WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Sijaona uhusiano wa mikutano ya kisiasa na Kwaresma, naomba mnijuze tafadhali!
 
Wameanza kujitambua sasa......good ila kuna mmoja atakuja kukana hili tamko. Time talks a lot
 
Je hili nalo ni tamko la kichungaji kama yale ya awamu ya nne?.
 
Hii ni kawaida na ni kila mwaka kanisa linapoelekea katika kipindi cha toba. Nimebahatika kuwa na nyaraka hizi kwa muda mrefu sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…