Wapigaji wamgeuza Sabaya fursa

Wapigaji wamgeuza Sabaya fursa

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Baada ya kuenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumchangia Sabaya, nimefuatilia na kugundua kuwa hakuna mchango wa maana zaidi ya kikundi Fulani Cha Wapigaji wanaotaka kumfanya Sabaya fursa.

Mkumbuke wakati wa awali wa kesi yake liliibuka kundi kama hili likachangisha Watu na wakatokomea. Kuweni makini na Watu hawa na SERIKALI ifuatilie michango hii.

Acheni kutumia maumivu ya mtu kujineemesha.
 
Baada ya kuenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumchangia Sabaya, nimefuatilia na kugundua kuwa hakuna mchango wa maana zaidi ya kikundi Fulani Cha Wapigaji wanaotaka kumfanya Sabaya fursa.

Mkumbuke wakati wa awali wa kesi yake liliibuka kundi kama hili likachangisha Watu na wakatokomea. Kuweni makini na Watu hawa na SERIKALI ifuatilie michango hii.
Acheni kutumia maumivu ya mtu kujineemesha.
Ni wale matapeli wenzake wamemgeuka
 
Baada ya kuenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumchangia Sabaya, nimefuatilia na kugundua kuwa hakuna mchango wa maana zaidi ya kikundi Fulani Cha Wapigaji wanaotaka kumfanya Sabaya fursa.

Mkumbuke wakati wa awali wa kesi yake liliibuka kundi kama hili likachangisha Watu na wakatokomea. Kuweni makini na Watu hawa na SERIKALI ifuatilie michango hii.

Acheni kutumia maumivu ya mtu kujineemesha.
Na wengine ni member wenzetu humu wanaomgeuza Sabaya fursa wakijifanya wanampigania kumbe wanapigania mautumbo yao
 
Nasikia ukikatwa masikio unakosa balance ♎

How does our sense of balance work?​

The ear is a sensory organ that picks up sound waves, allowing us to hear. It is also essential to our sense of balance: the organ of balance (the vestibular system) is found inside the inner ear. It is made up of three semicircular canals and two otolith organs, known as the utricle and the saccule. The semicircular canals and the otolith organs are filled with fluid.

HALAFU ANATOKEA KENGE MMOJA ANAYAKATA MASIKIO..!!!
 
Baada ya kuenea taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumchangia Sabaya, nimefuatilia na kugundua kuwa hakuna mchango wa maana zaidi ya kikundi Fulani Cha Wapigaji wanaotaka kumfanya Sabaya fursa.

Mkumbuke wakati wa awali wa kesi yake liliibuka kundi kama hili likachangisha Watu na wakatokomea. Kuweni makini na Watu hawa na SERIKALI ifuatilie michango hii.

Acheni kutumia maumivu ya mtu kujineemesha.
Hapa JF wako watano , na kwa uzi huu utakuwa umewaharibia
 
Back
Top Bottom