Naunga mkono hoja.TEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"
Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?
Watoe
Mungu ni mwema wakati Wote!
dini za mifukoni mwa watu, akishikwa mwenye dini yake .. imeisha hiyo lazima aunge mkono juhudiWaweze wapi
Ova
Naunga mkono hoja.TEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"
Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?
Watoe
Mungu ni mwema wakati Wote!
Mimi ni mwislam tunakubalia kwa asilimia [emoji817]Nilivyoelewa mimi ule waraka haukuwa kwa ajili ya watu wa dini fulani ule ulikuwa ni kwa ajili ya kuwaamsha Watanzania wote waliolala kama wakawa ni waislam Buddhist au atheist alimradi wawe wamekubali kuwaza nje ya maboksi ya siasa au dini zao.
Ila walioutoa wao ndiyo wana dini ila haukuwa na matakwa ya kidini as long as hii nchi ni yetu sote rasilimali zikiibiwa hasara hatupati kwa sababu ya dini zetu.
Wengine hata kuusoma hawajausoma lakini wanaupinga ili mradi tu kuwapendezesha watawalaTEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"
Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?
Watoe
Mungu ni mwema wakati Wote!
Mimi la kwangu ni kuwaombea ulinzi wa Mungu maaskofu wa TEC..Tuwe Wakweli Huu Waraka wa TEC umejadiliwa pote pote iwe Hadharani au Sirini
Tumewasikia Ndugu zetu Walokole akina Lusekelo, Ndugu zetu Wasabato, Ndugu zetu wa Radio Imaan nk..nk
Labda sasa tuitishe Kikao cha Mjadala wa Katibu mkuu wa TEC Padre Dr Kitima na Msemaji wa DP World Dr Kitenge watufanyie Majumuisho na kuhitimisha
Nawasilisha 😄
Hao wajinga achana nao ndiyo maana huwezi kuona Padre au Askofu ana hangaika nao kuwajibuNaona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Kitenge ni muuza ganda lazima ajifiche ndani ya CCMSasa Kitenge anajua nini zaidi ya uchawa ?!.
Tec wameainisha mapungufu ya mkataba. Kitenge atakuambia nini ?!
Hii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais
Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025
Byebye Samia
Sasa kwani wamesoma hata kilichomo?[emoji23]Wanauliza shida Nini? Hawajui wapi shida ipo!
Walokole tuweke kundi lao MkuuTuwe Wakweli Huu Waraka wa TEC umejadiliwa pote pote iwe Hadharani au Sirini
Tumewasikia Ndugu zetu Walokole akina Lusekelo, Ndugu zetu Wasabato, Ndugu zetu wa Radio Imaan nk..nk
Labda sasa tuitishe Kikao cha Mjadala wa Katibu mkuu wa TEC Padre Dr Kitima na Msemaji wa DP World Dr Kitenge watufanyie Majumuisho na kuhitimisha
Nawasilisha [emoji1]