Wapi nikatafute maisha kati ya Botswana, Mauritius,Namibia au Sychelles?

Taja fursa zingine
 
Kama huna mtu WA kukupokea Ila pesa unayo ya kutosha hawakuruhusu
 
Kama huna mtu WA kukupokea Ila pesa unayo ya kutosha hawakuruhusu
Labda unafika....wanakuzonga zonga..unamthaminisha mmoja ..ukiona mnaweza wezana...unamwambia friend..look I have come here to search for an opportunity to work and live..I don't have anyone here, so please I may be lucky to find you, see I have 200 usd for you, pls be my host let the authority and other people know you expected me from Tanzania for a certain business introduction...haaah nawaza tu, kama ndo nimefika sina mtu ila atleast nmetembea na vidola kama 1000 ivi.
 
Atakudhania vinginevyo, Dunia imebadilika huwez mkurupua tu mtu accidentally hivyo
 
Namba niliyopewa nimtafute mtu wa botswana kanikung'uta tofali sijui nimemkosea nn Yani wabongo bhana

Anyway mm kesho niende TU hata sitak kukutana na watanzania waishio huko botswana maana hawana msaada kuomba TU msaada kaniblock
Nilisema jana hapa huwezi ku display namba ya mtu then useme tu watu wamtafute atawasaidia bila kumpa taarifa, lazima tu atawaona wajaidina
 
Namba niliyopewa nimtafute mtu wa botswana kanikung'uta tofali sijui nimemkosea nn Yani wabongo bhana

Anyway mm kesho niende TU hata sitak kukutana na watanzania waishio huko botswana maana hawana msaada kuomba TU msaada kaniblock
Mda mwingine mentality tunatofautiana. Wengi wanajua utamwomba pesa ndo shida inapoanzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…