Wao wenyew kodi hawalip kisingizio cha dini, wao wenyew wamekuwa wauzaji wakubwa wa dawa kutumia mgongo wa dini....
Katoloki kama mlipewa pesa na vyama ili muongee rubish bac warudshieni pesa zao....
Lazma nchi ijengwe kaz zfanyike na c kuwahadaa wananchi na vimikutano vya uongo na chuki majimbon kwaohawatak kaz kung'ang'ania mikoa isiyowahusu....... Very shamefull askofu unakaaa unaingilia mambo yasyokuhusu ww kama nani katika nchi hii??? Iktokea dini nyngne ikakupinga ikatokea dini nyngne wakasema yao? Mnataka iwe nchi sasa ya majbzano baina ya dini hii yasema ivi nyngne yasema vile?????
Mnaugua kwel nyie naona dvai zmewalevya.......
Mie huwa sina nidham ya woga