JM Kavulla
Senior Member
- Mar 16, 2018
- 176
- 169
Ulishawahi kuongea na Mungu ukajua ana taka nini?Mkuu unavaa nusu uchi na mapaja yako meusi then unataka uonekane Live Azam Tv ?
Vaeni vizuri bagarashia baibui Kama Mungu anavyotaka that all hakuna kingine