WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Kwa hiyo Baraza la Maaskofu limegeuka kuwa msimamizi wa mambo ya siasa? Kanisa limewashinda, week iliyopita tumeona wanamzika Kingunge lakini kwa walala hoi angezikwa kama hana thamani. Leo hii wanatoa wapi moral authority ya kujidai wanajali usawa?
 
Kwa hiyo Baraza la Maaskofu limegeuka kuwa msimamizi wa mambo ya siasa? Kanisa limewashinda, week iliyopita tumeona wanamzika Kingunge lakini kwa walala hoi angezikwa kama hana thamani. Leo hii wanatoa wapi moral authority ya kujidai wanajali usawa?
Punguza ukali, Mkuu waache wawe huru kutoa maoni yao
 
Kwa hiyo Baraza la Maaskofu limegeuka kuwa msimamizi wa mambo ya siasa? Kanisa limewashinda, week iliyopita tumeona wanamzika Kingunge lakini kwa walala hoi angezikwa kama hana thamani. Leo hii wanatoa wapi moral authority ya kujidai wanajali usawa?
Baraza la Maaskofu siyo wasimamizi wa mambo ya siasa, wao kama "wachungaji" wanao wajibu mkubwa sana katika jamii.

Huwa inashangaza kwamba Serikali huwa zinapenda kuyatumia makanisa kuendeleza ajenda zao. utakuta kiongozi anakwenda kanisani na analitumia kama platform ya kuendeleza ajenda yake. atatoa kauli, ataomba "aombewe". ataomba viongozi wa Kanisa wawaambie waamini wao mambo kadha wa kadha. Viongozi wa Serikali na wanasiasa wanatambua nguvu za viongozi wa dini. lakini hawataki viongozi hao hao waongee mambo ambayo hayapendezi kwa upande wa serikali au wanasiasa, hasa inapoonekana viongozi wa serikali wamekiuka kanuni ambazo wao wenyewe wameapa kuzilinda. Yesu Kristu alipambana sana na VIONGOZI WANAFIKI. Injili ya Mathayo sura ya 23 yote inaongelea Makaripio makali ya Yesu dhidi ya viongozi wanafiki.

Kuhusu mazishi ya Kingunge, nadhani ni vema ukiongea vitu ambavyo una uhakika navyo. Kingunge alianza mchakato wa toba, hivyo kwa kiwango fulani Kanisa limemheshimu japo hakupewa hadhi ya juu kabisa ambayo ni kuzikwa kwa Misa Takatifu ya Wafu, kwa sababu hakukamilisha mchakato wa Toba.
 
Hivi hujasoma huu waraka?
Sasa waende mahakaman kufanya nn?wakat mahakama yenyewe inaingiliwa na muhimili uliojichimbia chini zaidi.!!!
Nani anajua wangekwenda mahakamani ingeishia vipi? Na je mahakama zetu (Tanzania ndo za mwisho?). Tuzijaribu tuone matokeo. Hata Padre Mtikila aliwahi kushinda.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa hiyo Baraza la Maaskofu limegeuka kuwa msimamizi wa mambo ya siasa? Kanisa limewashinda, week iliyopita tumeona wanamzika Kingunge lakini kwa walala hoi angezikwa kama hana thamani. Leo hii wanatoa wapi moral authority ya kujidai wanajali usawa?
Kwa hiyo unataka wanyamaze hata wanapo ona mambo hayaendi vizuri?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Safi sana, tusimsikie tena pengo anarudi kiaina kufanya mambo yake ya ajabu ajabu kana kwamba hakuwepo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sozinje, tuma idara ya uhamiaji ichunguze uraia wa maaskofu wote Katoliki Tanzania. Hawa sio Watanzania. Wanaleta uchochezi kwa wanananchi na hawakukupigia kura mwaka 2015 kwenye uchaguzi uliokuweka madarakani. Chonde chonde baba jesca. ...( tehe tehe, Sozinje, akili za kuambiwa changanya na za kwako).
 
Baraza la Maaskofu siyo wasimamizi wa mambo ya siasa, wao kama "wachungaji" wanao wajibu mkubwa sana katika jamii. Huwa inashangaza kwamba Serikali huwa zinapenda kuyatumia makanisa kuendeleza ajenda zao. utakuta kiongozi anakwenda kanisani na analitumia kama platform ya kuendeleza ajenda yake. atatoa kauli, ataomba "aombewe". ataomba viongozi wa Kanisa wawaambie waamini wao mambo kadha wa kadha. Viongozi wa Serikali na wanasiasa wanatambua nguvu za viongozi wa dini. lakini hawataki viongozi hao hao waongee mambo ambayo hayapendezi kwa upande wa serikali au wanasiasa, hasa inapoonekana viongozi wa serikali wamekiuka kanuni ambazo wao wenyewe wameapa kuzilinda. Yesu Kristu alipambana sana na VIONGOZI WANAFIKI. Injili ya Mathayo sura ya 23 yote inaongelea Makaripio makali ya Yesu dhidi ya viongozi wanafiki.

Kuhusu mazishi ya Kingunge, nadhani ni vema ukiongea vitu ambavyo una uhakika navyo. Kingunge alianza mchakato wa toba, hivyo kwa kiwango fulani Kanisa limemheshimu japo hakupewa hadhi ya juu kabisa ambayo ni kuzikwa kwa Misa Takatifu ya Wafu, kwa sababu hakukamilisha mchakato wa Toba.
Usihangaike nao Askofu wa jimbo katoliki DSM amelitolea ufafanuzi suala la marehemu Kingunge
 
Katoliki ndio dola kuu duniani! Hakuna kibaraka mwenye uwezo wa kuwapima mkojo!
Wataanza kutozwa kodi shauri zao,au kuchunguzwa uraia wako.wangekuwa na ubavu huo si wangewatenga na kuwafukuza ushiriki wale wote wasababishi wa waliyoyaandika kwenye waraka wao.
 
Sozinje, tuma idara ya uhamiaji ichunguze uraia wa maaskofu wote Katoliki Tanzania. Hawa sio Watanzania. Wanaleta uchochezi kwa wanananchi na hawakukupigia kura mwaka 2015 kwenye uchaguzi uliokuweka madarakani. Chonde chonde baba jesca. ...( tehe tehe, akili za kuambiwa changanya na za kwako).
Usisahau na TRA wakahojiwe na kufanyiwa upekuzi mpaka kwenye nyumba zao
 
Kama aliesema ATUBU walisagula sagula mpaka chupi zake... Sijui hawa wazee wa Vatican itakuaje.
 
Back
Top Bottom