Waraka wa Kanisa Katoliki na Nafasi ya Kanisa Tanzania, Tutarajie...!

Waraka wa Kanisa Katoliki na Nafasi ya Kanisa Tanzania, Tutarajie...!

Kanisa lijinasue kwenye kashfa ya viongozi wake kunajisi watoto mahali popote palipotolewa kashfa hizo.

Hilo ndo jukumu namba moja la kiroho.
 
Kanisa lijinasue kwenye kashfa ya viongozi wake kunajisi watoto mahali popote palipotolewa kashfa hizo.

Hilo ndo jukumu namba moja la kiroho.
Unajisi haufanywi na viongozi wa Kanisa Katoliki pekee. Hiyo ni jinai inayohusu jamii nzima. Hivyo yeyote yule anaweza kufanya, na sheria kufuata mkondo wake.
 
Unajisi haufanywi na viongozi wa Kanisa Katoliki pekee. Hiyo ni jinai inayohusu jamii nzima. Hivyo yeyote yule anaweza kufanya, na sheria kufuata mkondo wake.
Wajikite huko majuzi Kiongozi wao alikuwa Portugal vijana baada ya kuona unyanyasaji wa kingono wamelisusa kanisa na sasa Kiongozi alienda kujaribu kuleta fikra chanya ila bado kashfa hizi hazijaliacha salama kanisa.
 
Wajikite huko majuzi Kiongozi wao alikuwa Portugal vijana baada ya kuona unyanyasaji wa kingono wamelisusa kanisa na sasa Kiongozi alienda kujaribu kuleta fikra chanya ila bado kashfa hizi hazijaliacha salama kanisa.
Tuongelee bandari kwanza
 
Wajikite huko majuzi Kiongozi wao alikuwa Portugal vijana baada ya kuona unyanyasaji wa kingono wamelisusa kanisa na sasa Kiongozi alienda kujaribu kuleta fikra chanya ila bado kashfa hizi hazijaliacha salama kanisa.
Kanisa Katoliki lina wajibu pia wa kuwakemea nyinyi akina Chifu Mangungo, mnaouza raslimali za Taifa kwa wageni.

Kama ni kuhusu kashafa za unajisi, hata baadhi ya walimu wenu wa madrasa wanawadhulumu wanafunzi wao kila siku.
 
Miamba hiyo hapo
 

Attachments

  • Screenshot_20230824-120016_1.jpg
    Screenshot_20230824-120016_1.jpg
    35.3 KB · Views: 1
Kanisa Katoliki lina wajibu pia wa kuwakemea nyinyi akina Chifu Mangungo, mnaouza raslimali za Taifa kwa wageni.

Kama ni kuhusu kashafa za unajisi, hata baadhi ya walimu wenu wa madrasa wanawadhulumu wanafunzi wao kila siku.
Unatoa wapi hiyo moral authority wakati unawafania molestation vitoto vidogo?
 
Sasa Je ! Katika Hizo Wanazosemaga Siri-kali Za Serikali Hakuna Huo Utambulisho Wa Kuonyesha Kuwa Tanganyika Ipo Chini Ya Katoliki Ili Kila Kiongozi Mjuu Akiingia Ajue Na Kuobey Makubaliano Ya Kanisa Na Waasisi Wa Nchi ? Na Usipofuata Makubaliano Na Mwongozo Wa Katoliki Kuna Disadv Gani?

Ni Vema Tujue Hilo,Hili Mama Asipotekeleza Maoni Ya Waraka Wa Maaskofu Wa Katoliki TEC Tujue Kabisa Amekiuka Makusudi Au La Hajui,na Kama Kuna Hasara Yoyote Kama Nchi Tutaipata Tusipofuata Makubaliano Yetu Na Vatican.
Ulizia historia ya mvutano kati ya jozee kabila na kanisa mama katoliki huko drc
 
Kuwepo kwa hilo mwanzoni tu kumeharibu. Ungetafuta namna ukadecrare mwishoni hilo ingekuwa poa sana. We ni mwandishi mzuri sana ungeweza tu.
Amejipambanua kuwa yeye ni wa timu fulani ! Kwahiyo wale wa timu ile fulani nyingine sidhani kama wataukubali uchambuzi wake !! Nchi hii kwa sasa kila kitu ni kama Simba na Yanga !!
Mpaka baadhi ya wachambuzi wamo 😅😅🙏🙏
 
Back
Top Bottom