Wapiga picha wa Azam Media wana elimu Gani? Au wanafanya kusudi

Mkuu unavaa nusu uchi na mapaja yako meusi then unataka uonekane Live Azam Tv ?

Vaeni vizuri bagarashia baibui Kama Mungu anavyotaka that all hakuna kingine
Ulishawahi kuongea na Mungu ukajua ana taka nini?
 
Mpira ni public interest haifai kuwa na maudhui ya kidini
Yaani umekwama na , wapemba, waarabu, mara wayemen, hadi waislam. Sema sipendi waislam na vitu vyao, huna haja ya kuanzisha ajenda ya kupiga uislam vita kupitia tv za watu, ni mpango muovu acha
 
Azam media ndiye mwenye haki za kurusha matangazo ya mpira ligi kuu Tanzania kama anaweka maudhui ya udini tayari anakosa sifa
 
Ndio wataishia pabaya kwasababu wanachanganya udini kwenye mpira
 
Mpira ni public interest hautakiwi kuchanganywa na udini

Ile media ichague kusajili km chombo cha dini au kubaki na usajili wake
 
Huo ni mtazamo wako mdogo ila wapiga picha wa mpira ligi kuu Tanzania ambao wanatoka azam media kwa kiasi kikubwa maudhui yao yamejaa udini
 
Wana ajenda yao hawatafanikiwa
Niwatakie sikukuu njema ya Christmas na mwaka mpya. Badala yake wanasema Niwatakie sikukuu njema na mwaka mpya. Hata hai sound vizuri. Hiyo sio bahati mbaya
 
Nimefika egypt na South Africa ndani ya bara letu
Nimefatilia hizo ligi hazina maudhui ya udini km wazalishaji wa Azam
Tembea uone mkuu acha ushamba huo…..kwani afya sio public service
 
Mpira ni public interest hauwezi kuchanganywa na udini
 
Mbona MAMA J alionyeshwa sana tu na Camera za Azam akiwa uwanjani na wala hakuwa amevaa baibui wala kanzu.
 
Nakupinga mtia mada sio mdini, wadini ni wale wanaojaribu kuchanganya mpira na udini
Huyu mtoa mada hayuko sawa kichwani..rejea mada zake za nyuma,ni mtu wa kupuuza! Ni mdini asiye paswa kuzingatiwa.
 
Mpira ni public interest hautakiwi kuchanganywa na udini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…