Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
SijaelewaUnga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijaelewaUnga
Weeeee!! Hizo kwa sasa zimeshapigwa marufuku na LATRA!! Yapata wiki tatu sasa hazipo tena!!!Kuna basi la Kilimanjaro kama sio Dar express lina safari za Dar-Arusha kila siku kuanzia saa moja usiku
Risk haina nyakatiDah hii risk Sana Dah Arusha kwa Costa halaf usiku
Kwa wale jamaa wa magazeti? Humtakii mema huyu mwamba!Nenda Ubungo Kibo
Utasafiri
Nenda mbezi mwisho stand
IT za Nairobi kupitia Arusha ni za kubahatisha, kama huna ulazima wa kusafiri usiku safiri asubuhi na mabasi, hizo coaster hakuna kulala za kwenda Moshi Arusha ni roho mkononi.Habari , naomba Msaada wa Eneo lakupata IT zinazoenda Mkoani Kwa Arusha
IT za Nairobi kupitia Arusha ni za kubahatisha, kama huna ulazima wa kusafiri usiku safiri asubuhi na mabasi, hizo coaster hakuna kulala za kwenda Moshi Arusha ni roho mkononi.
Mimi binafsi simshauri mtu atumie usafiri huo......Coaster za moshi arusha ni salama sana, ilisikia lini zimeua coaster hizo? Acha uongo
Coaster kwa kweli HAPANACoaster za moshi arusha ni salama sana, ilisikia lini zimeua coaster hizo? Acha uongo
Huyu atakuwa dereva wa coaster au mmiliki wa coaster.........anaona tunamuharibia biashara yakeCoaster kwa kweli HAPANA
Bora umwambieIT za Nairobi kupitia Arusha ni za kubahatisha, kama huna ulazima wa kusafiri usiku safiri asubuhi na mabasi, hizo coaster hakuna kulala za kwenda Moshi Arusha ni roho mkononi.