Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Hili zengwe la John Heche akisaidiwa na Mbowe na Dr.Slaa ili agombee ubunge Tarime, wanamtoa kafara Mwita Mwaikabe.
 
Nimerudia kuusoma huo wakala sijaona unakigawa chama wapi. Mtu aniwekee hapa hata para1 inayoonesha hivyo.
 
Hili zengwe la John Heche akisaidiwa na Mbowe na Dr.Slaa ili agombee ubunge Tarime, wanamtoa kafara Mwita Mwaikabe.

Mtatapatapa sana mwaka huu.. tulieni dawa iwaingie..
 
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?

kwa kuwa CCM yanaruhusiwa makundi huwezi kuona.kama walikuwa na malengo mazuri kwa nini wafanyie uvunguni kama Kapuya anabaka katoto.wanatengeneza agenda ya uongozi huku wakiwa na mgombea wao tiyari.hii co CCM
 
Nimerudia kuusoma huo wakala sijaona unakigawa chama wapi. Mtu aniwekee hapa hata para1 inayoonesha hivyo.

Lumumba buku7 kweli hamjielewi... sisi tunaongelea WARAKA wewe unawaza uwakala , sijui wa M-pesa au nini sijui. Mnastahili pole kwa kweli.
 
jiandae kuhama,,,chadema iko imara,,,,mungu ibariki chadema na viongozi wakeeee.

Njano5,

Siku hizi umebadilika sana .Hongera sana tuendeleze mapambano dhidi ya CCM na wasaidizi wao
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umesahau na UDP ya Cheyo pamoja na DP ya Mtikila tokea nimezaliwa wote hao walikuwa ni wenyeviti wa vyama vyao lakini CDM tokea imeanza nimesikia mzee Mtei, Bob Makani na sasa Mbowe sasa ni wapi penye demokrasia?

Sikusahau Kamanda ila nilijuwa kuna watu wenye kumbukumbu sahihi km wewe ambao mtataja! Labda tuwaulize kina Ritz ni kwanini Demokrasia wanaitaja tu CDM na sio CCM!?
Je kuna mwaka CCM iliwahi kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wa Taifa au ni mimi ndio sikumbuki kwamba waliwahi kufanya.
Na km hawakufanya wanahofia nini wasifanye badala yake wanarithishana?
 
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?
Siunajuwa misukule mingi elimu ndogo,kama kiswahili tu watafsiri wanavyotaka wao je ingekua lugha ya Majahazi,au awajosoma waraka,pale umeandikwa mkakati wa kuifanya chadema kiwe chama upinzani sio Saccos
 
Sijaona mahala katika waraka wa Mkumbo panapoonesha anataka kuigawa chadema. Hivi maana ya demokrasia ni kuhodhi madaraka maisha?

Ni kwasababu macho yako yana mboni ya ki-ccm, unataka cdm iwe na makundi kama yaliyo ndani ya ccm, kumbuka hii ni cdm na kamwe haitageuka ccm.
 
ndugu wana jf,pamoja na kunaswa kwa ule waraka uliokuwa umeandaliwa kwa lengo la kukigawa na kukipasua chama cha cdm, jana mjumbe wa mkutano mkuu kitila mkumbo alikiri kuuwandaa yeye na wenzake,lakini hakumtaja mtu mmoja anaetuhumiwa kushiriki nae ktk kuandaa mkakati huo aliejulikana kwa jina la mm2.

Habari za uhakika ni kwamba mtu huyo au msaliti huyo anaedaiwa kutumia jina la mm2 na anaefanya kazi makao makuu ya cdm na ambae inadaiwa ndie amekuwa akivujisha siri za chama sio mwingine bali ni mwita mwaikabe waitara!

Habari hizi ni za kweli na muda sio mrefu ataanikwa wazi ili kumaliza habari za tetesi!
Ikumbukwe kwamba ndg waitara anategemea kugombea ubunge jimbo la tarime kwa mara ya 2 baada ya kushindwa ktk uchaguzi wa 2010!

Nawasilisha.

chama kimeunda tume ya kufanya uchunguzi,,,tuache maneno na kiherehere,,,tusubiri matokeo ya uchunguzi.
 
Sikusahau Kamanda ila nilijuwa kuna watu wenye kumbukumbu sahihi km wewe ambao mtataja! Labda tuwaulize kina Ritz ni kwanini Demokrasia wanaitaja tu CDM na sio CCM!?
Je kuna mwaka CCM iliwahi kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wa Taifa au ni mimi ndio sikumbuki kwamba waliwahi kufanya.
Na km hawakufanya wanahofia nini wasifanye badala yake wanarithishana?

Nyerere,Mwinyi,JK
 
Back
Top Bottom