Unapowalinganisha Kakobe na Gwajima na hao mapadre unakosea sana, they are two different people. Wakati kundi la kwanza wanafuata mafundisho ya Yesu as they are, kama kuponya magonjwa, kutoa pepo, kuhubiri injili ya wokovu just like what Jesus and the disciples did, hawa wengine hawayafanyi hayo na infact wanayapinga.
Hawa watu hawalingani kabisa, usidanganyike.
By the way, Yesu alikaa na wanafunzi wake for only 3 years na baada ya kuondoka waliuwasha moto wa injili vibaya sana mpaka leo hii tunamjua Mungu anayeokoa japokuwa walipingwa na kuuawa sana na utawala wa KIRUMI. So, again hawa hawalinganishwi kabisa na off course wanatumikia deities tofauti kabisa, japo at face value huwezi kulijua hilo, limefichwa machoni pako.