Mimi kama muislam nawaunga mkono maaskofu kwan waraka wao uko against rushwa na ufisadiKwa kweli kutokea kanisani kwetu, Parokia ya Mwenyeheri Isdory Bakanja, Boko, Dar-es-sallam, Mkataba tumesomewa na tumeuelewa sana, makofi na vifijo vilipigwa kwa wingi sana. Hongereni sana waheshimiwa ma-Baba Askofu wetu, kazi nzuri sana.
Namuona Rango akitoa macho kama Ndubwi 🤣 haamini anachokiona kmmmk dah!Tulia na yeye alikuwepo
Umazungumzia kanisa katoliki au unamfikishia ujumbe Gwajima?Mkitoka kuusoma kanisani uleteni na mtaani maana waumini wenu wengi hawaji kanisani kutokana na michango mingi.
Padri akitaka gari mnawachangisha waumini zenu.
Muumini akitaka gari mnamuombea.
Chululu zenu.
Spana namba 23 🤣🤣🤣
Chanzo cha habari kilichiripoti tukio hilo sikuu hii ya leo kabisa tena siku tukufu ni gazeti la mwananchi, watu wamesikiliza kwa makini waraka huo na kuelewa nini kinaendelea nchini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2722571
Jamaa kama anasoma injili vile, kumbe anapiga supana😅😅Serikali kubalini tu kwamba dude hilo la mkataba wa Dp world halitakiwi[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]View attachment 2722597
Kichwa chako kinauwezo wa kutunza kumbukumbu sawasawa? Hukumbuki walaka wowote wa TEC kwa JPM?Nchi ni mali ya hao walevi na wazinzi waliojificha kwenye majoho? Wakati Magufuli mkatoliki mwenzao waliona sawa siyo? Hizo nyaraka zao hazijaanza leo na hakuna waraka hata moja ulioisumbua serikali. Hao nyau tu wamejaa ubaguzi wa kidini. Kanisa katoliki ni kundi dogo tu kunq makqnisa mengi na bado waislamu ambao inqwezekana ni zaidi ya nusu ya watanzania.
Alisikika mlevi mmoja wa komoni akitamka haya.Wameanza uchochezi km walivyofanya Rwanda siyo? Waambie serikali iko makini uvumilivu ukiwashinda hawataangalia hizo joho zao, wana hamu ya kunyea ndoo.
Haya twambie. Serikali yako itafanya nini? Kwanza kwa umakini upi? Wala rushwa wakubwa.Wameanza uchochezi km walivyofanya Rwanda siyo? Waambie serikali iko makini uvumilivu ukiwashinda hawataangalia hizo joho zao, wana hamu ya kunyea ndoo.
Pesa ya Roman Catholic iliyoko World bank na IMF Ni zaidi ya 85% .Roman Catholic/Vatcan inamiliki uchumi wa dunia hii.We ni poyoyo tu hujui unaloandika.
Nani alikudanganya waislamu Ni nusu ya Watanzania.Nchi ni mali ya hao walevi na wazinzi waliojificha kwenye majoho? Wakati Magufuli mkatoliki mwenzao waliona sawa siyo? Hizo nyaraka zao hazijaanza leo na hakuna waraka hata moja ulioisumbua serikali. Hao nyau tu wamejaa ubaguzi wa kidini. Kanisa katoliki ni kundi dogo tu kunq makqnisa mengi na bado waislamu ambao inqwezekana ni zaidi ya nusu ya watanzania.
Huyu alishakula fungu lake, ndiyo maana ankomalia mkataba Hadi anakakukiwa.
He!Kila Jumuiya tunaomba ipatatiwe nakala. Usomwe kwa miezi 6.
We nani!? Au unajifurahisha tuSasa ndio Samia anapaswa kuelewa nchi sio mali yake na
"Msoga Gang"
Nchi hii ni mali ya watanzania.....
Na ahakikishe ndege yetu imerudishwa na waziteme hizo pesa za DP-WORLD.
Ujinga unao wewe.Sasa ule ubovu wa mkataba ndio unaenda kufahamika mpaka vijijini.
Ujinga wa Samia umekuwa mzigo mzito kwa CCM.
Ndo washaingiaSerikali kubalini tu kwamba dude hilo la mkataba wa Dp world halitakiwi[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]View attachment 2722597
Mfano mdogo meru yote juu kule kuanzia singisi, poli, akeri, nkoaranga, nkoakirika, ushili, ndoombo, mpka kule songoro no mosque no Muslim. Nilisoma primary wanafunz wote shule nzima hmn muslm ata mmojalabda useme islam ninusu yawakatholiki ila watz uongo babu vjj vingi sana havina hata muislam mmoja ila sizani kama kuna kjj hakina kanisa