fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
25000 tu unakomaa nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hii risk Sana Dah Arusha kwa Costa halaf usiku
Muambie aache wosiaPanda gari zinazopeleka magazeti A town fasta sana
Ulete mrejesho itasaidia sana.Habari wakuu!
Nahitaji kujua kama kuna usafiri wowote wa jioni au usiku wa kwenda Arusha!
Nimepata dharura nahitaji kusafiri jioni/usiku wa leo huko na nimezoea kusafiri na mabus ya kawaida tu! Nimefatilia Kilimanjaro Xprs safari za usiku wamesitisha kwa mda!
Msaada wenu tafadhali wapi naweza usafiri wa jioni wa kwenda Arusha.
kilimanjaro limeanza safari siku si nyingi za usiku.
Samahani je kwa Tanga kuna usafiri wa usiku?
Nitafute.naondoka leo saa 1 jion kuelekea moshi na klugger yangu, ila uwe na 50k mkononi.
Hivi kwa coster za hapo mwenge mpaka arusha inaweza kuwa bei gani
Shukrani mkuu25k tu mkuu
Nilipanda kuelekea Mbeya Noah moja ya magazeti daa yaani wadau ni wanajuana na matrafic Wa usiku balaaUkiamua kupanda magari yanayopeleka magezi siwezi kukuambia eti unaweza pata ajali maana ajali ikipagwa imepangwa hata gari likienda taratibu kama mkokoteni wa punda anaweza kuja mjinga mjinga akakugonga kwa nyuma ila ninachokuasa tu hakikisha uwe na roho ngumu sana kupanda hayo magari.Mimi binafsi siwezi ya jaribu hata kwa dawa naweza kufa kwa pressure kabla sijafika hata Wami.
Mwenge pale puma sheli unapata faster. Kuna majamaa wapo pale hadi kuna kibenchi. Na mishkaki mitamuuHabari wakuu!
Nahitaji kujua kama kuna usafiri wowote wa jioni au usiku wa kwenda Arusha!
Nimepata dharura nahitaji kusafiri jioni/usiku wa leo huko na nimezoea kusafiri na mabus ya kawaida tu! Nimefatilia Kilimanjaro Xprs safari za usiku wamesitisha kwa mda!
Msaada wenu tafadhali wapi naweza usafiri wa jioni wa kwenda Arusha.
Duh. Labda hapo ulewe vinginevyo huwezi pandaNilipanda kuelekea mbeya Noah moja ya magazeti daa yaani wadau ni wanajuana na matrafic Wa usiku balaa
Gari inatembea kama ndege mnahisi haina mataili
Kuondoka SAA 5 usiku kufika saa 1 asubuhi uyole mbeya.
UngaHabari wakuu!
Nahitaji kujua kama kuna usafiri wowote wa jioni au usiku wa kwenda Arusha!
Nimepata dharura nahitaji kusafiri jioni/usiku wa leo huko na nimezoea kusafiri na mabus ya kawaida tu! Nimefatilia Kilimanjaro Xprs safari za usiku wamesitisha kwa mda!
Msaada wenu tafadhali wapi naweza usafiri wa jioni wa kwenda Arusha.