Heavy Heritage
Senior Member
- Feb 18, 2025
- 130
- 80
23,000 bajeti yako si 30,000 mtanzania bwana😂😂Hiyo sitaweza bei
Hatakagi kusema nimetoka nchi unayotakiwa kutojua kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
23,000 bajeti yako si 30,000 mtanzania bwana😂😂Hiyo sitaweza bei
Kwa hiyo utani ni mzuri!? Ni mzuri kwenuMkuu uwe serious
Kama utani ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"😂😂😂Hiyo sitaweza bei
SawaOnyo
Usirushe helà kwenye simu mwone live mwende kwenye mwenye chumba ndipo ulipeee
Sawa hicho chumba kiko wapi nilipie?23,000 bajeti yako si 30,000 mtanzania bwana😂😂
Hatakagi kusema nimetoka nchi unayotakiwa kutojua kitu
Sawa mkuuFanya tafiti nenda manzese, kigogo mburahati tandale maeneo yaliyo karibu mno! Ukiweza kutembea hukosi chumba labda km mbagala unapapenda Ila Bora hata mwanNyamala huko
Sawa mkuuNa ukipata njoo shukuru
Maeneo mengi tu unapata, 30000 kwa siku sawa 210000 kwa wiki siyo mbaya sana.Naombeni mnisaidie sehemu yenye vyumba vya 30000 kwa dar
Hakuna cha chendu hapo mkuu🤣🤣🤣, hilo jina linapunguza makali ya kipini cha puani tuOky mkuu hili tundu kazi yake kubwa ule mda anachezwa kabla ya kuja kuolewa huwa wanamfusha Chendu.. chendu ni jamii ya hereni kama ya kiihindi ambayo hii kazi yake ni kufundishwa ni jinsi gani ya kumlea mtoto wa kiume kama mwanae...
😁😁😁😁😁
Uko sawa mkuuWatu wanamponda kwa unafiki, ila vinapatikana sehemu nyingi sana Dar es salaam,
Dar kuna bidhaa za kila bei. Ubora tu ndio zinapishana
Huko mpigamiti chumba ata pata, na hata shida zake za nyuma zita tatuliwa😂🤣Labda karibu na Mpigamiti kule unaweza ukapata mkuu
Mfano kwa kigamboni nitapata sehemu gani mkuu?Watu wanamponda kwa unafiki, ila vinapatikana sehemu nyingi sana Dar es salaam,
Dar kuna bidhaa za kila bei. Ubora tu ndio zinapishana