Waraka wa Maaskofu Katoliki kuhusu uwekezaji Bandarini wasomwa kanisani

Waraka wa Maaskofu Katoliki kuhusu uwekezaji Bandarini wasomwa kanisani

Kwa kweli kutokea kanisani kwetu, Parokia ya Mwenyeheri Isdory Bakanja, Boko, Dar-es-sallam, Mkataba tumesomewa na tumeuelewa sana, makofi na vifijo vilipigwa kwa wingi sana. Hongereni sana waheshimiwa ma-Baba Askofu wetu, kazi nzuri sana.
Mimi kama muislam nawaunga mkono maaskofu kwan waraka wao uko against rushwa na ufisadi
 
Mkitoka kuusoma kanisani uleteni na mtaani maana waumini wenu wengi hawaji kanisani kutokana na michango mingi.

Padri akitaka gari mnawachangisha waumini zenu.
Muumini akitaka gari mnamuombea.

Chululu zenu.
Umazungumzia kanisa katoliki au unamfikishia ujumbe Gwajima?
 
Serikali kubalini tu kwamba dude hilo la mkataba wa Dp world halitakiwi[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]View attachment 2722597
Jamaa kama anasoma injili vile, kumbe anapiga supana😅😅
 
Nchi ni mali ya hao walevi na wazinzi waliojificha kwenye majoho? Wakati Magufuli mkatoliki mwenzao waliona sawa siyo? Hizo nyaraka zao hazijaanza leo na hakuna waraka hata moja ulioisumbua serikali. Hao nyau tu wamejaa ubaguzi wa kidini. Kanisa katoliki ni kundi dogo tu kunq makqnisa mengi na bado waislamu ambao inqwezekana ni zaidi ya nusu ya watanzania.
Kichwa chako kinauwezo wa kutunza kumbukumbu sawasawa? Hukumbuki walaka wowote wa TEC kwa JPM?
 
Wameanza uchochezi km walivyofanya Rwanda siyo? Waambie serikali iko makini uvumilivu ukiwashinda hawataangalia hizo joho zao, wana hamu ya kunyea ndoo.
Alisikika mlevi mmoja wa komoni akitamka haya.

Nb:
Ila vijiji vyote Tz kwa sasa vinajua Kuna dude linaitwa dp world.
 
Wameanza uchochezi km walivyofanya Rwanda siyo? Waambie serikali iko makini uvumilivu ukiwashinda hawataangalia hizo joho zao, wana hamu ya kunyea ndoo.
Haya twambie. Serikali yako itafanya nini? Kwanza kwa umakini upi? Wala rushwa wakubwa.
 
We ni poyoyo tu hujui unaloandika.
Pesa ya Roman Catholic iliyoko World bank na IMF Ni zaidi ya 85% .Roman Catholic/Vatcan inamiliki uchumi wa dunia hii.

Na kwa taarifa yako dunia inaongozwa kupitia miji mitatu.

1. Vatcan hapa ndipo falsafa ya kuongoza dunia inatokea, chimbuko la maaamuzi yote ya kisiasa ya kiutawala dunia

2.London hapa ndiyo financial base ilipo.. maamuzi yote kiuchumi hufanyika hapa yanaanzia hapa.

3.Washington hapa Ni Military base, maamuzi ya Vita yyte yanaanzia hapa..

Watu wanapoandika humu, vingine jaribu kusoma, ujifunze na kuelewa. Watu wanaandika Mambo Wana uhakika nayo na Wana uelewa kwayo.
 
Nchi ni mali ya hao walevi na wazinzi waliojificha kwenye majoho? Wakati Magufuli mkatoliki mwenzao waliona sawa siyo? Hizo nyaraka zao hazijaanza leo na hakuna waraka hata moja ulioisumbua serikali. Hao nyau tu wamejaa ubaguzi wa kidini. Kanisa katoliki ni kundi dogo tu kunq makqnisa mengi na bado waislamu ambao inqwezekana ni zaidi ya nusu ya watanzania.
Nani alikudanganya waislamu Ni nusu ya Watanzania.

Kwahiyo hapa ndiyo umekuja kuelimisha mazuri ya mkataba wa bandari.

Akili nzuri huwa zinajadili huo waraka kuona Ni Nini kilichopo kina ukweli kiasi gani.

Mm Ni mkristo lkn leo Bakwata wakitoa waraka nitajitahid niupate niusome nijiridhishe na siyo kuhemka na udini.

Tafuta hoja kwenye waraka. Hii ndiyo akili.

Usomi siyo lazima uwe na madigrii au ufike chuo kikuu, usomi Ni jinsi unavyoyatawala mazingira yako.

Akili ndogo!
 
Sasa ndio Samia anapaswa kuelewa nchi sio mali yake na
"Msoga Gang"
Nchi hii ni mali ya watanzania.....

Na ahakikishe ndege yetu imerudishwa na waziteme hizo pesa za DP-WORLD.
We nani!? Au unajifurahisha tu
 
Sasa ule ubovu wa mkataba ndio unaenda kufahamika mpaka vijijini.

Ujinga wa Samia umekuwa mzigo mzito kwa CCM.
Ujinga unao wewe.
Samia anakula bata na huna la kumfanya
 
labda useme islam ninusu yawakatholiki ila watz uongo babu vjj vingi sana havina hata muislam mmoja ila sizani kama kuna kjj hakina kanisa
Mfano mdogo meru yote juu kule kuanzia singisi, poli, akeri, nkoaranga, nkoakirika, ushili, ndoombo, mpka kule songoro no mosque no Muslim. Nilisoma primary wanafunz wote shule nzima hmn muslm ata mmoja
 
Mimi kama muumini mzuri wa kanisa katoliki ninayeamini katika kanisa la kisinoni Ushirika, Ushiriki na Umisionari siamni katika matamko ya kanisa kwa masuala ya kisiasa.

Kanisa haliwezi kuwa ndio muongozo wa namna gani serikali itende na kutekeleza wajibu wake. Tukiendekeza haya ipo siku serikali haitafanya lolote mpaka kanisa litoe kauli.

Bahati mbaya sana baraza la maaskofu katoliki nchini limekuwa biased kila inapotokea nchi inayoongozwa na Rais Muislamu.

Rais Mkapa aliingia mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa viwanja vya ndege na kampuni ya Swissport TEC haikutoa tamko, Rais Magufuli aliiongezea mkataba kampuni ya TICTS kuendesha bandari ya Dar es Salaam TEC haikusema neno...

Awamu ya 5 ya Rais Magufuli ndio kipindi kigumu ambacho utawala wa sheria na misingi ya demokrasia ilinyongwa hata kupelekea baadhi ya watu kuishi uhamishoni, wengine kupotea mpaka leo, CAG kung'olewa ofisini baada ya kubaini upotevu wa takribani shilingi trilioni moja nk TEC hawakutoa neno

Tuliwasikia TEC wakidai serikali tatu kupitia rasimu ya katiba ya Jaji Warioba....hatukuwahi kuwasikia TEC wakihoji maaskofu wao waliopata mgao wa escrow na benki yao kutumika kupitishia fedha za ufisadi benki ya mkombozi ambayo ni mali ya kanisa katoliki.

Hatujawahi kuwasikia TEC wakitoa tamko kuhusu mapadre wanaozaa na waumini na wanaowalawiti watoto nk

Nasema hivi Tanzania haiwezi kuendeshwa na matamko ya kanisa. Tunaheshimu maoni yao lakini sio ithibati kwamba lazima yafuatwe wachape injili kama wanataka siasa Wasajili chama cha siasa au wavue majoho na kujiunga na siasa sio kutumika.
 
Waarabu koko mtajiita majina ya kila aina mwaka huu. Ila sisi wazee wa Cuba tunatambua fika chanzo cha haya yote ni hilo tamko la TEC.
 
Nchi haitokuwa na watu hawa ambao wanaume hatawaki kuoa 😅😅ila waangalia porno za computers kanisa.
 
Back
Top Bottom