Wapinzani msipinge hii ni kweli, baada ya Rais Magufuli kufariki wamachinga wamekuwa vulnerable

Unajua maana ya kutapeli pesa? Una unao ushahidi wa machinga kuambiwa kuwa watakopa kutumia vitambulisho vyao?

Nini hasa ilikuwa madhumuni ya vitambulisho vya wamachinga? Kuondoa usumbufu wa kulipa ushuru au kukopa?

..ushahidi upo.
 
Unajua maana ya kutapeli pesa? Una unao ushahidi wa machinga kuambiwa kuwa watakopa kutumia vitambulisho vyao?

Nini hasa ilikuwa madhumuni ya vitambulisho vya wamachinga? Kuondoa usumbufu wa kulipa ushuru au kukopa?
..

 
Wamachinga wenyewe walivyo wachache hata kwenye uzi wa buibui hawawezi kuvunja uzio wake
 
[emoji109][emoji109]
 
Wamachinga hawahitajiki mjini Full stop!!
 
Watu walitaka katiba mpya ila nyie MATAGA mkakataa mkasema haina umuhimu. Umuhimu wake ndio huo sasa. Itafika time mtaita maji mma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…