Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
Kama ningekuwa nafahamu hiyo taasisi ya BAKWATA haswa viongozi wake ningewafuata nikawashauri wasijaribu kutoa tamko lolote kwa vile hii nchi sio ya kiislamu wala wasiingize udini maana itakuwa mbaya na kuleta uvunjifu ya amani.

Waislamu tuna sheria zetu na hazifungamani na mambo haya kikubwa amani na tuna uhuru wa kuabdu.
 
Tatizo ni kwamba marais wasio wazalendo huwa wamenyooka kutumikia wananchi hakuna kuuza nchi km samia na kikwete wanavyotaka kufanya
 
Tatizo hamjui kusoma!

هُوَ الَّذِي بَعَثَ فِي الْأُمِّيِّينَ رَسُولًا مِّنْهُمْ يَتْلُو عَلَيْهِمْ آيَاتِهِ وَيُزَكِّيهِمْ وَيُعَلِّمُهُمُ الْكِتَابَ وَالْحِكْمَةَ وَإِن كَانُوا مِن قَبْلُ لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ

[ AL - JUMUA' - 2 ]
Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri.
 
Kwa yanayoendelea najua wengi hasa wakristo wanasikilizia waislamu watasema nini baada ya wakristo kutoa waraka wao,

Sasa niwakumbushe tu kwamba si muislamu mmoja mmoja wala taasisi ya bakwata ambayo itaiamrisha serikali, zaidi zaidi watatoa ushauri na kusisitiza amani,
Mara zote waislamu wakisema lolote kuhusu inchi yao basi huambiwa wanachanganya dini na siasa,
Sasa ile athari imewaathiri, pia ni waungwana, wanyenyekevu hawapendi vita wala fujo kama wengine
Kwa hivyo tusitarajie mapya kwa kuwa mipango yao huwa HADHARANI HATA KABLA HAWAJATOKA KIKAONI,

Waislm shtukeni sasa
Sikiliza huu waraka halafu uniambie dosari zake


View: https://youtu.be/cTmfQqT1jGY
 
Kwa yanayoendelea najua wengi hasa wakristo wanasikilizia waislamu watasema nini baada ya wakristo kutoa waraka wao,

Sasa niwakumbushe tu kwamba si muislamu mmoja mmoja wala taasisi ya bakwata ambayo itaiamrisha serikali, zaidi zaidi watatoa ushauri na kusisitiza amani,
Mara zote waislamu wakisema lolote kuhusu inchi yao basi huambiwa wanachanganya dini na siasa,
Sasa ile athari imewaathiri, pia ni waungwana, wanyenyekevu hawapendi vita wala fujo kama wengine
Kwa hivyo tusitarajie mapya kwa kuwa mipango yao huwa HADHARANI HATA KABLA HAWAJATOKA KIKAONI,

Waislm shtukeni sasa
Sikiliza huu waraka halafu uniambie dosari zake


View: https://youtu.be/cTmfQqT1jGY
 
Ukweli upi kuattac kanisa badala ya kujadili hoja za mkataba,nionyeshe wapi wajukuu wa waarabu wamejadili vifungu vya mkataba kama walivyojadiri tec.
Ungesoma kwa makini nilichoabdika na ungesikiliza kwa umakini kilichozungumzwa usingeandika ulichoandika.
Any way, tumetofautiana uelewa.
 
Mimi niliwatoa akili nahisi 2012 mlivo andamana kuwa ndalichako anawafelisha waislam, sasa kama umeandika majibu ya madrasa unataka ufaulu
 
Tatizo hamjui kusoma!

هُوَ الَّذِي بَعَثَ فِي الْأُمِّيِّينَ رَسُولًا مِّنْهُمْ يَتْلُو عَلَيْهِمْ آيَاتِهِ وَيُزَكِّيهِمْ وَيُعَلِّمُهُمُ الْكِتَابَ وَالْحِكْمَةَ وَإِن كَانُوا مِن قَبْلُ لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ

[ AL - JUMUA' - 2 ]
Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri.
Bahati nzuri waislamu huwa hawaanzishi ukorofi.Munaanzisha chokochoko nyingi na kejeli ila mukijibiwa jibu moja tu munaanza kusema eti waislam wakorofi sana.Usimuamshe muislamu alielala,hautolala wewe,bali utakufa mazima.
 
Tukumbuke katika sakataa ESCROW bank ya Mkombozi ilitumika kupitisha pesa za ufisadi na maaskofu walipewa mgao.

Watu hata hawafanyi mapenzi na familia hawana lakini wanapenda sana hela sijui wanaenda kuhonga mabasha zao wanaowatindua.
Kwani benki iliiba? Kazi ya benki ni kupokea na kuifadhi pesa za wateja. Hata sheria ya money laundering ilifanya kazi kipindi cha Magu tu..kwa sasa nani anakuuliza benki pesa umetoa wapi.
 
Acha porojo zako unadhani nyerere alitaka vyama vingi,sera za kisiasa dunia zilikua zimemkaba koo,na ukitazama nchi ilikua katika anguko kubwa la kiuchumi the only way kunusuru wananchi ni kuachana na sera za kijamaa na chama kimoja na kuingia ujamaa wa vyama vingi yaani demokrasia.

Kuna moment zinafika kiongozi lazima uangalie all the possible ways kunusuru taifa lako,ila kwa hili la mkataba ba dpw viongozi wameamua kukaza fuvu ngoja tuone.
Sasa porojo zangu ziko wapo!? "Wonderfull"
Kwahiyo alikubali au alikataa?
Any way, you have dug according to your hoe
 
Bahati nzuri waislamu huwa hawaanzishi ukorofi.Munaanzisha chokochoko nyingi na kejeli ila mukijibiwa jibu moja tu munaanza kusema eti waislam wakorofi sana.Usimuamshe muislamu alielala,hautolala wewe,bali utakufa mazima.
Kwa nini mmewajibu TEC wakati hawajawataja kwenye waraka wao . Mbgekuja na waraka wenu uliojikita kwenye vipengele vya mkataba.
 
Waka
Wakati wa JK mambo ya Dini yaliibuka sana mmesahau uchomaji wa makanisa,kukojolea biblia sema tu wakristo hawaendi kwa hisia wao ni hoja ni sehemu chache kidogo Europe ndio huchoma Quran kwa kuwachukia waislam.Mbona watu hawaongeli waraka wa pasaka uliomkasirisha JPM akataka kupambana nao wazee wakamshauri kuwa itakua ngumu.Je hapo udini haukuwepo.Kwani mkataba wa DPW una nini hasa ututewe sana.Hivi si na Hawa UAE wapo Loliondo toka 1992,hivi si nihawa waarabu waliokuwa wanafunga nyati na kuanza kuvuta na magari.Mmesahau mbona hamkuwasifia kwa mambo ya Dini.Tujikite kwenye hoja ingekuwa ni mambo ya Dini basi wakoloni tungewabakisha si ni wakristo wenzetu.
Hahaaaaa, JPM akawa anatumia ubabe na kumtishia mzee Ngalalekumtwa wa jimbo la Iringa alipokuja ziara hapa mkoani Iringa. Mzee akamuwekea ngumu. JPM akapanda mwenyewe
 
Back
Top Bottom