Waraka: Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) latoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona nchini

ONDOA MASHAKA YAKO NI MAELEKEZO TOKA VATCAN HANA NAMNA.

Halafu mnataka muambiwe CORONA IPO ili iweje au mmeambiwa dawa imepatikana. AU kuna pesa utapata.

SASA KAMA TZ KUNA CORONA MBONA MAKABURI MAPYA YALIYOPO KWA WINGI HATUYAONI .
 
Hakuna serikali inachoweza fanya zaidi ya kutuhimiza kunawa,vaa barakoa,Epuka misongamano etc...
Muhimu serikali itahadharishe wananchi kuwa hali si shwari ili watu warejee kwenye zile jitihada za mwaka jana huku tukiomba Mungu. Serikali inapokuwa kimya na kuaminisha watu kuwa kila kitu kiko sawa tatizo ndio linaanzia hapo.
 
Unakwenda kinyume na mkuu wako? Keshasema hakuna corona na hakuna kuvaa mask. Humuamini au?
Hii second half ni HATARI, ni uchaguzi wa kuvaa barakoa au kuondoka.

Dude limetoka South linapandisha mdogo mdogo.

Linaning'niza hadi naogopa maana naona dalili za Melinda Gates kuwa nabii.
 
Kanisa lisipokanusha hii habari ndani ya saa 72 basi nipigeni ban! Naamini watakanusha sio kwa sababu hawajaandika au hawaamini suala la uwepo wa corona bali watakanusha kwa sababu kutoa taarifa kama hii ni kuipigana vita vya kiuchumi dhidi ya taifa letu huku kanisa likiwa upande wa mabeberu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…