Waraka wa Kanisa Katoliki na Nafasi ya Kanisa Tanzania, Tutarajie...!

Yericko Nyerere : Lowasa ni fisadi


Yericko Nyerere : Lowasa achaguliwe kuwa rais wa Tanzania
?? proof by contradiction haitoshelezi kila pahala. Logic itadai corollary kama base. Iko hivi, lwa vile UFISADI unalekea kuwa ni jadi kwenye tawala zetu hizi za jamhuri ya madizi, kuna fisadi ahueni kuliko wenzao katika nyakati flani. Mkuu, tuweke list ya mafisadi walokua wanachuana kipindi kile LOL, alafu tuambie kati ya yule alohamishia HAZINA kijijini kwao na EL yupi bora. Corollary hiyo
 
kanisa liliwapingaje wakolon wakati kanisa ni moja ya vitangulizi vya ukoloni?
Katoliki na Anglican na Lutheran hawaivi

Wakoloni waliotutawala ni wajerumani ambao walikuwa warutheli wao wao walikuwa wakiandaa waafrika warutheli kushika nchi baadaye wakakabidhiwa waingereza baada ya mjerumani kutolewa vita kuu ya dunia.Tukakabidhiwa kwa Waingereza wa Anglikana. Nao walikuwa na watu wao waliwaandaa kama Oscar Kambona mu Anglicana ambaye baada ya kuona mbinu zao zimeshindwa waingereza wakataka kumtumia apindue nchi kupitia jeshi lao la King African Rifles Jaribio lilliloshindwa.Kambona akatimukia Uingereza kwa waangkikana wenzie waliomtuma kupindua

Lakini katoliki wako vizuri .makundi yote hayakufua dafu wakakuta Nyerere huyo kaibuka

Catholics sio watu wa kubeza beza kienyeji tu Huandaa viongozi hata wawe waislamu uzuri hawabagui mtu wakiona anafaa wanaanza processs ya kumuandaa kwa njia wanaxojua wenyewe
 
🤣🤣🤣🤣
M/Mungu atatusaidia tutavuka salama, bado tuwamoja mno!
 
Huwezi kupata mwanga wowote kk utoka kwake kwa sababu story zake zote zipo twisted kuonyesha kuwa uhuru wa nchi hii walipiagania watu wa dini yake tuu hivyo yupo biased
Hapana, siyo kweli.

Mohamed Said kaandika historia Uhuru kama ilivyo.

Sema huamini tu kuwa makanisa hayakuunga mkono wapigania Uhuru.

Wewe si uandike uoneshe ya wazee wako? Mohamed Said kaandika ya wazee wake.

Mjadala wa historia ya Mohamed Said ndiyo ulifanya mpaka mleta mada abambwe uongo wake wa kujifanya yeye "mtoto wa nyerere".

Aliumbuka sana.
 
Naomba nijuze kwanza je kuna uhusiano wowote wa wamisionari na wafanyabiashara Kama mawakala wakuu wa mwanzo kabisa wa ukoloni?

Ndugu mchambuzi Yericko?
 
Mohamed Saidi ukweli hujitahidi sana kuandika historia ila yuko biased kuna kitu anachosahau .Kwenye uhuru wa Tanganyika na mivutano ya kidini ya nani ashike dola baaada ya mkoloni kuondoka kati ya waislamu, warutheli wa Anglikana na wakatoliki

Kila kundi lilipanga safu mwisho wa siku wakatoliki na Nyerere wakaibuka washindi

Ndio maana baada ya uhuru makundi mengine hayakuridhika sana akiwemo Bibi Titi Mohamed muislamu aliungana na muanglikana Oscar Kambona kutaka kupindua serikali ya Nyerere i na warutheli wa kilimanjaro chini ya Chief Mareale walienda umoja wa mataifa kupinga Tanganyika isipate uhuru. Kwa hasira

Dini wakati ule kila moja ilitumia mgongo wa dini yao kushika nchi.Wakavutana ndani huko wee Katoliki akaibuka mshindi

Mohamed Said yeye huandika kwa kuegemea tu upande wa uislamu tu !! Hayuko balanced Ile struggle ya nani ashike ilikuwa struggle ya kila dini kutaka mtu wao.ashike wa dini yao mkoloni Akiondoka
 
Mbona hiyo safari ya 5 march mwaka wa 55 kwenda UNO kuna mzee mmoja ana post zake humu anasema hiyo hela ya go n return ilitoka kwa wajomba zake hapo Kariakoo Gerezani?

Ujue haya mambo yanachanganya sana!
Huenda mwamba nyerere alivuta mkwanja huku na huku
 
Tusubiri Mzee Mohamed Said atuwekee mambo sawa katika hili !!
 
Taasisi linapokuwa kubwa na mambo yanakuwa mengi. Watu billion 2 chini ya kiongozi mmoja na matawi dunia nzima. Waraka umepiga penyewe
Hio sio excuse kama tunaishi maisha aliyoishi Kristo na Mitume wake tutaongozwa na kweli,lakini kweli kama haipo kwa wanaosema ni viongozi wetu hapo tunapata mashaka.

Usishangae mtu atakiwi kuoa lakini huko mtaani anazini na wanawake hata 6 na ana watoto pia akifikiri anamficha Mungu. Kubwa kuzidi ni molestation ya vitoto vidogo.

Kanisa litoe boriti ndio lione kibanzi kwa wengine.
 
Chambua kilichoandikwa ndani ya waraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…