Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

Hatufanyii kazi google search, tuishie hapa
Bro acha ubishani wa kipumbavu hautakunufaisha.
Kama hujui kitu kubali uelimishwe.
Hiyo makala ni ndefu na imeandikwa na BBC ili mimi kukupa summarization nikaamua kuchukua upande wa ramani basi.
Ningeleta full article hapa ningekupa usingizi.
Embu soma hapo nilipozungushia alama nyekundu panasomeka nini kama sio BBC!???
Mkuu kama hujui kubali uelimishwe aiseee.!!
 
Unatumia nguvu kubwa sana kuwajibu wajinga mkuu, wanajua gharama ya askari mmoja wa Urusi? Kama wanamgambo wa kukodi wapo kwanini utumie askari professional? Majinga yanaamini Urusi kaishiwa askari 😂
Aisee waswahili wanasikitisha sana.
Mtu unamletea hadi makala ya BBC na anakupinga.
 
Tuombe uhai na uzima tutakumbushana
 
Kwanu Ukraine mbona wana askari hadi kutoka Brazil. Nitajie vita moja tu ambapo nchi moja tu hupigana na nyingine?
Ukraine ni underdog ana unga unga sasa super pawa inakuwaje tena?.
Vita nikikutajia vita vya Kagera.
 
Warusi wengi wamekufa ila vita bado inapiganwa Ukraine karibu yote kuna muda wala sio lazima kusema kua mimi sina akili ila unachosema ama kuandika kinaweza kufanya watu wapate uhalisia wako
 
Sasa ndio muda wa Ukraine kuregesha ardhi yao maana askari wengi wa Russia wamefyekwa
 
Haya amka kumekucha usije ukajikojolea mkuu
 
Hali halisi ni kuachia majimbo manne usitegemee nje ya hili
 
Hili la put in kufa mnalipenda nyuklia imeundwa ili kutumika
 
Wanamgambo wa Al Houthi waliopelekwa kuisaidia Russia wameanza kukimbia Frontline na wengine kutishia kujiua.

Wanasema POV Drones na Atillery za Ukraine kuanzia asubuhi mpaka usiku ndio sababu.

Hakuna kulala😂
 
Wanamgambo wa Al Houthi waliopelekwa kuisaidia Russia wameanza kukimbia Frontline na wengine kutishia kujiua.

Wanasema POV Drones na Atillery za Ukraine ndio sababu.
Kama wanavyo jiua askari wa kizayuni
 
Hili la put in kufa mnalipenda nyuklia imeundwa ili kutumika
Aisee!? Kwa hiyo ww ukiwa na pistol utaenda kuanzisha vurugu ili uweze kupata fursa ya kuitumia kwakuwa imetengenzwa ili itumike au tuseme umeinunua na kuimiliki ili uitumie. Lakini unaitumia wapi na kwa wakati gani na mazingira yapi?
Putin tatizo ni utendaji wake kwamba hana simile ni kama fyatu fulani. Lakini Putin kama binadamu ni mtu mzuri tuu.
 
Put in muungwana sana angekua kichaa muda huu dunia ingekua inaomboleza kule kivu maana wangefanywa mbaya sana
 
Hili swali lilishajibiwa muda mrefu na moja ya makamanda wa kijeshi wa marekani.
Alisema hivi. Russia ndio nchi kubwa kuliko zote duniani. Inamipaka na nchi 14.
Hivyo inahitaji jeshi kubwa la kulinda mipaka yake. Hata mwanzo wa hii SMO 90 ya wapiganaji walikuwa ni wagne group wakiongozwa na makamanda wa kirusi.
KAma ni kweli wanamgambo wa Houthi wameenda huko kurks basi ni katika makubaliano ya nikune mgongo nami nitakukuna wa kwako.
Kwamba Houthi hawana chochote cha kuwapa russia. Isipokuwa russia wanaweza kuwapa silaha kwa ajili ya issue zao hapo redsea. Wao wameamua kuwapa wanamgambo wakakiwashe kule kursk. Ambapo nakuakikishia hakutakuwa na mazungumzo yoyote ya amani mpaka waakikishe wanawaondoa wanajeshi wa ukraine waliovamia kurks.
 
Put in muungwana sana angekua kichaa muda huu dunia ingekua inaomboleza kule kivu maana wangefanywa mbaya sana
Angelikuwa ni muungwana; mbona mishemishe za maandalizi kwa hilo ameshaanza e.g. ujenzi wa Shetlers, Vikosi vya nuclear vimesha wekwa standby mode? Huyo jamaa haaminiki.
 
Isije kibao kikageuka kwamba hakutakuwa na mazungumzo yoyote ya amani mpaka Ukraine ahakikishe amewateketeza Wahouthis wote watakaopelekwa hapo. Muda utasema.
 
Naomba kufahamishwa wenye kujua namna ya kujiunga na jeshi la urusi.Nataka nikapate uzoefu ili Kuja kujitoa ccm Kwa nguvu.
 
Naomba kufahamishwa wenye kujua namna ya kujiunga na jeshi la urusi.Nataka nikapate uzoefu ili Kuja kujitoa ccm Kwa nguvu.
Ooh! Very simple. Omba zile Free Scholarships za Urussi wanazotoa ambazo kwa 100% utakubaliwa, halafu ukifika kule unabadili kibao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…