WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

According to the scripture quoted above huo utakuwa ni usanii wa YESU, akina Kakobe na Mwingira unawaonea tu, wao wanafanya kile alichosema YESU.
Lengo la Yesu siyo kuja kuonesha show za miujiza na kufufua wafu....ile ilikuwa ni Introduction ya ujio wake..


Unafahamu lengo la Ujio wa Yesu
 
Halafu mbona magazeti yaneupotezea huu waraka? Au ndio watch it?
 

Huyo bwana in muongo..,Kwann..??

Anasema kirefu cha VAT ni Vatican,huu ni uongo wa kwanza.

Anasema Nyerere alikwenda Vatican kufanya mkataba na Kanisa la Roma alivyorudi akaja na VAT..!!!!VAT ilikuja wakati wa Mkapa(Serikali ya awamu ya tatu)huu uongo wa pili.Anasema kuwa Mwarabu walijenga shule nyingi..!!hili sio kweli Mwarabu alikuja kwanza akafanya biashara ya Utumwa na pembe za ndovu kisha baada ya hapo akaeneza utamaduni wake(Uislamu) kwa kujenga Miskiti na Maadrasa.

Hicho kitabu anachosoma mbona aoneahi title yake na mtunzi ni nani..!!hapo kuna kitu anakificha.

Hizo story awapigie watu wasio na elimu ndio watamuelewa.
 
Nilitegemea serikali ingewashukia TEC kwamba wanajiingiza katika mabo ya siasa kama vile ambavyo serikali ilimshukia Kakobe na wengineo. Mbona safari hii serikali imenywea sana kwa tmako hili ambalo mimi naliona kali kuliko la Kakobe?
Sisi viongozi wetu wa kiislamu ( kasoro sheikh Ponda) sijawai kusikia hata siku moja kutoa waraka au tamko la kuilamu serikali wala kutoa ushauri,
 
Nilitegemea serikali ingewashukia TEC kwamba wanajiingiza katika mabo ya siasa kama vile ambavyo serikali ilimshukia Kakobe na wengineo. Mbona safari hii serikali imenywea sana kwa tmako hili ambalo mimi naliona kali kuliko la Kakobe?
Hakuna Serikali duniani iliyoweza kukaa madarakani kwa kulipinga Kanisa aliloanzisha Kristo mwenyewe(Kanisa Katoliki).

Na usifananishe Kanisa Katoliki na Kakobe,Gwajima au Lusekelo.
 
Huyo bwana in muongo..,Kwann..??

Anasema kirefu cha VAT ni Vatican,huu ni uongo wa kwanza.

Anasema Nyerere alikwenda Vatican kufanya mkataba na Kanisa la Roma alivyorudi akaja na VAT..!!!!VAT ilikuja wakati wa Mkapa(Serikali ya awamu ya tatu)huu uongo wa pili.Anasema kuwa Mwarabu walijenga shule nyingi..!!hili sio kweli Mwarabu alikuja kwanza akafanya biashara ya Utumwa na pembe za ndovu kisha baada ya hapo akaeneza utamaduni wake(Uislamu) kwa kujenga Miskiti na Maadrasa.

Hicho kitabu anachosoma mbona aoneahi title yake na mtunzi ni nani..!!hapo kuna kitu anakificha.

Hizo story awapigie watu wasio na elimu ndio watamuelewa.



soma hapa utapata majibu Mohamed Said: MWL. JULIUS K. NYERERE, KANISA KATOLIKI NA UISLAM: DOLA NA TATIZO LA UDINI TANZANIA
 
Lengo la Yesu siyo kuja kuonesha show za miujiza na kufufua wafu....ile ilikuwa ni Introduction ya ujio wake..


Unafahamu lengo la Ujio wa Yesu
Miujiza ile haikuwa show, ilikuwa ni kazi aliyotumwa na baba yake kuja kuifanya hapa duniani. Na kazi hiyo amewapa watumishi wake hapa duniani leol
 
Hakuna Serikali duniani iliyoweza kukaa madarakani kwa kulipinga Kanisa aliloanzisha Kristo mwenyewe(Kanisa Katoliki).

Na usifananishe Kanisa Katoliki na Kakobe,Gwajima au Lusekelo.


Kumbe Yesu alikuwa Mroma !!!!
 
rais wangu piga kazi. hachana na mbwembwe hizo. Serikali haiendeshwi kwa madongo madongo kama hayo. Kwani wao wanaujua mzigo raais alionao? watu wafanyekazi. Siasa mpaka 2020
Tatizo ni kwamba hii siyo nchi ya mtu mmoja. MUACHENI AFANYE KAZI! Hakuna anayetaka wala hakuna anayeweza kumzuia Rais kufanya kazi, ila yeye ndiyo hataki wengine wafanye kazi. Hataki vyama vya siasa vifanye kazi wala hataki mihimili ifanye kazi yake kwa mujibu wa katiba.

Yaani unawezaje kumzuia Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufanya kazi? wewe ni nani? Inavyoonekana Amiri jeshi huyu wa sasa wa Tanzania ana hofu kiasi kwamba hata chama cha siasa kisichokuwa na jeshi wala silaha, anakiogopa. Hii nchi ina Taasisi na mifumo mbalimbali ambayo yote inatakiwa kufanya kazi. Kuna taratibu za kikatiba za watu kukosoa na kupongeza, na kwa ujumla kutoa mawazo yao. Kuna mihimili ya Bunge, Mahakama, na Serikali, ambayo kila moja ina kazi yake na majukumu yake.

Amiri Jeshi wetu ni mwoga sana kiasi hataki mihimili mingine ifanye kazi yake kwa kujitegemea na uhuru kwa mujibu wa Katiba. anataka awe yeye tu. Na hata alivyosema hakuna siasa mpaa 2020, mwenyewe ameendekeza siasa tena za kijinga, kwa kukwapua wabunge waliochaguliwa na wananchi, na kuwalazimisha warudi tena kwenye uchaguzi! Ndiyo kuchapa kazi huko? kutuingiza hasara za kijinga?

Na bado ana mashitaka mengi tu. hiki kitendo cha kuruhusu ubaguzi wa kiitikadi, kiasi kwamba viongozi wanadiriki kutamka hadharani kwamba ukichagua mtu wa CCM ndio mtapata maendeleo, wakati fedha ni zetu sisi wote, Serikali ni mgawaji tu, huo ni UHAINI. Na ni DHAMBI KUBWA SANA. MAGUFULI ANATAKIWA KUTUBU.

Mwisho, kauli ya Maaskofu siyo ya kubeza. wameitoa iikiwa miaka miwili imepita ya serikali hii. hawakuwa na haraka, wengi wamewalaumu kwa kukaa kimya muda mrefu. wamejitafakari kabla ya kuitoa. Magufuli ajipange, ajipime. Kuwabeza viongozi wa dini pale wanaposimama kwenye UKWELI, NI JAMBO LA HATARI SANA.
 
kwa wakatoliki hapeleki pua anawajua vizuri.ataishia tu kwa akina Tito,Gwajima na Kakobe


Magu Akiwa na wenye nchi


img_2167-jpg.452976
 
Miujiza ile haikuwa show, ilikuwa ni kazi aliyotumwa na baba yake kuja kuifanya hapa duniani. Na kazi hiyo amewapa watumishi wake hapa duniani leol



MANENO HAYO UNAYASEMA WEWE ,

NIMEKUWA NIKIWAJIBU KWA HOJA NA NILIFUNGIWA ETI NALETA MAMBO YA DINI KWENYE THREAD ISIYO YA DINI BAADA MODS KUUMWA KWA UKWELI

TUMIENI UHURU WENU
 
Kama siku ya mwisho mtaulizwa ni roho ngapi mliwezesha kuona bunge live au mlifungua magazeti mangapi hakika nami naungana nanyi! Bwana utusamehe waja wako, ni mengi tunakukosea lakini umwingi wa rehema na msamaha.
 
Back
Top Bottom