Uko sawa mkuu ila kwa sasa nipo vibaya kiuchumi ndio maana natafuta cha bei ndogoMfano unaeza pata kimara then ukitoka posta/kkoo kwa mwendo kasi ukishuka unapanda bajaji buku kwenda buku kurudi mara 30 days 60k ukiongeza Kodi 90k jumla inakua Bora utafute chumban cha 60 au 70 karbu na barabara unakua NI kupanda mwendo kadi tu
Nataka cha umemeVingunguti msimbazi ila Cha giza
Ongeza elfu Tano ila ni vingunguti bondeniNataka cha umeme
Me sio dalaliMkuu nitakupa hela ya bando kwa sasa hali yangu ya kiuchumi sio nzuri
Kwa Mbagala, labda choo cha ndani uingie nacho wewe tajiri..Shukrani mkuu. Je nikitaka chenye choo ndani naweza kuongezea ngapi?
Mbagala ndo mitaa niliyokulia an kuanzia rangi tatu. Kongoe. Vikindu.Mkuu hapa pisi za mbagara zina rangi tatu tatu
😁😁😁😁😁 Nyie ndo mnapigwa hv hv walaahKwa Mbagala, labda choo cha ndani uingie nacho wewe mkuu..
Huyo Janet utamwonea tu maana akina Janet huwa ni wapole sana nishawahi kuwa na binti anaitwa Janet alikuwa mpole sanaNaona umetoa comment zaidi ya moja kuhusu mbagala..
Mbona wewooo.. kusema mbagala huko tupo chip hvo..
Updates mkuu now mi na swaumu tushazinguana now nipo na malaika wangu Jannet....
Umeme tena, yaani hapo unaenda kupanga incubator no dirisha ni joto mwa mwiNataka cha umeme mkuu
Sawa mkuu niunganishe naye nitampaMe sio dalali
Ila vipo kwa dalali (yani ye ye ndio anavipangisha)
DuhUmeme tena, yaani hapo unaenda kupanga incubator no dirisha ni joto mwa mwi
Tunapendana sana mkuuHuyo Janet utamwonea tu maana akina Janet huwa ni wapole sana nishawahi kuwa na binti anaitwa Janet alikuwa mpole sana
Mfano mwingine mama Janet Magufuri, mama Janet mseven
Hilo tundu puani unaweza kunieleza ni kwaaji ya nini mkuu? Mbona umeingizwa mkenge kilaini hivyo🤣🤣🤣Mbagala ndo mitaa niliyokulia an kuanzia rangi tatu. Kongoe. Vikindu.
Tukirudi huku moja kwa moja mpaka msongora huko..
Picha linaanza nakaa rangu tatu ila nasoma majimatitu..
Uzuri wa huku unakutana na kuku wa kienyeji yaan pure girl ambaye yeye ukimpa 5k ya kusuka atakupa kila kitu...
Kuku wa kienyeji sifa yao.kubwa ni wanaweza mapenzi kuliko unavozania
Pili wanavaaga vijora tuuuu hana kipini puani ila ametoboa pua
Oky mkuu hili tundu kazi yake kubwa ule mda anachezwa kabla ya kuja kuolewa huwa wanamfusha Chendu.. chendu ni jamii ya hereni kama ya kiihindi ambayo hii kazi yake ni kufundishwa ni jinsi gani ya kumlea mtoto wa kiume kama mwanae...Hilo tundu puani unaweza kunieleza ni kwaaji ya nini mkuu? Mbona umeingizwa mkenge kilaini hivyo🤣🤣🤣
Kizuri amesema na kina umeme.Sawa mkuu niunganishe naye nitampa
Kuna vibaka huko,balaaTegeta vipo hapa, kuna mtaa unaitwa Msichoke vipo
Asante mkuuKizuri amesema na kina umeme.
Kama utakiona Ukirizika unambie nijue mlikofikia ili incase of anything uwe safe.
0715353162
Mwambie namba ametoa meg
Huko hapanaKuna vibaka huko,balaa
We bwege kalaani wazazi na ukoo wako, shenzy waheed!Kilaaniwe hiki chama, maana ndio kimewafikisha vijana wetu hapa...😑
Sorry naomba kufahamishwa, hivi hizo nyumba ambazo hazina umeme dar ni kwamba wenye nyumba ndio hawajavuta umeme au umeme haujafika maeneo hayo?Umeme tena, yaani hapo unaenda kupanga incubator no dirisha ni joto mwa mwi