Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Pesa na gharama za kwenda huko ni kubwa. Kila mtu anataka kwenda ulaya na marekani shida ni gharama na visa zao ni complicated hata kuzipataKwanini hizo nchi na sio USA, Canada, Australia au Ulaya? Ni swali tu.
Unaweza kwenda nch kama Morocco au Mauritius ikawa ni tobo la kwenda ulaya