Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ni wale matapeli wenzake wamemgeukaBaada ya kuenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumchangia Sabaya, nimefuatilia na kugundua kuwa hakuna mchango wa maana zaidi ya kikundi Fulani Cha Wapigaji wanaotaka kumfanya Sabaya fursa.
Mkumbuke wakati wa awali wa kesi yake liliibuka kundi kama hili likachangisha Watu na wakatokomea. Kuweni makini na Watu hawa na SERIKALI ifuatilie michango hii.
Acheni kutumia maumivu ya mtu kujineemesha.
Hahahahahaha wanamfanya fursa... Sabaya anaumizwa uraiani na gerezani; kote kote anapigwa! Kiburi chake kimemponza.
Na wengine ni member wenzetu humu wanaomgeuza Sabaya fursa wakijifanya wanampigania kumbe wanapigania mautumbo yaoBaada ya kuenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumchangia Sabaya, nimefuatilia na kugundua kuwa hakuna mchango wa maana zaidi ya kikundi Fulani Cha Wapigaji wanaotaka kumfanya Sabaya fursa.
Mkumbuke wakati wa awali wa kesi yake liliibuka kundi kama hili likachangisha Watu na wakatokomea. Kuweni makini na Watu hawa na SERIKALI ifuatilie michango hii.
Acheni kutumia maumivu ya mtu kujineemesha.
Yaani Sabaya anapigwa nje ndani hadi arushe maji... Sabaya anaumizwa uraiani na gerezani; kote kote anapigwa! Kiburi chake kimemponza.
Nawajua sana, hawana hata aibu, uliwauliza michango ya kwanza ilitumikaje wanakua wakali na matusi juuNa wengine ni member wenzetu humu wanaomgeuza Sabaya fursa wakijifanya wanampigania kumbe wanapigania mautumbo yao
Bado kaburini... Sabaya anaumizwa uraiani na gerezani; kote kote anapigwa! Kiburi chake kimemponza.
Hahaahah kuweni na huruma kwa kijana mwenzenu, ana miezi kadhaa hajaiina mbususuBado kaburini
Zile mbususu alizokuwa anazibaka zilifidia kabisa muda wote hadi muda wa kaburiniHahaahah kuweni na huruma kwa kijana mwenzenu, ana miezi kadhaa hajaiina mbususu
Acheni roho mbaya hahaahaa dahZile mbususu alizokuwa anazibaka zilifidia kabisa muda wote hadi muda wa kaburini
Angeacha yeye kwanza kubaka watoto wa watu na kuwakata masikio. HIVI USHAWAHI WAZA MTU ALIYEKATWA MASIKIO AKAWA KAMA KUKU ANAFANANAJE!?Acheni roho mbaya hahaahaa dah
Nasikia ukikatwa masikio unakosa balance ♎Angeacha yeye kwanza kubaka watoto wa watu na kuwakata masikio. HIVI USHAWAHI WAZA MTU ALIYEKATWA MASIKIO AKAWA KAMA KUKU ANAFANANAJE!?
Yes, masikio ndiyo yanayokupa balanceNasikia ukikatwa masikio unakosa balance ♎
Nasikia ukikatwa masikio unakosa balance ♎
Hapa JF wako watano , na kwa uzi huu utakuwa umewaharibiaBaada ya kuenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumchangia Sabaya, nimefuatilia na kugundua kuwa hakuna mchango wa maana zaidi ya kikundi Fulani Cha Wapigaji wanaotaka kumfanya Sabaya fursa.
Mkumbuke wakati wa awali wa kesi yake liliibuka kundi kama hili likachangisha Watu na wakatokomea. Kuweni makini na Watu hawa na SERIKALI ifuatilie michango hii.
Acheni kutumia maumivu ya mtu kujineemesha.
Kiturilo ndiye kiranja wa hawa vibakaHapa JF wako watano , na kwa uzi huu utakuwa umewaharibia