaweza kutafuta upenyo ukaingia visiwa vya reunion na Mayotte ambavyo ni sehemu ya ufaransa hapo utakuwa umetoboa