Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.[emoji23]
 
Duh hawa jamaa aiseeee! Wanasema tamko linajichanganya lenyewe
34667cceed53adeab12c3a81a3637fdd.jpg
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Nani owner wa hiyo TV station?.
 
Kidogo hapo wana hoja "TEC watoe mapendekezo". Lakini je, na wao katika hiko kipindi wamekuja na mapendekezo au wanaunga mkono huo mkataba wa kimangungo?

Mind you mimi siamini dini yoyote ile.
Mapendekezo mbona wameshatoa! Wamesema mkataba huo ni wa kuachana nao kisha jambo hilo lianzishwe upya.
Na ukiangalia damage ishakuwa kubwa na haiponyeki. Watangaze tenda ya ushindani tuu
 
Elimu inafuta ujinga. Elimu inakusaidia ujibu hoja kwa hoja. Km ulisoma ukafika chuo utaelewa lzm uandike reference.
Hata ukiulizwa computer ni nini, huwezi kujibu kidarasa la saba.
Muhamad ni malaika? Mbona alikuwa hajui kusoma na kuandika na alimuoa Aisha mwenye miaka 9 na mnabuadu?

Mkuu,
Kuna watu hawawezi kubali dini yake kuwa criticized sababu walishakuwa indoctrinated kwamba hiyo ni blasphemy ( kufuru).

Lakini pia tusitukane imani za upande wowote ule. Tujadili kwa staha.
 
Hawa elimu 0% , TEC ( Phd)
Elimu ni pana sana. Kuwa na degree au phd haimaanishi kwamba wewe una elimu ya mambo yote.
Hasa hizi phd uchwara ndo hamna kitu zaidi ya kubwabwaja.
Mvuvi, Mkulima, Mfugaji, nk hawa pia wana elimu zao ambazo wewe mwenye phd hauna hiyo elimu.
 
mimi kwa hapa tulipofikia naona JWTZ, police wakae pembeni alafu zipigwe mchana kweupe kila mtu akisaidiwa na master wake(arabs&whites), mshindi ajulikane na makelele yaishe maana chuki ilianza taratibu sana kipindi cha mkwere na sasa imerudi tena kwa kasi ya ajabu sasa lazima tupate muarobaini.Tuzipige tu hakuna namna
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Tujiandae Mafioso wa Vatican wameguswa, utaratibu aliondoka nao Maembe ndiyo utaanza rasmi.
Tukumbe hawa Wajumbe wa TEC mwezi uliopita waliitwa na Papa kule Vatican,kilichojadiliwa hatujui!
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Wote wajinga wajinga tu naweza sema ni CCM wa Kiroho.

Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom