WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Hili baraza la waaskofu lina mkosa mtu mmoja tu ; sheikh ponda .ingekua pesa inatumika kusajiri imank ya mtu bhasi Ponda ni mtu sahihi kabisa kuungana na hawa maaskofu
 
Uchumi
Ila kiukweli hata RC no zinasomeka sasa hivi,sadaka ziko hoi,vyuo vyao wanavyomiliki siku hizi inapita hata miezi 4 wahadhiri hawajalipwa hela zao ni Changamoto pia wanazipitia.

Uchumi si ndo wameporomosha hawa majamaa?
 
Mimi naamini ni taasisi za dini ndio pekee ambao wamebaki na nafasi ya kukosoa na kuielekeza serikali, wengine wote wamefungwa midomo ikiwamo Bunge.

Vv
Hata wao hawapo huru wakibaki mmoja mmoja, rejea hoja ya uraia wa niwemugizi
 
Wewe unaonekana ni askofu wa uswekeni kama gwajima.
Huyo askofu kuna wakati utagundua kuwa kumbe alikuwa anapita kwenye njia nyembamba na inayosonga sana ambayo waionayo ni wachache...and don't say i did not warn you!
 
Huyu muhubiri wangu hapa kama hafanyi makusudi kupotosha hayo mambo...basi kuna walakini mkubwa katika uelewa wake wa mambo.....

uwelewa wake wa mambo ambayo anayasomakutoka kwenye vitabu vilivokwisha andikwa ????

jee na huyu anayekuambia muungano kaleta mungu wewe ndio unamwona yuko sahihi ????

Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu


Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.
Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
 
wanafuata mafundisho ya Yesu as they are, kama kuponya magonjwa, kutoa pepo, kuhubiri injili ya wokovu just like what Jesus and the disciples did
Aliyekuambia kuponya wagonjwa na kutoa pepo pepo ndio Injili ya kweli ni nani..??? Hiyo siyo Injili kama ulikuwa hujui.

Injili ya kweli ni " kutibu na kuiamini Injili, Kuhubiri Upendo kwa kila kiumbe, kusaidia maskini, yatima, wajane, wagonjwa, wafungwa...nk.nk...'

Hiyo ndo injili ya kweli....hayo uliyoyataja ni usanii wa wa kina Kakobe, Mwingira wa wa kupiga pesa
 
Hizi ni ngonjera. Hao hao walio andika huu waraka ndio wanao mshirikisha sakramenti kila jumapili. Kama mtu ni mkosefu mbona mnamshirikisha meza ya Bwana?? Msituchanganye jamani
 
Wao wenyew kodi hawalip kisingizio cha dini, wao wenyew wamekuwa wauzaji wakubwa wa dawa kutumia mgongo wa dini....
Katoloki kama mlipewa pesa na vyama ili muongee rubish bac warudshieni pesa zao....
Lazma nchi ijengwe kaz zfanyike na c kuwahadaa wananchi na vimikutano vya uongo na chuki majimbon kwaohawatak kaz kung'ang'ania mikoa isiyowahusu....... Very shamefull askofu unakaaa unaingilia mambo yasyokuhusu ww kama nani katika nchi hii??? Iktokea dini nyngne ikakupinga ikatokea dini nyngne wakasema yao? Mnataka iwe nchi sasa ya majbzano baina ya dini hii yasema ivi nyngne yasema vile?????
Mnaugua kwel nyie naona dvai zmewalevya.......



Mie huwa sina nidham ya woga
 
Bora hata ninyi watumishi wa Mungu mtusaidie maana.......Huku wananchi tusio na maslahi ya moja kwa moja na uongozi wa serikali au chama tawala tukilalamikia utawala wa kibabe na ukandamizwaji wa demokrasia; wao wanajitangaza kuongoza kwa utawala bora na ukuaji wa demokrasia.

Wakati wananchi tukilalamikia hali ngumu ya maisha kutokana na biashara kuwa ngumu; wao wanatutangazia namna ambavyo uchumi unakua kwa kasi.

Hivi mashetani wanaishije kwasababu tuliwahi kuskia kuna watu wataishi kama mashetani!?
 
Magu atasusa kwenda kanisani au atajenga kanisa lake
 
anaweza kuwaita wachochezi
Raisi Magufuli naona huu ujumbe umemlenga yeye,bado kungali mapema,lakini anaweza akanyamaza bila kutoa tamko au akawapa za uso ili nchi ianguke ikiwa chini yake,au akaamua kuachana na itikadi kali,na hilo nafikiri analiweza.
Akiwa waziri wa ujenzi alikataliwa katu na wakuu wake wa kazi kulibomoa jengo la Tanesco,japo alitishia kujiuzuru lakini alisalimu amri hadi mwisho wa kipindi cha uwaziri kikaisha hakujiuzuru.Wakati mwingine wananchi wawe ngangali ndio tutaheshimiana.
 
rais wangu piga kazi. hachana na mbwembwe hizo. Serikali haiendeshwi kwa madongo madongo kama hayo. Kwani wao wanaujua mzigo raais alionao? watu wafanyekazi. Siasa mpaka 2020
 
Aliyekuambia kuponya wagonjwa na kutoa pepo pepo ndio Injili ya kweli ni nani..??? Hiyo siyo Injili kama ulikuwa hujui.

Injili ya kweli ni " kutibu na kuiamini Injili, Kuhubiri Upendo kwa kila kiumbe, kusaidia maskini, yatima, wajane, wagonjwa, wafungwa...nk.nk...'

Hiyo ndo injili ya kweli....hayo uliyoyataja ni usanii wa wa kina Kakobe, Mwingira wa wa kupiga pesa
Matthew 10:8 New International Version (NIV)
Jesus said, 'heal the sick, raise the dead, cleanse those who have leprosy,drive out demons. Freely you have received; freely give.'
According to the scripture quoted above huo utakuwa ni usanii wa YESU, akina Kakobe na Mwingira unawaonea tu, wao wanafanya kile alichosema YESU.
 
Back
Top Bottom