Wapinzani wa Tanzania mnaokimbilia huku Kenya mtatuchonganisha, tumieni mbinu kama za Lissu

Wapinzani wa Tanzania mnaokimbilia huku Kenya mtatuchonganisha, tumieni mbinu kama za Lissu

Bila shaka mnaogopa JPM asije kupiga marufuku mahindi kuingia Kenya!

Mwambieni Kenyatta na Mabwenyenye wenzake waachie ardhi kwa Wakenya ili wazalishe mazao ya chakula vinginevyo mtaendelea kumuogopa JPM ili kubembeleza mahindi "yake"!
Pote chadema wanakataliwa home and away, hii ni laana, hasa nikikumbuka namna mlivyokua mkijipendekeza kwa Uhuru na kujitia Ukenya kuliko wenye nchi
 
Hii ngoma wanayopigiwa na jiwe roundi hii wataicheza tu wapende wasipende hawa watani wetu. Ila wapambane huku kwao watuache kivyetuvyetu tu.hawana jema hawa ndugu zetu. Wanajileta na hatujwaita,mwisho wa siku utasikia wanatuponda humu JamiiForums wakitusema tunawachokonoa wakati wametufuata kwetu.
Wafukuzeni kabisa au wapelekeni kwenye vituo vya Corona
 
Nimesoma kwa mshtuko kwamba aliyekua mbunge huko Tanzania bwana Nyalandu naye amekamatwa akijaribu kukimbilia Kenya, ilhali huku tayari tunaye yule wa Arusha bwana Lema, ambaye tayari tumechimbwa mkwara na asasi za kimataifa asirudishwe kwao Tanzania maana huko wanasakwa na kuuawa, kuna yule aliyegombea urais bwana Lissu keshajiokoa kwa kuchukua hifadhi ndani ya ubalozi wa mabeberu wa Ujerumani, huyo yuko nafuu maana wale ni baadhi ya Mataifa ambayo hutoa misaada Tanzania, hivyo wana uwezo wa kusema chochote na kikasikilizwa.

Lakini sisi huku mkija, mnatuingiza kwenye hali ngumu ya ugomvi baina yetu na huyo mnayemkimbia Rais wenu John Pombe Magufuli halafu upande wa pili asasi za kijamii za kimataifa kama Amnesty International, ambao tumesharidhia sheria za kuhifadhi mkimbizi yeyote anayeitoroka nchi yake kuokoa uhai wake. Muda wowote Magufuli anaweza akafungia ndege zetu kuruka kuja huko. Hehehe

Tumieni busara kama hiyo ya Lissu, mjichomeke kwenye balozi zozote za mabeberu, huko hamtaguswa ila duh yaani hiyo Tanzania iliyokua inapokea Warundi wanaoikimbia nchi yao, leo imegeuka kuwa chanzo cha wakimbizi, poleni sana ndugu zetu, tunawaombea.

========

Aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini, (Chadema), Lazaro Nyalandu amezuiwa kutoka nchini kupitia mpaka wa Tanzania na Kenya wa Namanga baada ya kukosa nyaraka muhimu.

Si mabwana zao wapo hapo Kenya!! Hata Lissu alianziaga hapo Kenya. Chezea mbano wa Tanzanite na madini mengine wewe!! Mafisadi wote walikuwa wanatuibia raslimari zetu siku hizi wanakuja hapo Kenya na kupanga mipango ya kutuhujumu kupitia Nairobi. Lakini tutawanyoosha tu!
 
Amani sio utulivu tu. Tanzania tafuteni amani ya ukweli ya kudumu. Sio hii amani yenye mtu hawezi kutoka inje kusherekea ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi kwa sababu polisi atafikiria ni mfuasi wa kikundi cha kigaidi cha CHADEMA.

Inasikitisha kweli, vile hapa inaonekana Watanzania hawajafurahishwa na enablers wa huyo dictator wenyu.



 
Si mabwana zao wapo hapo Kenya!! Hata Lissu alianziaga hapo Kenya. Chezea mbano wa Tanzanite na madini mengine wewe!! Mafisadi wote walikuwa wanatuibia raslimari zetu siku hizi wanakuja hapo Kenya na kupanga mipango ya kutuhujumu kupitia Nairobi. Lakini tutawanyoosha tu!

Ulitegemea Lissu akimbilie Burundi au Rwanda au Uganda baada ya kulishwa risasi 38, ilibidi aje kwenye nchi iliyo bora kiaina kwenye utawala na mifumo.
ila hiyo nchi mumeiharibu sio mchezo duh....
 
Ulitegemea Lissu akimbilie Burundi au Rwanda au Uganda baada ya kulishwa risasi 38, ilibidi aje kwenye nchi iliyo bora kiaina kwenye utawala na mifumo.
ila hiyo nchi mumeiharibu sio mchezo duh....
Sisi huku hatutaki wasaliti vibaraka wa mabeberu.
 
Kwamba Kenya haiwezi kuwapa asylum Watanzania ambao ni viongozi wa upinzani wanaokimbilia Kenya,kwa sababu kwa kufanya hivyo Magufuli ataudhika sana?

Aiseee nilikuwa sijui kama Kenya inamwogopa Magufuli kiasi hiki,leo ndio nimejua.
Huyo jamaa wenyu ata overreact awafungie Watanzania mipaka wasiweze kuuza bidha zao Kenya na kuwaadhiri vibaya zaidi Watanzania
 
MK254,
Msiwe na hofu hili ni suala la haki za binadamu na haki ya kuishi, toeni msaada kwa wanaotafuta hifadhi, leo sisi kesho kwenu nyie maana Afrika bado tupo katika mtanziko wa kidemokrasia Democratization, sequencing, and state failure in Africa: Lessons from Kenya

Nimesoma makala ya Jaji mstaafu Mutunga na harakati zao. Kumbe wengi walikimbilia Tanzania wakiwa vijana na kupewa hifadhi. Listi ya wanafuzi radical , hata washukiwa tu au wanaharakati kama kina Koingi Wamwere, Raila Odinga, Prof. George Luchiri Wajackoyah, John Githongo n.k walikimbilia Tanzania au walipita Tanzania kutafuta hifadhi nchi zingine

Willy Mutunga, a Lifelong Activist​

Source :Willy Mutunga, a Lifelong Activist
 
Nimesoma kwa mshtuko kwamba aliyekua mbunge huko Tanzania bwana Nyalandu naye amekamatwa akijaribu kukimbilia Kenya, ilhali huku tayari tunaye yule wa Arusha bwana Lema, ambaye tayari tumechimbwa mkwara na asasi za kimataifa asirudishwe kwao Tanzania maana huko wanasakwa na kuuawa, kuna yule aliyegombea urais bwana Lissu keshajiokoa kwa kuchukua hifadhi ndani ya ubalozi wa mabeberu wa Ujerumani, huyo yuko nafuu maana wale ni baadhi ya Mataifa ambayo hutoa misaada Tanzania, hivyo wana uwezo wa kusema chochote na kikasikilizwa.

Lakini sisi huku mkija, mnatuingiza kwenye hali ngumu ya ugomvi baina yetu na huyo mnayemkimbia Rais wenu John Pombe Magufuli halafu upande wa pili asasi za kijamii za kimataifa kama Amnesty International, ambao tumesharidhia sheria za kuhifadhi mkimbizi yeyote anayeitoroka nchi yake kuokoa uhai wake. Muda wowote Magufuli anaweza akafungia ndege zetu kuruka kuja huko. Hehehe

Tumieni busara kama hiyo ya Lissu, mjichomeke kwenye balozi zozote za mabeberu, huko hamtaguswa ila duh yaani hiyo Tanzania iliyokua inapokea Warundi wanaoikimbia nchi yao, leo imegeuka kuwa chanzo cha wakimbizi, poleni sana ndugu zetu, tunawaombea.

========

Aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini, (Chadema), Lazaro Nyalandu amezuiwa kutoka nchini kupitia mpaka wa Tanzania na Kenya wa Namanga baada ya kukosa nyaraka muhimu.

Ester mariko na ester bulaya wako mpaka wa sirari kuomba kuingia nchini kenya. Muda mfupi ujao watakuwa jiji la nairobi.wakenya msituchoke sisi ni ndugu. Tupokeeni huku kwetu ujamaa umeshindikana
 
Hii ni aibu kwa nchi yangu Tanzania. Badala ya kupokea wakimbizi nasi tumeanza kuzalisha wakimbizi
 
CHADEMA SANAA GROUP. Hizi sinema za Chadema waandike upya stori. Hivi nani amtishie maisha Nyalandu.
Una kideri we mwanamwali.

Lissu kimlimpata nini? Si mlimkashifu ni attention seeker?

Vipi Ben saanane, Lwajabe, Alphonse Mawazo, akwilina, azory gwanda nk?

Nakuita shetani kwasababu unataka kuona vifo alafu baadae msingizie ni mboye.
 
Una kideri we mwanamwali.

Lissu kimlimpata nini? Si mlimkashifu ni attention seeker?

Vipi Ben saanane, Lwajabe, Alphonse Mawazo, akwilina, azory gwanda nk?

Nakuita shetani kwasababu unataka kuona vifo alafu baadae msingizie ni mboye.
Kumbe muhusika unamjua. Kaa kimya
 
Watanzania tunaona akili za watu waliokua eti wanataka hii nchi. Vilaza watupu, wanatapatapa kwa propaganda za kitoto.
awajui hata kutengeneza drama.
Lucifer at work

Usituletee drama za huko kwenu

Ndio umefundwa na mamako hivyo?

Lissu si mlisema drama?

Mashetani kwa mwili wa binadamu.
 
Back
Top Bottom