Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Nimemkumbuka pia mganga wa pale Ukerewe, alimrudishia jamaa bida zake zilizoibiwa, aliwapa watu wapige kazi boda mpya 3 alafu wao wakajiona masonko wakatoroka nazo kila mtu akahama mkoa, kilichofuatia kila mmoja wao anakuja mbio kutoka huko alikokuwa anapiga mwano anamtafuta mwenye boda na kuangukia pale pale anakata moto[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahahahahaahahahaha nimecheka sana hii kumbe mmejicategorize kbs🤣🤣
Karibu sana mkuu huku Kwa Msisi Tanga! Mimi ni Mganga Bingwa wa masuala ya mahusiano!! 🥵

Kumvuta mpenzi aliye mbali, kukubaliwa kirahisi tu bila kutongoza/kutongozwa, dawa ya kuoa/kuolewa na tajiri, kupata mwanaume mwenye mvuto na mwanamke pisi kali, nk!!
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Ommy [emoji15][emoji849]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Karibu sana mkuu huku Kwa Msisi Tanga! Mimi ni Mganga Bingwa wa masuala ya mahusiano!! 🥵

Kumvuta mpenzi aliye mbali, kukubaliwa kirahisi tu bila kutongoza/kutongozwa, dawa ya kuoa/kuolewa na tajiri, kupata mwanaume mwenye mvuto na mwanamke pisi kali, nk!!
Mimi nataka mwanamume wa kuoa mkuu! Fanya makaratee!awe mweusi! Sijali tajiri au maskini..ila nioe
 
Jibu...makanisa mawili ya kilokole yaliomba na kufunga baada ya mdogo wangu kuumwa ugonjwa ambao hospital hauonekani....akafariki...hapo ndipo nikaenda kwa wataalamu wakasema ashachukuliwa ni vile hatukujua mapema....Sasa kwa scenerio Kama hiyo utanambia Nini..? Alafu tu kifupi Namimi nshawahi kuwa mlokole Tena Yule wa kufunga Hadi tatu kavu...so Yesu yupo na anaponya..ila Mimi na waganga ...waganga na mimi,,,mpaka serikali iingilie kati mi ndo ntaacha kwenda kwa waganga
Hapo utakuwa una chale za kutosha. Yaani umechanjwa hadi sehemu ya kutolea haja kubwa... Waganga ni washenzi hapo bado hawajakulaza makaburini.
 
 
Haya mnaotafutiwa mganga na nyie pambaneni kutafuta mganga wa kuloga asipate mganga. Yaani ni irizi juu ya urizi yaaani. Mdundo mduara hakukuchi.
 
Back
Top Bottom