Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Zitto anzisha chama chako, usiende kwa magamba! I will support you to the end!! Achana na hao wenye wachumba uzeeni na vilaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea kulalama lakini mizizi ya CCM ndani ya Chadema imekatwa ingawaje bado mmoja lakini huyo naye atajulikana muda si mrefu. Na kazi yote hii ilikuwa inafanyika kwa kutumia bajeti ya pesa za walipa kodi zilizokuwa zinatumwa ujerumani na ikulu na baadae kumrudia Zitto. No wonder Wassira alikuwa anatamba kwamba CDM itakufa kabla ya 2015. Wakajipange upya.
Tiba
nakubaliana nawe kabisa. Umekuwa balanced ktk analysis yako. Kwa maoni yangu kamati kuu imekuruouka katika kufanya maamuzi. Natamati michangi ya wana JF humu ingeonyesha kutabua kuwa watuhumiwa wanabakia kuwa watuhumiwa mpaka baada ya hizo siku 14. Kwa sisi wanachama wa kawaida tunatskiwa kuwa wavumilivu kwa matarajio kuwa uamuzi uliofanyika ni sahihi. Hata kama hatimaye itathibitika kuwa kamati kuu ilifanya makosa bila kudhamiria tutawasamehe. Ni imani yangu historia itahukumu pande zinazokinzana kwa haki.kwanza na-declare interest yangu. mimi ni mmoja wa wengi wetu ambao ni "chama-less" tuliojichokea na ukiritimba wa CCM, na hivyo tumejikuta tukiitegemea sana Chadema kama ndiye mbadala.
pia nikiri kabisa kuwa mimi binafsi siuoni kabisa mkono wa CCM kwenye waraka (or rather mpango) huu. it looks to me like a document that has been worked out by a genetically pure Chadema germ.
hata hivyo ninaelewa na kukubaliana na ukweli kwamba jambo lolote, hata likiwa ni zuri kwa kiasi gani, likifanywa kwa kificho lazima litapelekea mtikisiko kwa community husika.
hiki ndicho kilichotokea kwa Chadema.....i.e watuhumiwa wenye nia njema kabisa na taasisi yao wamefanya mambo clandestinely lakini kwa bahati nzuri/mbaya wamekuja kugundulika.
kwa mtizamo wangu, huu waraka una maudhui mazuri sana lakini una mapungufu makubwa ya kimkakati (tactical deficiency) kwa waandaji wake. waandaji hao wanaonekana kuelewa sana walichotaka kukifanya lakini hawakuwa smart...they goofed it big time (and this am particularly addressing to my good friend Dr Mkumbo, going forward).
nikirudi kwa uongozi wa Chadema, mtizamo wangu ni kuwa maamuzi yao dhidi ya watuhumiwa yamekuwa equally poor or worse. huwezi kuchukua maamuzi waliyochukua Chadema with general elections beckoning only 2 years away halafu utegemee eti kushinda uchaguzi huo. itakuwa ni vigumu sana au pengine impossible kabisa. hii inatukatisha tamaa sana - tena sana tu - sisi tunaowategemea.
kuna positives nyingi kwenye waraka huu ambazo uongozi wa Chadema ungeweza kuzichota na kuzifanyia kazi kwa ajili ya kukipeleka chama mbele. daima tukumbuke kuwa, kwa mfano, kwenye football match spectators huwa wanayaona vizuri zaidi makosa ya wachezaji walioko ndani ya pitch kuliko wachezaji wenyewe wanaocheza. hawa watuhumiwa ni kama spectators na ninyi viongozi ndiyo wachezaji - you should (or rather you could) have used approach mbadala anuai za kuwawajibisha watuhumiwa bila ya ku-create drama hii tunaishuhudia leo.
Aisee kama hivi ZZK hawawezi kumng'oa CDM sema kuna uchocheaji kutoa southern block si vibaya kuzungumzia katiba ya chama katika suala la uchaguzi wa viongozi,na sio vibaya kugombea nafasi kwa mbinu anazozijua yeye ndani ya chama so long as tena ALIAHIDIWA kwa staili hii DJ MBOWE ndo tatizo ndani ya chama na amini usiamini CDM itakufa kwa staili hii ya kung'ang'ania madaraka na HATUTAWEZA kuing'oa ccm kama tunapita kwenye mkondo wa dhambi zilezile za magamba