Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

aisee kama hivi zzk hawawezi kumng'oa cdm sema kuna uchocheaji kutoa southern block si vibaya kuzungumzia katiba ya chama katika suala la uchaguzi wa viongozi,na sio vibaya kugombea nafasi kwa mbinu anazozijua yeye ndani ya chama so long as tena aliahidiwa kwa staili hii dj mbowe ndo tatizo ndani ya chama na amini usiamini cdm itakufa kwa staili hii ya kung'ang'ania madaraka na hatutaweza kuing'oa ccm kama tunapita kwenye mkondo wa dhambi zilezile za magamba
i conclude hakua na nia mbaya achilia mbali shutuma za kukihujumu chama
na kama rohoni kwake ni cdm damu ipo siku tutakubali kua ukweli unapanda ngazi na ukweli unapanda lift
ni maamuzi mabaya ya chadema ambayo wamewahi kuyafanya na ni mpango wa kukiua chama

kunywa flagyl tatu na kiroba then kalale.Hiyo itakupunguzia maumivu.
 
Wanabodi wenzabgu,
Ama kweli leo hii nimesikitishwa sana na maamuzi yalofanywa na uongozi wa juu wa chama kuhusiana na WARAKA huu. Ni maamuzi mabaya sana tena yanaweza tafsirika vibaya zaidi kwa sababu waraka mzima unawazubgumzia WATU fulani tu na sio jinsi ya kukiangusha CHAMA. Kila naposoma ni maagiz ya kukiimarisha chama zaidi tokana na mapungufu yaliyopo.. Na katika Siasa popote duniani uongozi unapolegalega wajumbe wana kila haki ya kufanya mazungumzo iwe kimtandao ama kwa pamoja kuhoji uongozi uliopo iwe wa chama au hata Yaifa.

Kama mnakumbuka wala sii muda mrefu huko CCM kwenyewe kulikuwa na mpango wa kumwondoa JK ktk Uenyekiti, tena kinyume cha utamaduni wa chama hicho japo katiba yao haitoi utaratibu na wanafi hiyo,. Na kama kusema vibaya mbona Lowassa kisha sema mengi asana ya udhaifu wa JK tena hadharani na kama mnakumbuka alisema kiongozi bora ni lazima uchukue maamuzi magumu. Wala sii pekee yake tumewasikia wangapi wakisema Uongozi wa JK ni dhaifu wakiungana na Mnyika huko vijiweni!

Binafsi yangu nimeshasikia viongozi kibao wa CCM na wengine mawaziri wakitofautiana kabisa na JK lakini kutokana na utendaji kazi wao wameendelea kuwepo ktk chama na serikali kwa sababu kinachohesabika ni uwezo wao wa kazi na madaraka walokabidhiwa kwa wananchi na sii urafiki ama nidhamu yao kwa viongozi wa juu. Ukitazama makatibu wote wa CCM waloenguliwa wote ilitokea kwanza baadhi ya viongozi kutoridhika na uendeshaji wao wa chama na yakafanyika mabadiliko japo sasa hivi ndio uozo kabisa. Lakini mabadiriko yalifanyika kwa kupitia makundi ya wajumbe na viongozi wengine wala haikuwa maamuzi ya JK pekee ama kupitia vikao vya chama eti washauriane kama hawafao ama laa! Na kwa busara kubwa hakuna mtu hata mmoja anayejua sababu za viongozi hao kuenguliwa ama kuonyeshwa waraka ulowataka waenguliwe!

Hebu turudi nyuma na kujiuliza, hivi kama haya yaloandikwa hayana ukweli wowote ule kwa nini yasipatiwe majibu kwanza kuodhoresha kila kipengele UONGO uko wapi na ukweli ni upi ili nasi tusiwe na wasiwasi na hatua zilizochuku;liwa. Na kisha jamani kwa nini kila siku mtu yeyote anayejaribu kuonyesha udhaifu wa viongozi kwa nia ya kuongeza nguvu zaidi ya chama hufukuzwa na kibaya zaidi hadithi tunazosikia ni zile zile za CHADEMA kina wenyewe!..

Viongozi wa CHADEMA nawataarifu tu ya kwamba CCM ina mbinu nyingi sana na yawezekana msaliti kwetu sii hawa vijana isipokuwa uongoozi uliopo kwa sababu haiwezekani vitu hivi vijirudie mara tatu!

1. Mwaka 1998 wakati NCCR ni tishio kubwa la CCM kwa uchaguzi wa mwaka 2000, yalitokea haya ya kina Mrema na chama kikapoteza watu maarufu kiasi kwamba CAF ikashika moto.

2. Mwaka 2008, kabla tena ya uchaguzi wa mwaka 2010 wakati CAF ikionekana tishio la CCM, Uongozi wa CAF wakajikanyaga nao wakafukuza watu kiasi kwamba uchaguzi ulipofika walikuwa hoi bin Taaban.

3. Leo tena mwaka 2013, matumaini yetu yakiwa Chadema inatokea tena chama hiki kufanya yale yale yalowaangusha wengineo. na siku zote walofukuzwa ndio walionekana wenye makosa japo ukichunguza kwa makini hawa watu walofukuzwa hawakuwahi kuwa wanachama wa CCM kabla!

Je, hii kweli ni bahati mbaya tu inatokea ama hivi vyama vyetu vya siasa ni sehemu ya CCM yenyewe na kuna watu walopandikizwa wanaotuchezea akili maana haiwezekani kabisa kwa mara ya tatu, tushindwe kila mara dakika za majeruhi..
 
Wanabodi wenzabgu,
Ama kweli leo hii nimesikitishwa sana na maamuzi yalofanywa na uongozi wa juu wa chama kuhusiana na WARAKA huu. Ni maamuzi mabaya sana tena yanaweza tafsirika vibaya zaidi kwa sababu waraka mzima unawazubgumzia WATU fulani tu na sio jinsi ya kukiangusha CHAMA. Kila naposoma ni maagiz ya kukiimarisha chama zaidi tokana na mapungufu yaliyopo.. Na katika Siasa popote duniani uongozi unapolegalega wajumbe wana kila haki ya kufanya mazungumzo iwe kimtandao ama kwa pamoja kuhoji uongozi uliopo iwe wa chama au hata Yaifa.

Kama mnakumbuka wala sii muda mrefu huko CCM kwenyewe kulikuwa na mpango wa kumwondoa JK ktk Uenyekiti, tena kinyume cha utamaduni wa chama hicho japo katiba yao haitoi utaratibu na wanafi hiyo,. Na kama kusema vibaya mbona Lowassa kisha sema mengi asana ya udhaifu wa JK tena hadharani na kama mnakumbuka alisema kiongozi bora ni lazima uchukue maamuzi magumu. Wala sii pekee yake tumewasikia wangapi wakisema Uongozi wa JK ni dhaifu wakiungana na Mnyika huko vijiweni!

Binafsi yangu nimeshasikia viongozi kibao wa CCM na wengine mawaziri wakitofautiana kabisa na JK lakini kutokana na utendaji kazi wao wameendelea kuwepo ktk chama na serikali kwa sababu kinachohesabika ni uwezo wao wa kazi na madaraka walokabidhiwa kwa wananchi na sii urafiki ama nidhamu yao kwa viongozi wa juu. Ukitazama makatibu wote wa CCM waloenguliwa wote ilitokea kwanza baadhi ya viongozi kutoridhika na uendeshaji wao wa chama na yakafanyika mabadiliko japo sasa hivi ndio uozo kabisa. Lakini mabadiriko yalifanyika kwa kupitia makundi ya wajumbe na viongozi wengine wala haikuwa maamuzi ya JK pekee ama kupitia vikao vya chama eti washauriane kama hawafao ama laa! Na kwa busara kubwa hakuna mtu hata mmoja anayejua sababu za viongozi hao kuenguliwa ama kuonyeshwa waraka ulowataka waenguliwe!

Hebu turudi nyuma na kujiuliza, hivi kama haya yaloandikwa hayana ukweli wowote ule kwa nini yasipatiwe majibu kwanza kuodhoresha kila kipengele UONGO uko wapi na ukweli ni upi ili nasi tusiwe na wasiwasi na hatua zilizochuku;liwa. Na kisha jamani kwa nini kila siku mtu yeyote anayejaribu kuonyesha udhaifu wa viongozi kwa nia ya kuongeza nguvu zaidi ya chama hufukuzwa na kibaya zaidi hadithi tunazosikia ni zile zile za CHADEMA kina wenyewe!..

Viongozi wa CHADEMA nawataarifu tu ya kwamba CCM ina mbinu nyingi sana na yawezekana msaliti kwetu sii hawa vijana isipokuwa uongoozi uliopo kwa sababu haiwezekani vitu hivi vijirudie mara tatu!

1. Mwaka 1998 wakati NCCR ni tishio kubwa la CCM kwa uchaguzi wa mwaka 2000, yalitokea haya ya kina Mrema na chama kikapoteza watu maarufu kiasi kwamba CAF ikashika moto.

2. Mwaka 2008, kabla tena ya uchaguzi wa mwaka 2010 wakati CAF ikionekana tishio la CCM, Uongozi wa CAF wakajikanyaga nao wakafukuza watu kiasi kwamba uchaguzi ulipofika walikuwa hoi bin Taaban.

3. Leo tena mwaka 2013, matumaini yetu yakiwa Chadema inatokea tena chama hiki kufanya yale yale yalowaangusha wengineo. na siku zote walofukuzwa ndio walionekana wenye makosa japo ukichunguza kwa makini hawa watu walofukuzwa hawakuwahi kuwa wanachama wa CCM kabla!

Je, hii kweli ni bahati mbaya tu inatokea ama hivi vyama vyetu vya siasa ni sehemu ya CCM yenyewe na kuna watu walopandikizwa wanaotuchezea akili maana haiwezekani kabisa kwa mara ya tatu, tushindwe kila mara dakika za majeruhi..
mkuu subiri anakuja huko kwenu kuwatia kichefucehfu na habri zake za mabilioni, ufisadi ,ukanda, udini etc....huko itabidi aongee ktk tone nzuri ambayo itakuwa inasikika kt makundi ya Urais wa CCM....

Sijui km Zitto amewahi jifunza sana kujizua jazba hata waraka unakiri hilo,zidhani km amejaliwa subira, sidhani sana km amejaliwa BUSARA ...hili nimeliweka likafutwa ila ndio linammaliza na litatia kichefuchefu CCM muda si mrefu sana.

Nadhani utakuja hapa kutueleza vyema.
 
Nionavyo mimi, either CHADEMA itaimarika sana au itadidimia sana. haiwezi kubakia katika mstari ule ule uliokuwa nao mwaka mmoja uliopita.
 
Wanabodi wenzabgu,
Ama kweli leo hii nimesikitishwa sana na maamuzi yalofanywa na uongozi wa juu wa chama kuhusiana na WARAKA huu. Ni maamuzi mabaya sana tena yanaweza tafsirika vibaya zaidi kwa sababu waraka mzima unawazubgumzia WATU fulani tu na sio jinsi ya kukiangusha CHAMA. Kila naposoma ni maagiz ya kukiimarisha chama zaidi tokana na mapungufu yaliyopo.. Na katika Siasa popote duniani uongozi unapolegalega wajumbe wana kila haki ya kufanya mazungumzo iwe kimtandao ama kwa pamoja kuhoji uongozi uliopo iwe wa chama au hata Yaifa.

Kama mnakumbuka wala sii muda mrefu huko CCM kwenyewe kulikuwa na mpango wa kumwondoa JK ktk Uenyekiti, tena kinyume cha utamaduni wa chama hicho japo katiba yao haitoi utaratibu na wanafi hiyo,. Na kama kusema vibaya mbona Lowassa kisha sema mengi asana ya udhaifu wa JK tena hadharani na kama mnakumbuka alisema kiongozi bora ni lazima uchukue maamuzi magumu. Wala sii pekee yake tumewasikia wangapi wakisema Uongozi wa JK ni dhaifu wakiungana na Mnyika huko vijiweni!

Binafsi yangu nimeshasikia viongozi kibao wa CCM na wengine mawaziri wakitofautiana kabisa na JK lakini kutokana na utendaji kazi wao wameendelea kuwepo ktk chama na serikali kwa sababu kinachohesabika ni uwezo wao wa kazi na madaraka walokabidhiwa kwa wananchi na sii urafiki ama nidhamu yao kwa viongozi wa juu. Ukitazama makatibu wote wa CCM waloenguliwa wote ilitokea kwanza baadhi ya viongozi kutoridhika na uendeshaji wao wa chama na yakafanyika mabadiliko japo sasa hivi ndio uozo kabisa. Lakini mabadiriko yalifanyika kwa kupitia makundi ya wajumbe na viongozi wengine wala haikuwa maamuzi ya JK pekee ama kupitia vikao vya chama eti washauriane kama hawafao ama laa! Na kwa busara kubwa hakuna mtu hata mmoja anayejua sababu za viongozi hao kuenguliwa ama kuonyeshwa waraka ulowataka waenguliwe!

Hebu turudi nyuma na kujiuliza, hivi kama haya yaloandikwa hayana ukweli wowote ule kwa nini yasipatiwe majibu kwanza kuodhoresha kila kipengele UONGO uko wapi na ukweli ni upi ili nasi tusiwe na wasiwasi na hatua zilizochuku;liwa. Na kisha jamani kwa nini kila siku mtu yeyote anayejaribu kuonyesha udhaifu wa viongozi kwa nia ya kuongeza nguvu zaidi ya chama hufukuzwa na kibaya zaidi hadithi tunazosikia ni zile zile za CHADEMA kina wenyewe!..

Viongozi wa CHADEMA nawataarifu tu ya kwamba CCM ina mbinu nyingi sana na yawezekana msaliti kwetu sii hawa vijana isipokuwa uongoozi uliopo kwa sababu haiwezekani vitu hivi vijirudie mara tatu!

1. Mwaka 1998 wakati NCCR ni tishio kubwa la CCM kwa uchaguzi wa mwaka 2000, yalitokea haya ya kina Mrema na chama kikapoteza watu maarufu kiasi kwamba CAF ikashika moto.

2. Mwaka 2008, kabla tena ya uchaguzi wa mwaka 2010 wakati CAF ikionekana tishio la CCM, Uongozi wa CAF wakajikanyaga nao wakafukuza watu kiasi kwamba uchaguzi ulipofika walikuwa hoi bin Taaban.

3. Leo tena mwaka 2013, matumaini yetu yakiwa Chadema inatokea tena chama hiki kufanya yale yale yalowaangusha wengineo. na siku zote walofukuzwa ndio walionekana wenye makosa japo ukichunguza kwa makini hawa watu walofukuzwa hawakuwahi kuwa wanachama wa CCM kabla!

Je, hii kweli ni bahati mbaya tu inatokea ama hivi vyama vyetu vya siasa ni sehemu ya CCM yenyewe na kuna watu walopandikizwa wanaotuchezea akili maana haiwezekani kabisa kwa mara ya tatu, tushindwe kila mara dakika za majeruhi..
Mkandara,
Huu waraka ulikuwa ni siri. Waliouandika hawakuwa na lengo la kutafuta ufumbuzi katika vikao wazi ndani ya chama. Walikuwa na mpango wa kuanzisha mtandao wao wa siri ili wakati ukifika wamwondoe mwenyekiti wa sasa wamweke mtu wao MM. Kwa hiyo sikuelewi unaposema yaliyoandikwa yatafutiwe majibu. Hayakuwa ni masuala ambayo waandishi wake walitaka yazungumziwe mbele ya mikutano ya chama. Yalikuwa yafanyiwe kazi kwa siri kubwa ili wakati ukifika mapinduzi yafanyike ndani ya chama. Tumeona jinsi mtandao wa Kikwete ulivyovuruga utawala katika serikali na kuunda makundi ndani ya CCM> Isingekuwa jambo la busara kwa Chadema kuendekeza tabia hiyo.
 
Nionavyo mimi, either CHADEMA itaimarika sana au itadidimia sana. haiwezi kubakia katika mstari ule ule uliokuwa nao mwaka mmoja uliopita.

Pi inawezekana CDM wakaingiza mamluki mengi sana CCM kwa gia ya kumfuat Zitto .
 
mkuu subiri anakuja huko kwenu kuwatia kichefucehfu na habri zake za mabilioni, ufisadi ,ukanda, udini etc....huko itabidi aongee ktk tone nzuri ambayo itakuwa inasikika kt makundi ya Urais wa CCM....

Sijui km Zitto amewahi jifunza sana kujizua jazba hata waraka unakiri hilo,zidhani km amejaliwa subira, sidhani sana km amejaliwa BUSARA ...hili nimeliweka likafutwa ila ndio linammaliza na litatia kichefuchefu CCM muda si mrefu sana.

Nadhani utakuja hapa kutueleza vyema.
Mkuu wangu mimi sio mwanachama wa CCM kama unavyodhania. Mimi ni mwanachama wa Chadema na aliyenivuta uanachama ni KITILA MKUMBO wakati huo sijuani na Zitto kabisa, isipokuwa nilijuana na MBOWE vizuri tu. Na kama asemavyo Lowassa - Urafiki wetu (Mimi na Mbowe)haukuanzia barabarani. Kama umewahi kunisoma humu JF vizuri, muda wote nimekuwa nikimtetea Mbowe kama kiongozi mzuri na mwanasias mahiri tofauti na Zitto ambaye sii mwanasiasa kihivyo ila mchumi, mkweli, sii mnafiki na mwenye uchungu na TAIFA letu kiutaalam. Hilo hamuwezi kuliondoa kwa maneno matupu.

Hivyo kwa kila lawama zilizo andikwa ktk waraka huo ningependa kusoma kwanza majibu ya viongozi watuhumiwa wakijibu lawama hizi kupitia hicho kikao kilichofanyika na yawekwe hapa kama mlivyoweka huo waraka...Na siwezi kusimama kidete kumwekea dhamana (kifua) Mbowe wala Dr.Slaa ambaye nilikuwa mtu wa kwanza (humu JF) kumpitisha kama mgombea wa urais mwaka 2010 kwa tiketi ya Chadema, wakati sijui kuna ukweli gani ktk waraka huu ama uongo gani. Hawa ni binadamu tu wala sio Yesu wala manabii kusema wamekuja na neno la Mungu, wana mapungufu yao kama alivyo Zitto ama mimi na vizuri sana kuwakosoa kwa kuonyesha makosa ya hawa kina Zitto badala ya kusimama hapa na kutetea uongozi wa juu kwa waraka huu pekee kama vile hiki ni chama chao wao.

Ujue watu wanabakia na maswali mengi kuliko majibu ktk sakata hili maana hatuna majibu ya lawama hizo isipokuwa ubabe ulotumika wakati mbaya sana kama huu na inanipa shaka zaidi maana najua fika CCM wamepandikiza watu Chadema ila siwajui na inapotokea hivi wakati huu nachelea kusema CCM wameshinda tena. Wewe nambie kwa nguvu gani tunaweza kuwaondoa tena CCM madarakani kama sii kufikiria mwaka 2020 maana kuna wabunge wengi sana waliopo na walotoka Chadema wamekuwa wanalalamikia makao makuu jinsi inavyoendeshwa.

Mbowe mtu wangu wa nguvu, lakini sina budi kujua kama haya yalosemwa tokanayo, yana ukweli ndani yake au hayana na ukweli ni Upi?. Mbona ya Kapuya tunayasikia na tunataka kujua ukweli? akifura sana itamsaidia nini zaidi!. Ya viongozi wa CCM na wauza Unga? yote hatupati majibu (Ukweli) na watu wataendela kusema ovyo. Kumfukuza Zitto na kundi lake ktk uongozi kwa sababu wao hawaridhiki na kazi zinazofanywa na uongozi uliopo ni makosa makubwa sana maana tumeshindwa kutazama lengo lao hasa ni kukiimarisha chama zaidi kufikia 2015. Na kama umewasoma watu wengi humu JF wamekuwa wakisema Chadema haiko tayari kuchukua nchi, iwe Pasco au Mwanakijiji wote hawa hawakutaka kukiua chama bali kutuonyesha njia..
 
Uchambuzi wa kisomi, ila adui hakutakiwa ajue mapungufu na mbinu hizi.uchambuzi huu ungebaki ndani ya chama na kutekelezwa ni mzuri sana! Transparency and responsibility!


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkandara,
Huu waraka ulikuwa ni siri. Waliouandika hawakuwa na lengo la kutafuta ufumbuzi katika vikao wazi ndani ya chama. Walikuwa na mpango wa kuanzisha mtandao wao wa siri ili wakati ukifika wamwondoe mwenyekiti wa sasa wamweke mtu wao MM. Kwa hiyo sikuelewi unaposema yaliyoandikwa yatafutiwe majibu. Hayakuwa ni masuala ambayo waandishi wake walitaka yazungumziwe mbele ya mikutano ya chama. Yalikuwa yafanyiwe kazi kwa siri kubwa ili wakati ukifika mapinduzi yafanyike ndani ya chama. Tumeona jinsi mtandao wa Kikwete ulivyovuruga utawala katika serikali na kuunda makundi ndani ya CCM> Isingekuwa jambo la busara kwa Chadema kuendekeza tabia hiyo.
Hata kama mkulu wangu, sasa kweli ungetaka wasimame na kuanza kuzitoa hizi lawama ktk vikao vya chama kitaeleweka kweli humo ndani?..Hivi kweli umesahau ya Idd Amin na wale wote walosimama kusema makosa yake wazi ktk vikao?. Acha huyo nambie kiongozi yeyote anayekubali kutolewa makosa kama haya ktk kikao cha chama, nchi au shirika na akapona!

Ni lazima watu wajipange kumwengua, iwe kisiasa ama kidemokrasia na huwa siri.. Huwezi kumwonyesha mtu unayetaka kumwengua madaraka kuwa hafai ktk vikao na kama nilvyousoma huu waraka ulilenga Uchaguzi ujuo na sii kupindua uongozi kabla. Na mbona Zitto ameandikwa mapungufu yake na kama sikosei mwandishi ameonyesha kana kwamba Zitto mwenyewe hafahamu kilichoandikwa kuhusu yeye na ubovu wake. Binafsi nimesoma na kurudia kusoma tena inaonyesha Zitto mwenyewe ni chaguo lao na wanajua mapungufu yake ila kawa na uzito mkubwa ktk sifa zake.

Kikao kilichofanyika kilitakiwa kuusoma huo waraka na kutoa majibu dhidi yake na kuonyesha uongozi huu ni bora zaidi ya hizo tuhuma. Mbona siku zote tunamsema JK humu kuna mtu kanyang'anywa Uraia kwa sababu Chadema wana mikakati ya siri dhidi yake? Siri zitaendelea kuwepo kibaya ni pale mtu ametaka kukihujumu chama sio kupingana na uongozi uliopo ili uondoke kwa faida ya chama. Binafsi yangu nimekuwa nikimpitisha Mbowe kwa mafanikio alokwisha yafanya lakini kama hayatoshi basi awapishe halafu tuwaone wao. Mbona JK kila siku tunasema hafai, ni dhaifu wakati yeye hukazania majisifa kwa alokwisha yafanya?.. Pengine Mbowe na Slaa wanaona walokwisha kifanya ni kikubwa zaidi ilihali Chadema bado haiko tayari kuunda serikali ama kuwashawishi wananchi walo wengi kama kinaweza unda serikali. Ni sisi wanaChadema tunaojipa moyo lakini kura hupihwa na wananchi wote, tuache kujisifa bila kuona makalio yetu.
 
Mimi sioni ubaya wa huo mkakati,ulikuwa na lengo la kumuweka mgombea wao wanaemtaka pindi uchaguzi ukifika,mtu akitaka kugombea si lazima ajiandae,au hawaruhusiwi kugombea pindi uchaguzi utakapofika?
 
Mkandara,
Huu waraka ulikuwa ni siri. Waliouandika hawakuwa na lengo la kutafuta ufumbuzi katika vikao wazi ndani ya chama. Walikuwa na mpango wa kuanzisha mtandao wao wa siri ili wakati ukifika wamwondoe mwenyekiti wa sasa wamweke mtu wao MM. Kwa hiyo sikuelewi unaposema yaliyoandikwa yatafutiwe majibu. Hayakuwa ni masuala ambayo waandishi wake walitaka yazungumziwe mbele ya mikutano ya chama. Yalikuwa yafanyiwe kazi kwa siri kubwa ili wakati ukifika mapinduzi yafanyike ndani ya chama. Tumeona jinsi mtandao wa Kikwete ulivyovuruga utawala katika serikali na kuunda makundi ndani ya CCM> Isingekuwa jambo la busara kwa Chadema kuendekeza tabia hiyo.
Jasusi;
Wewe hujamwelewa vizuri Mkandara, sijui kama kweli umesoma alichokiandika au umeamua kujibu tu. Rudia tene kusoma point zake ukishazielewa, wala hutahitaji kutoa majibu kama haya uliyotoa hapa. Rudia tena kusoma point zake na uhakikishe umemwelewa vizuri kabisa
 
Last edited by a moderator:
"Mbona haya yameshatokea CUF,mnamkumbuka Hamad Rashid,Politics is a dirty game "



huyu alikuwa anajaribu kutumia mbinu za kumfanya awe kiongozi lakini kwa kuchaguliwa kidemokrasia, kwahiyo alikuwa akijaribu kuenfluence wawe upande wake, Hamadi Rashidi yeye hakutaka hata huo uchaguzi wenyewe, alichokuwa akikitaka ni kufanya mapinduzi kama ya kijeshi ndo maana aliandaa kundi hatari katika harakati zake za mapinduzi, ambao walijaribu kufanya fujo na kukata baadhi ya wafuasi wa CUF mapanga.
 
Ama kweli Democracy ni imported item,niaghari sana kwetu ni bora na vema tubaki na ngozi yetu
 
Hicho ni chama cha mtu na baba mkwe wake.. wengine stop

Mimi sioni ubaya wa huo mkakati,ulikuwa na lengo la kumuweka mgombea wao wanaemtaka pindi uchaguzi ukifika,mtu akitaka kugombea si lazima ajiandae,au hawaruhusiwi kugombea pindi uchaguzi utakapofika?
 
Kwangu mimi katika misingi huru, ni mara chache kwa mamlaka kutoa uamuzi kama huu bila kuridhika na ushahidi. Na kimsingi kujitetea ni utaratibu wa kawaida ili kuweka kumbukumbu vizuri. Kinachoniuma hapa ni kuwa watu walioaminiwa na kuwa mfano wa kuigwa wako tayari kupotosha ukweli kwa mahitaji binafsi. Ni hapa mshangao wangu unaanzia!

nimemsikia mbowe DW, wote wawili kitila na zitto waliitwa wajitetee, kitila alikubali siyo tuu kuufahamu huo waraka bali kushiriki katika kuuandaa. Wote kwa hiyari yao waliomba kujivua nafasi zao lakini walikataliwa...kwa hiyo kama ni right to be heard walipewa, hakuna uvunjifu wa prinsiples of natural justice, they deserve!
 
Chadema imeshakufa, thats all. Kwenye uchaguzi kunakuwa na kambi, kwann chadema ni dhambi kuwa na kambi na ni dhambi kutofautiana kimawazo na mtizamo?

Tena kifo chenyewe cha mende miguuu juuuuu kwish nei
 
Nadhani hili ndilo la kujadili pamoja na uthibitisho kuwa waraka huu ni wa kweli kutoka kwa mtuhumiwa.Coz kama ni kweli basi kuna haja ya kuunga mkono kwa sababu walikuwa na nia njema na chama. Kama kweli Chadema wamewafukuza hawa kwa hayo hapo juu,Hali ni mbaya coz wenye macho na masikio twaona na kusikia.
Mi napita tu
yaliyoongelewa kwenye waraka huu ni ya kweli..ama kweli Chadema ina wenyewe.
 
Back
Top Bottom