BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kuandika hawajui hawajasoma waleHata siamini bado , ngoja tuone waraka wa bakwata
Huyo askofu hua ni mbabe,straightforward afu mkimya mkimya hivi kama hayupo hivi kumbe ana observe tuWatu hawamjui askofu Ngalalekumtwa, tuulize sisi ambao data za kanisani ziko kiganjani. Ngalalekumtwa msiki hivihivi usiingie kwenye anga zake. Utajuta.
Chuo gani kwa mfano ?Ila kiukweli hata RC no zinasomeka sasa hivi,sadaka ziko hoi,vyuo vyao wanavyomiliki siku hizi inapita hata miezi 4 wahadhiri hawajalipwa hela zao ni Changamoto pia wanazipitia.
Sidhani kama Serikali itakuwa na haraka sana kuanza ligi na Kanisa Katoliki. ni kitu kimoja kumhoji uraia Askofu NiweMugizi, au kukagua mpaka nguo za ndani za mke wa Askofu Kakobe, lakini ni kitu kingine kabisa kuanzisha ligi na Kanisa Katoliki lenyewe.
Wamechoka kuona waTZ tunanyanyaswa kwa kuvunja katiba waziwazi!!Sasa huu ni wa aina yake, maana haijawahi kutokea Baraza lenyewe likatoa tamko kali hivi. Huko nyuma matamko ya Kanisa yametolewa na kamati za Baraza, na siyo Baraza lenyewe. Na baadhi ya Maaskofu waliweza kutamka kutokubaliana. Hili ni tofauti. Hii ni rasmi kabisa ya Baraza zima na kama unavyoona kule mwisho Maaskofu wote wamejiorodhesha. siyo mchezo.
ungeeleza wa nje yupi wa ndani nani usingemaliza mistari yote hyo..great thinker ana subiraThis is hom of great thinkers kama hata hilo unaomba ufafanuzi its better ukaenda kufanya mazoezi huko facebook tunahitaj watu wakomavu kifikra.
Sindano imewaingi ee...????Huyo askofu hua ni mbabe,straightforward afu mkimya mkimya hivi kama hayupo hivi kumbe ana observe tu