TEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"

Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?

Watoe

Mungu ni mwema wakati Wote!
Naunga mkono hoja.
Naam, watoe wao ili tuone unavyochambua mkataba wa bandari.
 
TEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"

Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?

Watoe

Mungu ni mwema wakati Wote!
Naunga mkono hoja.
Naam, watoe wao ili tuone unavyochambua mkataba wa bandari.
 
Kupingana na ukweli ni kazi sana,

wanachoweza kufanya labda ni kutoa waraka wa kuunga mkono waraka wa TEC.
 
Mimi ni mwislam tunakubalia kwa asilimia [emoji817]
Na huo waraka ule sio waraka wa kikiristu na hawapigianii dini wanapigania maslahi ya kiuchumia kwa watanzania wote
 
TEC wameshatoa yao ya moyoni na hayatabadilika kwa mujibu wa kanuni ya Pontio Pilato " Niliyoandika Nimeyaandika"

Sasa zile Dini zinazopinga Waraka wa Katoliki nani amewakataza na Wao kutoa Waraka?

Watoe

Mungu ni mwema wakati Wote!
Wengine hata kuusoma hawajausoma lakini wanaupinga ili mradi tu kuwapendezesha watawala
 
Tunatetewa halafu kuna baadhi wanajikomba kwa watawala
 
Tuwe Wakweli Huu Waraka wa TEC umejadiliwa pote pote iwe Hadharani au Sirini

Tumewasikia Ndugu zetu Walokole akina Lusekelo, Ndugu zetu Wasabato, Ndugu zetu wa Radio Imaan nk..nk

Labda sasa tuitishe Kikao cha Mjadala wa Katibu mkuu wa TEC Padre Dr Kitima na Msemaji wa DP World Dr Kitenge watufanyie Majumuisho na kuhitimisha

Nawasilisha 😄
 
Mimi la kwangu ni kuwaombea ulinzi wa Mungu maaskofu wa TEC..

Wamenifungua macho kuona nani ni nani kwenye safari ya Kaanani
 
Hao wajinga achana nao ndiyo maana huwezi kuona Padre au Askofu ana hangaika nao kuwajibu
 
Hii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais

Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025

Byebye Samia

Ila mimi ningekuwa samia ningekuwa mjanja kwa kujifanya nimeona walaka wa TEC na nimeupokea kuondoa mgawanyo wa kidini badala ya kuruhusu chawa wake kuushambulia
Angeukubali kinafiki ili kutuliza joto mbona haya mambo wanayakuza wao wenyewe
 
Kwanza wamejadili huo mkataba ama wanapiga porojo tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute hata hawajausoma


TEC wapo kunyoosha vilaza wote[emoji1787]
 
Walokole tuweke kundi lao Mkuu
Hatupo kundi la huyo mlevi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…