WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Huyo askofu kuna wakati utagundua kuwa kumbe alikuwa anapita kwenye njia nyembamba na inayosonga sana ambayo waionayo ni wachache...and don't say i did not warn you!
You better warn your parents first, not to deliver such hopeless creatures.
 
Wao wenyew kodi hawalip kisingizio cha dini, wao wenyew wamekuwa wauzaji wakubwa wa dawa kutumia mgongo wa dini....
Katoloki kama mlipewa pesa na vyama ili muongee rubish bac warudshieni pesa zao....
Lazma nchi ijengwe kaz zfanyike na c kuwahadaa wananchi na vimikutano vya uongo na chuki majimbon kwaohawatak kaz kung'ang'ania mikoa isiyowahusu....... Very shamefull askofu unakaaa unaingilia mambo yasyokuhusu ww kama nani katika nchi hii??? Iktokea dini nyngne ikakupinga ikatokea dini nyngne wakasema yao? Mnataka iwe nchi sasa ya majbzano baina ya dini hii yasema ivi nyngne yasema vile?????
Mnaugua kwel nyie naona dvai zmewalevya.......



Mie huwa sina nidham ya woga

Mbona hasira namna hii mkuu, bora kwenda taratibu mkuu.pole lakini.
 
Je huu waraka ndiyo uliotolewa na baraza la maaskofu Tanzania yaani TEC? Nini kinaweza kuthibitisha hilo maana miaka yote waraka kama huu ukitolewa unasomwa kwenye makanisa yote Tanzania ,sasa huu mbona haujasomwa kwenye makanisa??? Au kama kuna muumini ambaye ameusikia ukisomwa kutoka kwa paroko wake atuthibitishie
 
Hapa hawezi kukana maana huu sasa ni rasmi kabisa wa Baraza lenyewe. ule alioukana ulikuwa wa kamati ya baraza. hata jina lake limeorodheshwa kule mwisho

Walikuwa wapi kuyasema haya tangia mwaka 2016 ??
Au kwasababu wananufaika na huu mfumo kwa namna moja au nyingine ??
Marx was right when he uttered this bold statement "Religion is an Opium of the People"
Hapa hakuna jipya ni yale yale tu ya Catherine De' Medici na Gregory XIII just disgusting!

NB: Uwe na kwaresma njema na usisahau kutubia hii dhambi...
 
You better warn your parents first, not to deliver such hopeless creatures.
I guess we are not fighting, are we? I would appreciate if we stay calm and control our temperaments. That's what JF is all about, i suppose.
 
Sijaona uhusiano wa mikutano ya kisiasa na Kwaresma, naomba mnijuze tafadhali!
Ni Muda wa kutubu na kumrudia Mungu, sasa wewe umetunga sheria mwenyewe halafu hufuati tena kwa kufanya hivyo unawaumiza wananofuata sheria na taratibu ambazo wewe ndo unatakiwa kuwa msimamizi

Bado hujaona uhusiano????

[HASHTAG]#atubu[/HASHTAG]
 
Subirini tu. Itatolewa tamko kama lileeee kuhusu maoni ya katiba mpya ambao BAADAYE alijitokeza kiongozi wa juu kanisa katoliki Na kupingana Na waraka au tamko la maaskofu. Tena walikuwa wametoa wote maaskofu wa umoja wa makanisa sembuse hili lililotolewa Na TEC.

SUBIRINI TU.

YANGU MACHO. NASUBIRI MATOKEO....
 
Magu Akiwa na wenye nchi


img_2167-jpg.452976
Hayo ni maneno yako lkn hayana ukweli wowote.
 
Back
Top Bottom