Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.[emoji23]Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Duh hawa jamaa aiseeee! Wanasema tamko linajichanganya lenyewe
Nani owner wa hiyo TV station?.Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
CCM maybeNani owner wa hiyo TV station?.
Au BAKWATA CCM B?CCM maybe
Mapendekezo mbona wameshatoa! Wamesema mkataba huo ni wa kuachana nao kisha jambo hilo lianzishwe upya.Kidogo hapo wana hoja "TEC watoe mapendekezo". Lakini je, na wao katika hiko kipindi wamekuja na mapendekezo au wanaunga mkono huo mkataba wa kimangungo?
Mind you mimi siamini dini yoyote ile.
Elimu inafuta ujinga. Elimu inakusaidia ujibu hoja kwa hoja. Km ulisoma ukafika chuo utaelewa lzm uandike reference.
Hata ukiulizwa computer ni nini, huwezi kujibu kidarasa la saba.
Muhamad ni malaika? Mbona alikuwa hajui kusoma na kuandika na alimuoa Aisha mwenye miaka 9 na mnabuadu?
Hayo mapendekezo si watoe wao, kwani wamekatazwa?Wanasema Tamko limekaa vibaya! Tamko linafitisha watu! Wanasema TEC watoe mapendekezo
Tatizo shuleHayo mapendekezo si watoe wao, kwani wamekatazwa?
Elimu ni pana sana. Kuwa na degree au phd haimaanishi kwamba wewe una elimu ya mambo yote.Hawa elimu 0% , TEC ( Phd)
Tujiandae Mafioso wa Vatican wameguswa, utaratibu aliondoka nao Maembe ndiyo utaanza rasmi.Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
NAKUUNGA MKONO KWA 100%. KAMA KWERI KUNA NIA NJEMA KWANINI MCHAKATO USIANZE UPYA MAANA WENYE NCHI TUMEUKATAA HUU MKATABA.Mapendekezo mbona wameshatoa! Wamesema mkataba huo ni wa kuachana nao kisha jambo hilo lianzishwe upya.
Na ukiangalia damage ishakuwa kubwa na haiponyeki. Watangaze tenda ya ushindani tuu
Wote wajinga wajinga tu naweza sema ni CCM wa Kiroho.Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Uwezi kukuta mkristo akiongelea uislam kama hajachokozwa........lakini muislam muda wote uongelea ukristo kama sehemu ya kukuza uislam wake......samahani kama nakukwaza .....mjumbe auwawiSiyo jambo jema kudharau dini. Futa posti yako.