Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
WAzee wa ndagu mpoooooo?Yeye ndio kasema huko kwa Wasukuma wala sio Mimi! Wasukuma uchawi wao mzuri sana nasikia mwendazake alikua na team nzima ya Walozi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAzee wa ndagu mpoooooo?Yeye ndio kasema huko kwa Wasukuma wala sio Mimi! Wasukuma uchawi wao mzuri sana nasikia mwendazake alikua na team nzima ya Walozi!
Kweli kabisa dada,,chimbo zinasaidia sana maana sometimes unakuta mtu umezikwa hai kiroho (in mshana's voice).Hivi eh?
Karibu sana mkuu huku Kwa Msisi Tanga! Mimi ni Mganga Bingwa wa masuala ya mahusiano!! 🥵Hahahahahahahaahahahaha nimecheka sana hii kumbe mmejicategorize kbs🤣🤣
Ommy [emoji15][emoji849]Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Mimi nataka mwanamume wa kuoa mkuu! Fanya makaratee!awe mweusi! Sijali tajiri au maskini..ila nioeKaribu sana mkuu huku Kwa Msisi Tanga! Mimi ni Mganga Bingwa wa masuala ya mahusiano!! 🥵
Kumvuta mpenzi aliye mbali, kukubaliwa kirahisi tu bila kutongoza/kutongozwa, dawa ya kuoa/kuolewa na tajiri, kupata mwanaume mwenye mvuto na mwanamke pisi kali, nk!!
Dah watu mna imani zenu..yaan mm nimpelekee mganga kuku!!Kweli kabisa dada,,chimbo zinasaidia sana maana sometimes unakuta mtu umezikwa hai kiroho (in mshana's voice).
Hapo utakuwa una chale za kutosha. Yaani umechanjwa hadi sehemu ya kutolea haja kubwa... Waganga ni washenzi hapo bado hawajakulaza makaburini.Jibu...makanisa mawili ya kilokole yaliomba na kufunga baada ya mdogo wangu kuumwa ugonjwa ambao hospital hauonekani....akafariki...hapo ndipo nikaenda kwa wataalamu wakasema ashachukuliwa ni vile hatukujua mapema....Sasa kwa scenerio Kama hiyo utanambia Nini..? Alafu tu kifupi Namimi nshawahi kuwa mlokole Tena Yule wa kufunga Hadi tatu kavu...so Yesu yupo na anaponya..ila Mimi na waganga ...waganga na mimi,,,mpaka serikali iingilie kati mi ndo ntaacha kwenda kwa waganga
Hayajakukuta wangari,,,ukipigwa spana kisha ukapata upenyo unanyoosha njia mwenyewe. Mganga hali kuku wakoDah watu mna imani zenu..yaan mm nimpelekee mganga kuku!!
Bali anampeleka wapi?Hayajakukuta wangari,,,ukipigwa spana kisha ukapata upenyo unanyoosha njia mwenyewe. Mganga hali kuku wako
Kumbe we ni msukuma [emoji736]Utuache na mwendazake wetu...ni wivu tu!..wewe wasukuma unawaonea tu wivu!agayaaa(in sukuma's voice)
HaswaaaKumbe we ni msukuma [emoji736]
Joseph M,toka lini umegeuka mganga?0712163245
Nipo Mvuti
Poa poa nafurah kufahamu japo na mie nimekulia usukumani.Haswaaa
Karibu usukumaniPoa poa nafurah kufahamu japo na mie nimekulia usukumani.