Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,332
Wamezijaribu kwenye hili? Namkumbuka Padri Mtikila alijaribu na kushinda hukohuko. Tusipojaribu ndo basi tena.Mahakama zipi? hizi zinazopokea oder kutoka ikulu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamezijaribu kwenye hili? Namkumbuka Padri Mtikila alijaribu na kushinda hukohuko. Tusipojaribu ndo basi tena.Mahakama zipi? hizi zinazopokea oder kutoka ikulu?
Endeleeni na wehu wenu, amani ya nchi hii haitawekwa rehan kwasababu ya wehu wachache, atakufa beki ama kipa lkn mambo yaende mende hawasumbui mwenye nyumbaHuyo wa kuwavuruga ni nan ? Na ajaribu aone moto wake .
NdiooooMimi: Tamko hilo sio msimamo wa kanisa katoliki.
Mmenijua?
Type dondoo zake mkuuWatu hawamjui askofu Ngalalekumtwa, tuulize sisi ambao data za kanisani ziko kiganjani. Ngalalekumtwa msiki hivihivi usiingie kwenye anga zake. Utajuta.
Usicheze na wenye mamlaka. Uzi ulipotea kabisaMmh huu uzi mara uende mbele mara urudi nyuma me hata siuelewi
Au Mr Abbas!!!!Huu waraka ufike nyumba nyeupe, kama ni mvivu wa kusoma amuombe Msigwa amsomee, hasa hizo kurasa ulizoziainisha.
Unapatikana katika Duka la vitabu la Paulines Books and Media Centre, au maarufu kama CATHEDRAL BOOKSHOP. Duka liko jirani na Kanisa Kuu la Mt. Yosefu
Utakufa wewe ila Israel itasimama daimaEndeleeni na wehu wenu, amani ya nchi hii haitawekwa rehan kwasababu ya wehu wachache, atakufa beki ama kipa lkn mambo yaende mende hawasumbui mwenye nyumba
Yeye ameshauri upinzani upitie njia ya mahakama kupinga huu udhalimu. Nafikiri mkakati huu ni wakutilia nguvu. Najua mwanzo walisema wangeenda mahakamani sijui iliishia wapi?
Kanisa liende mbele zaidi kwa kuwafukuza kanisani waumini wanaohusika kuleta udikteta Tanzania , shetani asikaribishwe kanisani .