Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Mkuu nitumie mawasiliano ya watu wa lugulu maana naona umefunga pm
 
Kwanini usimchukue huyo wa kwako wa nyamadoke ambaye kwa uhakika sio mganga wa ukweli ni mganga wa michongo namfaham mana ana mpaka ukurasa wa facebook, uongo kweli
Kijana wa miaka 30-40 aiijue fb na yuko town, hahaha.you must be kidding...

halafu msiwachukulie watu washamba shamba hivi.

kuwa fb ni sehem ya social interaction
 
Pm kuko locked mkuu
 
Ndugu kwema
 
Nipo hapa kwa Mwamposya. Watu wametoka Mikoani. Wengine wametoka nje ya nchi.
Mwamposya anawatibu sasa. Anawagusa mmoja mmoja. Mstari mrefu wa watu. Wamesimama shoulder to shoulder mstari wa 100 metres.
Hiyo ni awamu ya kwanza. Sasa awamu ya pili inaambiwa ijitayarishe.
 
Unaweza toa namba hapa kumbe wewe ndio Wanted!! Hapana Aisee....
 
Watoto wawili wenye umri wa miaka miwili na miaka 7, Wakazi wa Kata ya Shabaka Wilayani Nyangwale Mkoani Geita wameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana, kisha miili yao kutupwa shambani.

Mperwa Sahani, mama mzazi wa mmoja wa watoto hao amesema: “Nilimkuta mtoto wangu amelala chali akiwa amekatwa shingo, nikambeba hivyohivyo hadi nyumbani kisha ndiyo nikatoa taarifa.”

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amesema: “Tunamshikilia mganga wa kienyeji, mfanyabiashara na kikongwe mmoja na upelelezi unaendelea.”

Chanzo: ITV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…