mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Bongo hatuna Cha kuwapa, ila wao wanapenda sana vitu vya misosi, fungua mgahawa standard , uza juice nk utafanya sana kaziNamibia naweza leta bidhaa gani kutoka huku Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo hatuna Cha kuwapa, ila wao wanapenda sana vitu vya misosi, fungua mgahawa standard , uza juice nk utafanya sana kaziNamibia naweza leta bidhaa gani kutoka huku Tanzania?
Namibia kama Tanzania tu mgeni Hana shida , unajichanganya mimi nimepita humo mara kadhaa nikitafta spare na gari , hakuna usumbufu kivileMkuu unaweza ukatoa muongozo kidogo kuhusu hizo nchi? Mfano
1. Vipi kuhusu ukazi kwa wageni, je kuna usumbufu wowote uki over stay?
2. Niliwahi kusikia ukifika migration kugonga visa lazima uulizwe unapofikia nyumba no au mwenyeji wako. Je kuna ukweli?
Botswana Pana unoko unoko, usiende kama mhuni , fuata utaratibu , hawana shida Sana na rushwa kwao sio kivile , so huna haja ya kupinda pindaMkuu unaweza ukatoa muongozo kidogo kuhusu hizo nchi? Mfano
1. Vipi kuhusu ukazi kwa wageni, je kuna usumbufu wowote uki over stay?
2. Niliwahi kusikia ukifika migration kugonga visa lazima uulizwe unapofikia nyumba no au mwenyeji wako. Je kuna ukweli?
Sawa na hilo la kuulizwa migration je unauelewa nalo?Namibia kama Tanzania tu mgeni Hana shida , unajichanganya mimi nimepita humo mara kadhaa nikitafta spare na gari , hakuna usumbufu kivile
Kka nasikia namibia pazuri ila sijaona wabongo wakikaa h
Migration wa namibia kama bongo, kiufupi namibia ni Tanzania iliyochangamka, na Wana life style ya kizungu kidogoSawa na hilo la kuulizwa migration je unauelewa nalo?
Ok poa mkuu, maana kuna mdau humu niliwahi kumsikia akisema hizo nchi 2 huwezi kuingia kama huna details za unapofikia na pia kuna unoko wa kuwachomea wageni kwa migration officers ndo maana nikasema niwaulize wazoefuMigration wa namibia kama bongo, kiufupi namibia ni Tanzania iliyochangamka, na Wana life style ya kizungu kidogo
Bongo hatuna Cha kuwapa, ila wao wanapenda sana vitu vya misosi, fungua mgahawa standard , uza juice nk utafanya sana kazi
27/10Kama umechoka na maisha ya bongo ninakushauri katika nchi ulizozitaja bora uende nchini Botswana katika nchi za bara Asia nenda Japan au South Korea Au brunei..
Katika nchi za Bara la ulaya nenda ireland au Sweden, au Ujerumani, au Switzerland, au Belgium Au Kanada au Australia
Nipe Tarehe uliyozaliwa na mwezi wako nipate kukupa ushauri wa nchi gani ya dunia inayo kufaa kwenda kuishi na kuweza kufanikiwa kimaisha
Usiende Kama wahuni wa Dar, tafta mwenyeji wapo watanzania kibao, nchi ambayo Haina kwa wage NI ni south tu huko ni wewe tu na ndio kufa south imekuwa kama maigizoOk poa mkuu, maana kuna mdau humu niliwahi kumsikia akisema hizo nchi 2 huwezi kuingia kama huna details za unapofikia na pia kuna unoko wa kuwachomea wageni kwa migration officers ndo maana nikasema niwaulize wazoefu
kula samaki sio tatizo.. issu fursa zipo.. wakurungwa tuzamie..Maisha ya shelisheli ni magumu sana,mboga yao ni samaki tu..!
Kama utakuwa na ujuzi nenda Botswana...kula samaki sio tatizo.. issu fursa zipo.. wakurungwa tuzamie..
Ujuzi upi au elimu ipi ina demand huko? Kianzio cha maisha ni kama dollar ngapi nikianza nazo nita survive hata miezi mitatu ya kuanziaKama utakuwa na ujuzi nenda Botswana...
Kama utakuwa na ujuzi nenda Botswana...
Sasa samaki sindovizuliMaisha ya shelisheli ni magumu sana,mboga yao ni samaki tu..!
Hahahaha, inachosha huwezi amni fungu la mchicha bei yake ni zaidi ya 10,000 ya tz..tena mboga za majani xinatoka nje ya nchi yao.Sasa samaki sindovizuli
MalawiBongo sitaki tena nataka nikimbie, naombeni ushauri kati ya hizo nchi wapi angalau nikienda sifi njaa nikipambana kati y'a Botswana, Mauritius, Namibia au Sychelles au South Africa
Au Morocco na nchi nyingine ongezea.
Bongo sitaki,
Naombeni pia kama kuna wenyeji kwenye hizo nchi wanitafute PM au hapa hapa